Nataka kumshitaki Rose Mhando kwa utapeli

Fedha zenyewe Wanalipa ndogo million moja, mbili . Rose ni mwanamziki mkubwa watampaje fedha kidogo kiasi hicho?

Ni kweli ni ndogo cha muhimu ni makubaliano.. Angekuwa anakataa sio tatizo ni ndogo lakini pia hupatikana kwa taabu.
 
nenda kwa meneja wake alex msama, sometimes huwa anamlipia hayo madeni yake, uwe tu na vielelezo vyote..
 
Ndugu semzei inawezekana unanifahamu vizuri kuwa sina pesa. Ila hiyo kidogo niloyotoa na namna nilivyoipata ndio inayonihangaisha kuona inapotea katika mazingira ambayo sikuyakusudia na kama nilivyosema hapo awali sio mara moja. Mimi ni miongoni mwa watu waliokuwa wakimtetea sana Rose. Na nafikiri miongoni mwa watu waliokuwa nae karibu sana mpaka nafikia hatua hii sio jambo ambalo nimekurupuka. Nimekuwa mstahimilivu sana.
Weka MKATABA wake hapa. Vinginevyo itaonekani ni juhudi za kumchafua tu.
 
ROSE MUHANDO , NI TEJA KABISA NAONGEA NIKIWA NA USHAHIDI WA ASILIMIA MIA , MWENYEWE ALEX MSAMA KAMCHOKA SASA HIVI AKIWA NA SHOO ZAKE TAIFA MASAA 3 kabla ya shoo anakua nae mpaka anaingia uwanjani ...amefikia hatua mbaya ya kujidunga sindano kabisa we uliyempa pesa muangalie rose muhando miguuni utaamini manenio yangu na siku hizi avai kabisa sketi fupi ,
 
yaani rose mhando akiwa anaimba,hata uimbaji wake haumtukuzi MUNGU.hivi MUNGU unamkatia mauno ya nini????yaani huwa anatamani avue nguo kwa jinsi anavyojifunuafunua.huyu ni wakala au hamjui kusoma alama za nyakati??
 
Ninataka kumshtaki Rose mhando kwa utapeli. Tafadhari naomba wabobezi Wa kisheria hapa Ndani. Mara ya kwanza niliandaa tukio tanga hakutokea sbb alipata ajali, nilimlipa nikasamehe. Mara ya pili niliandaa tamasha Morogoro.. Nikamlipa hakutokea kwa maelezo aliyojieleza.. Mara ya tatu nimeandaa tamasha Tanga hajatokea tena mara hii nikiwa nimeandikishana nae. Kilichoniuma zaidi ni pale aliponidanganya kwa kutaka pesa zaidi na kuniambia yuko njiani anakuja nimtumie pesa ya mafuta ya Gari.. Kumbe hata wazo la kuja Kwenye tamasha. Hana mpaka sasa ameshakula zaidi ya milioni nne kwa style. Tofauti je naweza fungua kesi mahakamani. Naomba msaada. Sasa hivi nilimpigia simu hapokei..



Mimi nawashangaa sana watu wanaochukulia hawa wababishaji wa nyimbo za dini kuwa kioo cha jamii, these people are just lame, wanatumia tu neno la Mungu kulaghai watu. Shauri yenu.
 
Ninataka kumshtaki Rose mhando kwa utapeli. Tafadhari naomba wabobezi Wa kisheria hapa Ndani. Mara ya kwanza niliandaa tukio tanga hakutokea sbb alipata ajali, nilimlipa nikasamehe. Mara ya pili niliandaa tamasha Morogoro.. Nikamlipa hakutokea kwa maelezo aliyojieleza.. Mara ya tatu nimeandaa tamasha Tanga hajatokea tena mara hii nikiwa nimeandikishana nae. Kilichoniuma zaidi ni pale aliponidanganya kwa kutaka pesa zaidi na kuniambia yuko njiani anakuja nimtumie pesa ya mafuta ya Gari.. Kumbe hata wazo la kuja Kwenye tamasha. Hana mpaka sasa ameshakula zaidi ya milioni nne kwa style. Tofauti je naweza fungua kesi mahakamani. Naomba msaada. Sasa hivi nilimpigia simu hapokei..

