Rais Samia, kiprotokali ni sahihi kumtaja Rais wa Zanzibar kabla ya Waziri Mkuu wa Tanzania?

Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Rais Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Rais kisha Rais wa Zanzibar na ndio akamataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Tanzania, sasa iweje Rais wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
CHADEMA mkichukua nchi mwaka 2358 mtaanza kumtaja waziri mkuu kwanza. Ila kwa sasa twende na utaratibu uliopo.
 
Hata huyo anayeitwa Rais wa Muungano hana mamlaka Zanzibar kama yapo nitajie.
Ni mbwembwe but za kumwinua Mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya ,lakini ana cheo Cha Rais.

Zanzibar , anayepata bajeti na magawionkutoka bara, aambaye dakika sifuri kwa kikao kimoja Cha chama kinamuondoa madarakani,.

Rejea Abdul Jumbe Mwinyi alivyoondolewa na kikao Cha DODOMA!!

Zanzibar ni koloni la Bara 🤣🤣🤣🤣 kula chuma hichoooo🤣🤣🤣🤣🤣😅
 
Hapo pa kuachiwa nchi PM inapotokea Rais na Makamu hawapo umepitiwa. Inaishia kwa Makamu ndio itaenda kwa Spika/Jaji Mkuu.
Hujasoma sawasawa nimeeleza kuwa asipokuwepo Rais na makamu, ONGEZA MBOGA ZA MAJANI, NIMETAJA 🤣😅😅
 
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Rais Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Rais kisha Rais wa Zanzibar na ndio akamataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Tanzania, sasa iweje Rais wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Katika kikao cha Marais, Waziri Mkuu hanusi.
 
Ni mbwembwe but za kumwinua Mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya ,lakini ana cheo Cha Rais.

Zanzibar , anayepata bajeti na magawionkutoka bara, aambaye dakika sifuri kwa kikao kimoja Cha chama kinamuondoa madarakani,.

Rejea Abdul Jumbe Mwinyi alivyoondolewa na kikao Cha DODOMA!!

Zanzibar ni koloni la Bara 🤣🤣🤣🤣 kula chuma hichoooo🤣🤣🤣🤣🤣😅
Hilo kwa sasa sahau haitatokea tena kwa sababu hatopatikana mwenyekiti wa chama mwenye ujasiri na kusimamia maadili ya chama kama ilivyokuwa wakati huo uliyopita.
 
1.Rais wa JMT
2.Makamu wa rais JMT
3.Rais wa Zanzibar
4.Waziri mkuu wa JMT
5.Makamu wa kwanza wa rais zanzibar
6.Makamu wa pili wa rais zanzibar
7.Naibu waziri mkuu JMT kama yupo
8.Katibu mkuu kiongoz JMT
Sahihi
 
Ni mbwembwe but za kumwinua Mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya ,lakini ana cheo Cha Rais.

Zanzibar , anayepata bajeti na magawionkutoka bara, aambaye dakika sifuri kwa kikao kimoja Cha chama kinamuondoa madarakani,.

Rejea Abdul Jumbe Mwinyi alivyoondolewa na kikao Cha DODOMA!!

Zanzibar ni koloni la Bara 🤣🤣🤣🤣 kula chuma hichoooo🤣🤣🤣🤣🤣😅

Zanzibar haipati senti moja kutoka Tanganyika kinyume chake kawaulize TRA wanafanya kitu gani Zanzibar
 
Upo mujahidina?? Kaa pembeni mada hii siyo saizi Yako, tunazingmzia ndani ya nchi nani mkubwa baina ya PM na mkuu yule wa wilaya za Zanzibar na pemba.🤣😅😅😅
Jibu umeshalipata sema unajidai hujaelewa tu.

Ma shaa Allah, nimelipenda sana hilo la Mujahidina, kuna kipi bora zaidi ya "aladhina yujahidunna fi sabili 'Llah..."?
 
Jibu umeshalipata sema unajidai hujaelewa tu.

Ma shaa Allah, nimelipenda sana hilo la Mujahidina, kuna kipi bora zaidi ya "aladhina yujahidunna vi sabili Allah..."?
Wewe ni mpuuzi unayetoka nje ya mada iliyo mezani.

Waziri Mkuu ni mkubwa kuliko MKUU WAKO WA WILAYA.

SOMA ibara ya 50, kifungu kidogo ca (I) na (ii)

Halafu kama mada imezidi akili Yako, kaa kimyaa usijadili vitu ambayyo huna weledi navyo, unakuwa una ANIKA UJINGA wako bila kujijua 🤔🤣😅 sheme on you!!!!
 
Hujasoma sawasawa nimeeleza kuwa asipokuwepo Rais na makamu, ONGEZA MBOGA ZA MAJANI, NIMETAJA 🤣😅😅
Nimesoma sawa sawa na ulichoandika kuhusu PM kuachiwa nchi iwapo Rais na Makamu hawapo nchini umepitiwa..haiko hivyo.
 
Kiprotokali Waziri Mkuu Yuko juu ya Rais wa Zanzibar chini ya Serikali ya Muunganor kwani Rais wa Zanzibar ni Mjumbe tu wa Baraza la Mawaziri la Jamhuri ya Muungano ambalo Kiongozi wake ni Waziri Mkuu.Hii ni kwa mujibu wa Katina ya JMT.Rais Ana washauri dhaifu Sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom