Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hizo picha zote kama alivyosema ni animation hata yeye hana uhakika, ila Jua linazunguka Dunia toka kuumbwa kwa hii Dunia na haliko 93m km kama tunavyodanganywa. Nina amini katika bible sababu ndo kitabu cha kale na ndo kimeelezea ukweli juu ya uumbaji wa hii Dunia.

Zaburi 19:1​


Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake. Mchana waupasha habari mchana ufuatao, usiku waufahamisha usiku ufuatao. Hamna msemo au maneno yanayotumika; wala hakuna sauti inayosikika; hata hivyo, sauti yao yaenea duniani kote, na maneno yao yafika kingo za ulimwengu. Mungu ameliwekea jua makao yake angani; nalo hutoka kama bwana arusi chumbani mwake, lafurahi kama shujaa aliye tayari kushindana. Lachomoza toka upande mmoja, na kuzunguka hadi upande mwingine; hakuna kiwezacho kuliepa joto lake.

Bible inaprove Jua linazunguka Dunia na lina orbit yake, hata ukisoma kitabu cha Joshua unaona Mungu alisimamisha Jua na sio Dunia, sababu jua ndo linazunguka Dunia.

Director wa NASA wernher van braun baada ya kufa kwenye kaburi yake ameandika PSLAM 19:1 amefikisha ujumbe hapo ila ndo hivyo hatuelewi.
Swali kwenye zile animation umesoma ?
 
Hizo picha zote kama alivyosema ni animation hata yeye hana uhakika, ila Jua linazunguka Dunia toka kuumbwa kwa hii Dunia na haliko 93m km kama tunavyodanganywa. Nina amini katika bible sababu ndo kitabu cha kale na ndo kimeelezea ukweli juu ya uumbaji wa hii Dunia.

Zaburi 19:1​


Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake. Mchana waupasha habari mchana ufuatao, usiku waufahamisha usiku ufuatao. Hamna msemo au maneno yanayotumika; wala hakuna sauti inayosikika; hata hivyo, sauti yao yaenea duniani kote, na maneno yao yafika kingo za ulimwengu. Mungu ameliwekea jua makao yake angani; nalo hutoka kama bwana arusi chumbani mwake, lafurahi kama shujaa aliye tayari kushindana. Lachomoza toka upande mmoja, na kuzunguka hadi upande mwingine; hakuna kiwezacho kuliepa joto lake.

Bible inaprove Jua linazunguka Dunia na lina orbit yake, hata ukisoma kitabu cha Joshua unaona Mungu alisimamisha Jua na sio Dunia, sababu jua ndo linazunguka Dunia.

Director wa NASA wernher van braun baada ya kufa kwenye kaburi yake ameandika PSLAM 19:1 amefikisha ujumbe hapo ila ndo hivyo hatuelewi.
Mi mbona nimeuliza swali simple sana.

Wewe Kama unaamini dunia ipo flat na haizunguki, pia dunia ni kubwa kuliko jua + jua ndio linazunguka dunia.

Ulitakiwa tu kujibu jua linazunguka vipi kati video A na B?

Ili tukikubaliana hapo tuweze kusonga mbele taratibu kwenye kipengele kingine
 
Kuweka picha ya Dunia yenye size hiyo kisha ukaweka na ndege yenye size hiyo ni ukichaa mwengine. Ndege haikutakiwa kuonekana hata kdogo hapo. Ni sawa niseme nioneshe nyumban unapokaa Kwa kupitia kweny picha hiyo itawezekanaje!!
Ukishaelewa maana yake utaelewa kwanini haihitaji kufikiri kwamba ndege inarukaje upside down kama Dunia ni duara
Achana na picha inaweza ikakuchanganya_So,... unataka useme Ndege hazifuati umbo la Dunia Tufe? umbo ambalo lazima, litalazimu Ndege kwenda upside down ili kufika location ambazo zipo upande wa pili wa Dunia?
 
Umeshindwa kuelewa Newtonian mechanics ambayo nyepesi hata kuiprove uje uelewe general relativity ambayo ni too astronomical
Anyways hujanijibu atmospheric pressure inasababishwa na Nini?
Naongezea swali Yale maji huwa tunaona yanasafiri pale salender bridge huwa yanaenda wapi? Na ni Nini kinasababisha?
1. Kuelewa Newtonian mechanics, Relativity theory na kadhalika..... haimaanishi kwamba physical laws za Dunia au universe Kwa ujumla wake zinafanya kazi kama ilivyoelezewa kwenye theories ulizokariri....

2. Kuhusu atmospheric pressure nilishajibu previously kwamba inasababishwa na mgandamizo wa hewa,..au unahisi atmospheric pressure inasababishwa na kitu gani hasa mpaka umeamua kuuliza? Na nikasema kabisa the so called atmospheric pressure unaweza ukaihisi hata Kwa milango ya fahamu Kwa kuwa ndiyo effect yake huweza kuonekana either sauti au ku move Kwa objects tofauti tofauti kama miti,.Ndege(birds) na hata binadamu anakuwa affected na atmospheric pressure at some point 🤝🏼.

3. Kanuni ya Maji siku zote huwa yanafuata level yake,...hivyo basi maji ya Salender bridge unayaona yakisafiri kwa kuwa yanatoka kwenye eneo la juu na kuelekea kwenye mteremko mpaka pale yatakapokutana na level yake.....lakini pia ukiacha kanuni ya maji kufuata level,..kitu kingine kinachofanya uyaone maji yakisafiri ni Kwa kuwa maji yenyewe on it's own yana pressure na uzito!

naamini nimejaribu kujibu kadri inavyowezekana.
 
Kama hauna majibu ni lazima kujibu kila kitu ?

Majibu yako hayana uhalisia kabisa.

Naomba majibu ya kueleweka kama hauna majibu ni vyema uanze kuona walakini kwenye mtazamo wako wa Dunia tambarare
Kwahiyo wewe unaposema Jua linazama ndiyo uhalisia huo?

Sema majibu huyataki Kwasababu hayapo in alignment na kile unachoamini usiseme hayana uhalisia mkuu 🤝🏼
 
"Jua linakua na muonekano mkubwa wakati wa sunset na sunrise kutokana na optical illusion inayosababishwa na effect ya refraction ya mwanga wa Jua tu"

Yani hayo maelezo ni kama unazungumzia vitu viwili tofauti hapa, Kumbe ni kitu kimoja ( Jua )


Unazungumzia Jua, na unasema optical illusion inayosababishwa na effect ya refraction ya mwanga wa jua, HOW ?

nipe maelekezo ya kina hapa.

Ukimaliza kunijibu ntarudi kukuuliza kwenye maelezo uliyotolea swali la kwanza kuhusu sunset,
Mkuu,. Kwamba hujui Jua na Mwanga wake ni vitu viwili tofauti?

Kama vile ambavyo Torch na Mwanga wake ni vitu viwili tofauti....

Ngoja nikuulize swali,.ukisikia refraction unaelewa nini....lakini pia ili refraction itokee ni vitu gani vinahusika na refraction ina effect gani kwenye macho ya mtazamaji?
 
Mkuu,. Kwamba hujui Jua na Mwanga wake ni vitu viwili tofauti?

Kama vile ambavyo Torch na Mwanga wake ni vitu viwili tofauti....

Ngoja nikuulize swali,.ukisikia refraction unaelewa nini....lakini pia ili refraction itokee ni vitu gani vinahusika na refraction ina effect gani kwenye macho ya mtazamaji?
usihamishe mada, wewe toa ufafanuzi ambao utaeleweka

Nkianza kujibu maswali yako wakati mimi nmesema nahitaji ufafanuzi wa kina mambo yatakua mengi ( maana hapo tu tayari kuna elimu nyingine nmeona unahitaji )

Wewe nipe ufafanuzi wa kina, Yani nipe mechanism yake mpaka inakua hivyo..

Na rejea kwenye zile animation alizoweka mdau hapo juu ili tuulizane maswali.
 
Kwahiyo wewe unaposema Jua linazama ndiyo uhalisia huo?

Sema majibu huyataki Kwasababu hayapo in alignment na kile unachoamini usiseme hayana uhalisia mkuu
Nini maana ya mtu kuhitaji majibu ? ( Mimi sijaona majibu ya kueleweka hapo ) Ingekua kila jibu ni lazima mtu aelewe basi wewe ilikua utuelewe sisi muda sana na mjadala ungekua umeisha
 
Video A
View attachment 2919911


Video B
View attachment 2919913
Nimejaribu kutengeneza simple animation ili niulize swali kwa flat earth society

kama dunia ipo flat
Je Kati ya video A na B, ni ipi mnakubaliana nayo?

ili tujaribu kuwasaidia.
Yani jua hua linazunguka vipi kwenye flat earth?
Binafsi hapo sichagui Video A wala B.... Kwasababu kiuhalisia hakuna yoyote including NASA and the like, mpaka sasa anaejua 100% jinsi Jua linavyoizunguka Dunia.
Hiyo animation uliyoweka ni assumption tu ambayo watu wanakadiria Jua linafanya movement yake Kwa style hiyo...so, I don't think it's fair to conclude 100% how the sun moves based solely on CGI and animations...

kitu pekee ambacho tuna ushahidi nacho ni kwamba Dunia ipo Stationary na sio tufe, Na Jua ndiyo linaizunguka Dunia...
 
Kwahiyo wewe unaposema Jua linazama ndiyo uhalisia huo?

Sema majibu huyataki Kwasababu hayapo in alignment na kile unachoamini usiseme hayana uhalisia mkuu
Alafu unanichanganya kitu kimoja, pengine huwa unaandika mambo lengo kubwa ni kutetea na sio kuandika unachokifahamu.


Mara nyingi sana unasema tufuate au tuangalie mambo kwa kutumia milango ya fahamu.


Nmeamua kutumia neno kuzama kama ambavyo macho yananionyesha ili twende sawa na point yako ya kutumia milango ya fahamu, bado umeanza kuleta vipingamizi hapa.

HUJIONI WEWE NI KIGEU GEU ? ambae hujui hata unachokiandika ?
 
Binafsi hapo sichagui Video A wala B.... Kwasababu kiuhalisia hakuna yoyote including NASA and the like, mpaka sasa anaejua 100% jinsi Jua linavyoizunguka Dunia.
Hiyo animation uliyoweka ni assumption tu ambayo watu wanakadiria Jua linafanya movement yake Kwa style hiyo...so, I don't think it's fair to conclude 100% how the sun moves based solely on CGI and animations...

kitu pekee ambacho tuna ushahidi nacho ni kwamba Dunia ipo Stationary na sio tufe...
Duh! Hata haikuhitaji maelezo yote hayo mpaka kufikia hatua kuwataja NASA

Hizo animation zinawahusu nyinyi watu wa Flat Earth na zipo animation nyingi zilizotengenezwa na wenzako ambazo zinafanana na hizo alizotengeneza jamaa hapo.

Kwahiyo majibu yako wala hayahitaji kuhusisha NASA wala mtu ambae anatambua Dunia ni tufe ili kujitetea.
 
Binafsi hapo sichagui Video A wala B.... Kwasababu kiuhalisia hakuna yoyote including NASA and the like, mpaka sasa anaejua 100% jinsi Jua linavyoizunguka Dunia.
Hiyo animation uliyoweka ni assumption tu ambayo watu wanakadiria Jua linafanya movement yake Kwa style hiyo...so, I don't think it's fair to conclude 100% how the sun moves based solely on CGI and animations...

kitu pekee ambacho tuna ushahidi nacho ni kwamba Dunia ipo Stationary na sio tufe, Na Jua ndiyo linaizunguka Dunia...
"Kwasababu kiuhalisia hakuna yoyote including NASA and the like, mpaka sasa anaejua 100% jinsi Jua linavyoizunguka Dunia"




Ulivyo mjinga na mtu ambae anasahau mapema sana, Hayo maelezo uliyoyaandika ingepaswa usithubutu kuandika kabisa kabisa...

Ukirudi kwenye maswali ya nyuma umejibia vitu vingi sana ambavyo vinakuja kukuumbua kwenye hayo maneno yako..

Swali ina maana ulikua unabumba bumba mambo kama ambavyo nmekua nkisema kila mara ?
 
Alafu unanichanganya kitu kimoja, pengine huwa unaandika mambo lengo kubwa ni kutetea na sio kuandika unachokifahamu.


Mara nyingi sana unasema tufuate au tuangalie mambo kwa kutumia milango ya fahamu.


Nmeamua kutumia neno kuzama kama ambavyo macho yananionyesha ili twende sawa na point yako ya kutumia milango ya fahamu, bado umeanza kuleta vipingamizi hapa.

HUJIONI WEWE NI KIGEU GEU ? ambae hujui hata unachokiandika ?
Kwani ili ujue kama Jua halizami,...hutumii milango ya fahamu(i.e Macho)?

