Rais Samia, kiprotokali ni sahihi kumtaja Rais wa Zanzibar kabla ya Waziri Mkuu wa Tanzania?

Inategemea unaongelea nchi gani. Kama unaongelea Tanganyika yenye jina ubatizo la Tanzania upo sahihi. Lakini kama unaongelea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania basi Rais wa Zanzibar mkubwa maana ile ni nchi kamili iliyotetea uhai wake ndani ya muungano tofauti na Tanganyika iliyolalaa fofofo na kuporwa mamlaka yake. Kifalsafa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Nchi ya Tanganyika.

Hii nchi ngumu sana! Tuendelee kufurahia maisha yetu.
Hebu leta rejea ya katiba kuthibitisha hoja.

Vipi anapokuja huku Bara kuhudhuria vikao vy Baraza la MAWAZIRI anakuwa wapi?? Tanganyika au Tanzania? na kwanini anakuwa na hadhi ya Waziri kwenye baraza??

Nyie tulieni tuwatawale, mtaendelea sana kuagiza nyanya chungu,karoti,bamia,viazi mviringo Toka bara, viazi mbatata,.

Tukifunga mtaanza kula UROJO..🤣😅

Tulixa mshono, yaani Wallace KARIA wa TFF NI MKUBWA SANA KULIKO Hussein!!
 
Huwa unaangalia maadhimisho ya sikuku ya Mapinduzi??? Yule anayepigiwa mizinga 21 ni rais wa nchi gani??
Zile ni mbwembwe tu za Kumwinua huyo mkuu wa wilaya za Zanzibar, ili aonekane yumo!!

Lakini ni mdogo sana kwa waziri mkuu kama katiba Sheria Mama inavyosema
 
cha muhimu (makamu) raisi P.Mpango (PhD) ametajwa kama namba 2 in command inatosha, baada ya hapo it gets complicated, hivyo mimi huishia kwa raisi P.Mpango tu …

This arrangement of ours is very complicated and it will always cause some controverse as long as it exists.
 
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Rais Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Rais kisha Rais wa Zanzibar na baada ya hapo ndio akamataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa na kisha akaendelea kutaja wageni wengine waliokuwa wamehudhuria katika tukio hilo.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, sasa iweje Rais wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
mwacheni tu ampe ukubwa. kuna watu wanapendaga sana ukubwa, wasipoinuliwa na kutukuzwa watasababisha ugomvi bure, hata kama hawastahili ukubwa, dawa ni kutumia hekima tu, wape ukubwa hata kama hawastahili ili waridhike.
 
Hutakaa unisahau nimekunyoosha barabara😎😎
Leta kipengele chochote Cha Katiba chenye kuonesha ukuu wa mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya Zanzibar.
We mimi ndiye nimekunyoosha, na pia bodaboda ambao wana NYANDUA mother House 🤣😅🤣😅🤸
 
Leta kipengele chochote Cha Katiba chenye kuonesha ukuu wa mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya Zanzibar.
We mimi ndiye nimekunyoosha, na pia bodaboda ambao wana NYANDUA mother House 🤣😅🤣😅🤸
Hutakaa ukisahau fala ww
 
Hutakaa ukisahau fala ww
Leta kipengele Cha Katiba chenye kuonesha ukuu wa mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya Zanzibar.Vs udogo w waziri mkuu.
Namna nyingine WEWE ni mweupe Bodaboda wataendelea KUKUNYANDULIA MKE WAKO.

Upo Bumunda???
 
Leta kipengele Cha Katiba chenye kuonesha ukuu wa mkuu wa wilaya anayeongoza Wilaya Zanzibar.Vs udogo w waziri mkuu.
Namna nyingine WEWE ni mweupe Bodaboda wataendelea KUKUNYANDULIA MKE WAKO.

Upo Bumunda???
Chizi wa masters ya kiswahili! Hutanisahau😂😂 Halaf rudi shule bado sana ww.
 
Chizi wa masters ya kiswahili! Hutanisahau😂😂 Halaf rudi shule bado sana ww.
Utaishia kumtukana.

Nijibu leta reference ya Katiba kupinga hoja yangu ya UKUU WA WAZIRI MKUU KIKATIBA.
hapo ukiweza tunasonga mbele zaidi.

Kifupi wewe ni mufilisi bare headed person.
🤣😅🤣😅 Ndo Maana Bodaboda wanakunyoeshea sana wife wako!!
 
Utaishia kumtukana.

Nijibu leta reference ya Katiba kupinga hoja yangu ya UKUU WA WAZIRI MKUU KIKATIBA.
hapo ukiweza tunasonga mbele zaidi.

Kifupi wewe ni mufilisi bare headed person.
🤣😅🤣😅 Ndo Maana Bodaboda wanakunyoeshea sana wife wako!!
Huna akili unapoteza muda na ujinga! Ndo maana nakupuuzia😎 Ila kwa hichi kichapo hutarudia! Mada ya Urais unachanganya ujinga kuonyesha ulivyo empty kichwan😂😂 masters ya kiswahili
 
1.Rais wa JMT
2.Makamu wa rais JMT
3.Rais wa Zanzibar
4.Waziri mkuu wa JMT
5.Makamu wa kwanza wa rais zanzibar
6.Makamu wa pili wa rais zanzibar
7.Naibu waziri mkuu JMT kama yupo
8.Katibu mkuu kiongoz JMT
umemsahau kiboko ya wachawi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom