Kaijadan
Member
- May 31, 2017
- 41
- 35
Angezuia vipi? Unajua directives za hayo yote zinatoka wapi? Na yeye kazi yake ni kutekeleza yale aliyoagizwa na si vinginevyo.Kwa cheo chake angeweza kuzuia hili lakini kwa sabab wanafanya kazi kwa uoga ndio imempelekea kufika pale...na yeye ni dhaifu maana ameshindwa kujenga hoja