papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 503
Waziri ananusurika vipi ? Hii ni mwendelezo wa double standard .
Uwezi kusema mchuzi una chumvi nyingi alafu nyama isiwe na chumvi wakati vyote vimepikwa kwenye chungu kimoja.
Kilicho mnusuru waziri yeye si mtaalamu wa masuala ya Mahesabu hebu kapitie CV za Irene halafu katizame CV za Jenister baadaye akili yako itakufahamisha kwanini Irene alichaguliwa kuwa Mkurugenzi wa mifuko ya hifadhi, alafu utafahamu alishindwaje kurekebisha mahesabu, pia utajiuliza kwanini alikuwa msemaji na mtetezi mkuu ktk kuitetea hiyo 25% ilikuwa ni kwa manufaa ya nani?
Sent using Jamii Forums mobile app