Rais Samia, kiprotokali ni sahihi kumtaja Rais wa Zanzibar kabla ya Waziri Mkuu wa Tanzania?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,857
147,444
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Rais Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Rais kisha Rais wa Zanzibar na baada ya hapo ndio akamataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa na kisha akaendelea kutaja wageni wengine waliokuwa wamehudhuria katika tukio hilo.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, sasa iweje Rais wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
 
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Raisi Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Raisi kisha Raisi wa Zanzibar na ndio akmataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Tanzania, sasa iweje Raisi wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Ndio Yuko sahihi
 
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Raisi Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Raisi kisha Raisi wa Zanzibar na ndio akmataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Tanzania, sasa iweje Raisi wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Hii hajaanza leo na pia sidhani kama anafanya makosa na pia hii wala haina faida wala hasara kwetu wananchi. !😳🙌

Sisi shida yetu kubwa kwanza kabisa ipatikane Katiba mpya bora itakayoainisha kila kitu kwa ufasaha kabisa !
Ikipatikana hiyo Katiba haya mambo yote yatanyooka. 🙄🙌👍
 
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Raisi Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Raisi kisha Raisi wa Zanzibar na ndio akmataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Tanzania, sasa iweje Raisi wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Waziri Mkuu kikatiba ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar.
Hizo zinafanyikan zinafanyikan makusudi kabisa ku mo overate Rais wa Visiwabvya Zanzibar ambavyo sawa na wilaya Moja huku Bara.

Mamlaka ya Waziri Mkuu, kwenye Baraza la MAWAZIRI ,
Ibara ya 50, kifungu kidogo Cha (I) na Cha (ii) kinaonesha vizuri sana, kwamba KUTAKUWA NA BARAZA LA MAWAZIRI,

Linaundwa na Rais wa URT nayae atakuwa Mwenyekiti, asipokuwepo Makamu wa Rais.

Ikitokea Rais na makamu kwa pamoja hawapo,waziri Mkuu ataongoza kikao Cha Baraza la MAWAZIRI.

Wajumbe wanaounda Baraza la MAWAZIRI.

Mosi Rais, Mbili Makamu, tatu Waziri Mkuu.
Nne MAWAZIRI wote kamili sio manaibu,ni wajumbe, na Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu,akiwa anaingia baraza la mawaziri hadhi yake ni sawa na Innocent Bashungwa au Masauni.

Nyongeza ikitokea Rais hayupo nchini Rungu anashiklia Makamu wa Rais, asipokuwepo yeye pia, Rungu atashika waziri Mkuu, naye asipokuwepo atashika speaker wa Bunge, na ikitokea wote hao hawapo kwa pamoja nchi itakuwa chini ya jaji mkuu!

Hapo Rais wa Zanzibar hatajwi.

Kumruka waziri mkuu au waziri mkuu kutangulia kuingia kwenye sherehe za kitaifa katika accending order na descending order yaani order of seniority ni JANJAJANJA tu ya makusudi inayofanyika.

Lakini ni ukiukwaji wa katiba mchana kweupe.

Hayo yanatosha kuelewa hata kwa mwanafunzi wa elimu ya Uraia Civics kuelewa kuwa waziri mkuu ni Mtu Mkubwa sana katika nchi kimamlaka na protocal akiwa chini ya Makamu wa Rais.

Kwahiyo kumdogosha waziri mkuu ni mbwembwe na janjajanja flani ya makusudi.

😅🤔🙏
 
1.Rais wa JMT
2.Makamu wa rais JMT
3.Rais wa Zanzibar
4.Waziri mkuu wa JMT
5.Makamu wa kwanza wa rais zanzibar
6.Makamu wa pili wa rais zanzibar
7.Naibu waziri mkuu JMT kama yupo
8.Katibu mkuu kiongoz JMT
Hamna kitu kasome katiba waziri mkuu ni Number 3 kwenye nchi na yule anayeongoza nchi yenye ukubwa wa Wilaya ni number nne!!

Acha kupotosha
 
Hamna kitu kasome katiba waziri mkuu ni Number 3 kwenye nchi na yule anayeongoza nchi yenye ukubwa wa Wilaya ni number nne!!

Acha kupotosha
Huna akili chizi ww! Waziri mkuu ni wanne kimamlaka weka hili akilini!
Na ndiyo maana hata magari ya escort yapo hv;
1.Rais wa JMT (escort 1)
2.Makamu wa rais JMT(escort2)
3.Rais wa Zanzibar(escort3)
4.Waziri mkuu wa JMT(escort4)
ww inavyoonekana hata la saba hujafika
 
Huna akili chizi ww! Waziri mkuu ni wanne kimamlaka weka hili akilini!
Na ndiyo maana hata magari ya escort yapo hv;
1.Rais wa JMT (escort 1)
2.Makamu wa rais JMT(escort2)
3.Rais wa Zanzibar(escort3)
4.Waziri mkuu wa JMT(escort4)
ww inavyoonekana hata la saba hujafika
Haikusadii kitu rejea ya nchi how is governed ni Katiba, sio maoni na utashi wako
 
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Rais Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Rais kisha Rais wa Zanzibar na ndio akamataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Tanzania, sasa iweje Rais wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?

Tanzania mambo huwa yanafanyika kwa utashi. Ndiyo maana wakishachukua madaraka huwa wanaiona Katiba ni kama makaratasi tu. Unakumbuka wakati Maza anaingia madarakani alikuwa anamtuma Rais wa ZNZ kutuwakilisha nje ya nchi kwenye mikutano mpaka ya SADC .... kuna watu waliitetea hii. Lakini ukiwauliza leo hawataweza kukueleza kwa nini hakuendelea na huo mpango wake.

Anyway, kinachofanyika kwa sasa ni kumpromote Rais wa ZNZ ili tumuone kuwa ni Mtu mkubwa sana hata huku Bara. Naamini Samia akifanikiwa kutuibia uchaguzi ujao kama inavyotegemewa, atahamishia nguvu zake nyingi Zenji kuwasaidia watu wake ...!!
 
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Rais Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Rais kisha Rais wa Zanzibar na ndio akamataja Waziri Mkuu wa Tanzania, Bwana Kassimu Majaliwa.

Swali langu ni je, kati ya Raisi wa Zanibar na Waziri Mkuu wa Tanzania, ni nani mwenye cheo kikubwa?

Zanzibar si ni sehemu ya Tanzania, sasa iweje Rais wa Zanzibar ambae ni sehemu tu ya Muungano awe juu ya Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?

UVAMIZI UNARUHUSU CHOCHOTE
 
Tanzania mambo huwa yanafanyika kwa utashi. Ndiyo maana wakishachukua madaraka huwa wanaiona Katiba ni kama makaratasi tu. Unakumbuka wakati Maza anaingia madarakani alikuwa anamtuma Rais wa ZNZ kutuwakilisha nje ya nchi kwenye mikutano mpaka ya SADC .... kuna watu waliitetea hii. Lakini ukiwauliza leo hawataweza kukueleza kwa nini hakuendelea na huo mpango wake.

Anyway, kinachofanyika kwa sasa ni kumpromote Rais wa ZNZ ili tumuone kuwa ni Mtu mkubwa sana hata huku Bara. Naamini Samia akifanikiwa kutuibia uchaguzi ujao kama inavyotegemewa, atahamishia nguvu zake nyingi Zenji kuwasaidia watu wake ...!!
Hilo la kutajwa Rais wa Zanzibar kwanza halikuanza wakati huu wa Samia limekuwa hivyo kwa miaka mingi na tatizo ni aina au muundo wa Muungano wetu haueleweki.
 
Waziri Mkuu kikatiba ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar.
Hizo zinafanyikan zinafanyikan makusudi kabisa ku mo overate Rais wa Visiwabvya Zanzibar ambavyo sawa na wilaya Moja huku Bara.

Mamlaka ya Waziri Mkuu, kwenye Baraza la MAWAZIRI ,
Ibara ya 50, kifungu kidogo Cha (I) na Cha (ii) kinaonesha vizuri sana, kwamba KUTAKUWA NA BARAZA LA MAWAZIRI,

Linaundwa na Rais wa URT nayae atakuwa Mwenyekiti, asipokuwepo Makamu wa Rais.

Ikitokea Rais na makamu kwa pamoja hawapo,waziri Mkuu ataongoza kikao Cha Baraza la MAWAZIRI.

Wajumbe wanaounda Baraza la MAWAZIRI.

Mosi Rais, Mbili Makamu, tatu Waziri Mkuu.
Nne MAWAZIRI wote kamili sio manaibu,ni wajumbe, na Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu,akiwa anaingia baraza la mawaziri hadhi yake ni sawa na Innocent Bashungwa au Masauni.

Nyongeza ikitokea Rais hayupo nchini Rungu anashiklia Makamu wa Rais, asipokuwepo yeye pia, Rungu atashika waziri Mkuu, naye asipokuwepo atashika speaker wa Bunge, na ikitokea wote hao hawapo kwa pamoja nchi itakuwa chini ya jaji mkuu!

Hapo Rais wa Zanzibar hatajwi.

Kumruka waziri mkuu au waziri mkuu kutangulia kuingia kwenye sherehe za kitaifa katika accending order na descending order yaani order of seniority ni JANJAJANJA tu ya makusudi inayofanyika.

Lakini ni ukiukwaji wa katiba mchana kweupe.

Hayo yanatosha kuelewa hata kwa mwanafunzi wa elimu ya Uraia Civics kuelewa kuwa waziri mkuu ni Mtu Mkubwa sana katika nchi kimamlaka na protocal akiwa chini ya Makamu wa Rais.

Kwahiyo kumdogosha waziri mkuu ni mbwembwe na janjajanja flani ya makusudi.

😅🤔🙏
Hapo pa kuachiwa nchi PM inapotokea Rais na Makamu hawapo umepitiwa. Inaishia kwa Makamu ndio itaenda kwa Spika/Jaji Mkuu.
 
Back
Top Bottom