Rose amejifungua mtoto na ananyonyesha sasa hivi...wakati unamtumia pesa alikuwa mjamzito....sasa hv bado katoto hakajapata nguvu. Kumbuka kuwa watoto wake wote 5 kila mmoja na baba yake....!! Alamsiki
 
Rose amejifungua mtoto na ananyonyesha sasa hivi...wakati unamtumia pesa alikuwa mjamzito....sasa hv bado katoto hakajapata nguvu. Kumbuka kuwa watoto wake wote 5 kila mmoja na baba yake....!! Alamsiki

Sio kweli mzito kabwela.. Tuongee maswala ya pesa na hatua muhimu ili yeye pia imsaidie kujirekebisha ila maswala ya mtoto mmh!!! Staki kashfa zisizo nihusu.
 
Acheni kucheza na akili za watu nyie...
Kama wewe unajua umempa pesa na kuandikishiana na kwenye hiyo show hajatokea na ni mara ya tatu sijui kuna haja gani ya kutuuliza sie umshtaki ama laa...wee nawe utakua promota feki tuu hujitambui ndio maana Mshamba anakupiga mapesa hovyo!!!
 
Hii dini huwezi kuitofautisha na wizi,uzinzi,ushoga nk kwa hiyo mkuu hapo inabidi tu akupigae shavu la kulia mpe na la kushoto kama kweli Yesu yupo ndani yako
 
Nimejitahidi mno kuwa mstahimilivu nimeenda kila mahali panapostahili. Nimejitahidi kumtafuta ana kwa ana bado ananikwepa simu zangu hapokei tena kinachokera sio mkweli ni muongo mpaka inatisha...sio Mimi peke yangu wengi sana wamelia lakini tumekuwa tukiishia kunung'unika tu kiroho kuwa tunamuachia Mungu bt ilipofika nadhani hata Mungu mwenyewe anatuona wapuuzi.!! Huyu kama kweli bado yupo kiroho basi so kwa walio karibu sana nae.!! Naomba unishauri mpendwa namna niwezavyochukua hatua.
Sasa nakushauri mshtaki kwa masau bwire yule msemaji mwenye porojo nyingi sana wa timu za mpura huyo ndiye kiboko yake atakurudishia pesa yako yote
 
Ninataka kumshtaki Rose mhando kwa utapeli. Tafadhari naomba wabobezi Wa kisheria hapa Ndani. Mara ya kwanza niliandaa tukio tanga hakutokea sbb alipata ajali, nilimlipa nikasamehe. Mara ya pili niliandaa tamasha Morogoro.. Nikamlipa hakutokea kwa maelezo aliyojieleza.. Mara ya tatu nimeandaa tamasha Tanga hajatokea tena mara hii nikiwa nimeandikishana nae. Kilichoniuma zaidi ni pale aliponidanganya kwa kutaka pesa zaidi na kuniambia yuko njiani anakuja nimtumie pesa ya mafuta ya Gari.. Kumbe hata wazo la kuja Kwenye tamasha. Hana mpaka sasa ameshakula zaidi ya milioni nne kwa style. Tofauti je naweza fungua kesi mahakamani. Naomba msaada. Sasa hivi nilimpigia simu hapokei..
Kwanini anakuchezea kiasi hicho hujaonja kweli utamu wake wewe.
 
Pole sana kwa tatizo, naamini umeshapata msaada hadi sasa. Asikudanganye mtu eti uweke mkataba hapa! Achana na hio habari. Kama unasema hata Msama amemchoka basi samehe kwa mara ya mwisho then move forward tena kama utaweza futa kabisa huu uzi.

Nilishasikia kipindi fulani kuwa kawapiga pesa watu wa Manyara nadhani.... au kuna mtu anatumia namba yake? Mmeshaongea hivi uso kwa uso?
 
Back
Top Bottom