Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,067
- 32,216
- Thread starter
- #61
Barufu,Sources of historical information ni pamoja na archives,documentations,historical sites,oral tradition ambayo ndani yake kuna folktales...Si lazima tuwe na njia moja ya kupata jambo fulani la kihistoria.Ukipata kwa njia ya documents mwingine anapata kwa njia ya oral tradition.
Ukilitoa jambo hadharani na kuliandika katika forums maanake unafungua mijadala,kila mtu anajadili kwa kadili ya uelewa wake,ni ajabu kijimilikisha historia ya mahali fulani au kuona cha mtu fulani si sahihi ila chako tu ndio sahihi.Historia haijawahi kuwa mali ya mtu,bali ni urithi wa vizazi unaorithishwa kwa njia mbalimbali kama vile simulizi na maandishi.
Ninayaandika niliyosimuliwa na wazee wenye "authority" ya historia ya eneo husika,unaandika uliyosoma katika documents,moja ya athari ya historia hasa katika uandishi na usimuliaji,ni ushawishi wa msimuliaji na mwandishi kutaka kusimulia kile tu anachoona kwake kina manufaa.Mjadala si sumu,ni njia ya kukubali kuwa tunaweza kujifunza hata kutoka kwa wale walio wakimya lkn wenye kujua mambo mengi....A jack of all trade is a master of None
Sina tatizo na hayo yote uliyosema.