Ninaposema tutumie milango ya fahamu namaanisha kwamba,...sio sahihi kuamini kitu chochote solely kwa kuwa umeambiwa Kwa nadharia,. yaani sio sawa kuamini kitu 100% ikiwa hakuna namna unaweza ukajua Kwa kutumia milango ya fahamu wala kuwa assisted na technology yaani unaambiwa Tu kisha unaamini..


Kwa mfano mpaka sasa Karne ya 21 hakuna teknolojia ambayo imeweza kutuonyesha (zingatia neno kutuonyesha,.means mlango wa fahamu unahusika) Dunia iki spin wala kutuonyesha Dunia Tufe....


Kimsingi sidhani kama kuna Mtu angepata nguvu ya kupinga endapo kungekua na ushahidi usio na shaka labda mtu huyo aaamue tu kushikamana na ujinga.
 
"Kwasababu kiuhalisia hakuna yoyote including NASA and the like, mpaka sasa anaejua 100% jinsi Jua linavyoizunguka Dunia"




Ulivyo mjinga na mtu ambae anasahau mapema sana, Hayo maelezo uliyoyaandika ingepaswa usithubutu kuandika kabisa kabisa...

Ukirudi kwenye maswali ya nyuma umejibia vitu vingi sana ambavyo vinakuja kukuumbua kwenye hayo maneno yako..

Swali ina maana ulikua unabumba bumba mambo kama ambavyo nmekua nkisema kila mara ?
Sawa vizuri,..kalete ushahidi wa hayo maneno unayodai yataniumbua
 
Sawa vizuri,..kalete ushahidi wa hayo maneno unayodai yataniumbua
Uliulizwa maswali mengi, Moja wapo ni kupatwa kwa jua na mwezi ( kwa nadharia yenu hiyo ) ukatolea ufafanuzi unaonyesha unafahamu dhahiri namna jua na mwezi vinavyofanya mizunguko,

Muda huu unasema hakuna anaejua namna jua linavyofanya mzunguko.

Unajiumbua taratibu hahaha.
 
Uliulizwa maswali mengi, Moja wapo ni kupatwa kwa jua na mwezi ( kwa nadharia yenu hiyo ) ukatolea ufafanuzi unaonyesha unafahamu dhahiri namna jua na mwezi vinavyofanya mizunguko,

Muda huu unasema hakuna anaejua namna jua linavyofanya mzunguko.

Unajiumbua taratibu hahaha.
Nasubiri uje utolee ufafanuzi na hili maana huishiwi "vioja"
 
Uliulizwa maswali mengi, Moja wapo ni kupatwa kwa jua na mwezi ( kwa nadharia yenu hiyo ) ukatolea ufafanuzi unaonyesha unafahamu dhahiri namna jua na mwezi vinavyofanya mizunguko,

Muda huu unasema hakuna anaejua namna jua linavyofanya mzunguko.

Unajiumbua taratibu hahaha.
Duh unachekesha ujue,...kitu pekee nilichofanya kwenye kupatwa Kwa Jua na Mwezi ni kuonyesha kwamba Dunia haihusiki Kwa vyovyote na kupatwa kwa Jua wala Mwezi(kinachoonekana duniani ni effect tu ya tukio husika)....... Kwasababu objects ambazo ndiyo zinaogelea kwenye space including Jua na Mwezi ndiyo zina possibility ya kukutana(Intercept) kitu ambacho kinapelekea kupatwa kwa object mojawapo either Jua/mwezi.

Sasa What's wrong with you,.. unashindwa kuelewa logic ndogo kama hii.?
 
Hahahaha,

Nkuulize swali, NASA huwa wanatoa taarifa mapema sana kuwa siku fulani na kuanzia saa fulani na ni sehemu gani effect itakua kubwa zaidi.....UNADHANI WANAJUA KWA KUOTEA ? kama hawajui mzunguko wa hili gimba letu ??


Au labda niambie wewe mtaalamu ni hesabu gani wanatumia haha
 
Hii ni picha imekua posted Leo kwenye official Instagram page ya NASA...wakionyesha kwamba imekua captured February 15 kwenye moon landing wanayosema imefanyika mwaka huu...sasa Kwa picha kama hii kwanini unashangaa watu kuhoji authenticity ya hivi vitu?

Kama hawataki kuwa questioned walete picha na videos ambazo zitaingia akilini na watu watakubali....la sivyo watu wataendelea kuhoji tu.
Screenshot_20240229-175856~2.png
 
Back
Top Bottom