pakamapepe
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 221
- 46
Umeckia nae huko wanavompinga siku izKwaulize Philippines kama walifanya kimya kimya
Umeckia nae huko wanavompinga siku izKwaulize Philippines kama walifanya kimya kimya
.... A fact has no party, it remains a fact...Bavicha wamechanganyikiwa mpaka Nape amekuwa kama shujaa wao.Kuna watu walimuita vuvuzela,leo wanamsifia,Bavicha mnagua ugonjwa gani?
Huyo Nape kakosa kazi, alitaka kuipeleka bungeni why amesubiri Makonda kuanza.
Aondoe uongo wake apeleke huko, lazima kaguswa mahala kwa kufaidika na haya madawa.
Huwezi kuwa chama kimoja na mtu kuja kumsema live, huyu ana yake ya moyoni na ufisadi unanukia. Watu wake wameguswaaaaaa haswaaaaa
Naona hio serikali wengine wabaya waliojaa wivu, eameanza kujionyesha kuwa hawapendani na haaampendi Makonda.
Na shisha sijui nini, lol Nape umechemka balaaa.
Hufai unatamaa ya wewe kuwa juu, unapitwa na mchapa kazi unaona wivu.
Kadance na wasaniii, ulale usingizi mnono.
Utamuitaje muuza madawa polisi.....Lazima kama ana mima...v ataitoaaaa anakimbiza ushahidi....ndomana wote waliyo report wako nje mpaka sasa......Huyo Nape kakosa kazi, alitaka kuipeleka bungeni why amesubiri Makonda kuanza.
Aondoe uongo wake apeleke huko, lazima kaguswa mahala kwa kufaidika na haya madawa.
Huwezi kuwa chama kimoja na mtu kuja kumsema live, huyu ana yake ya moyoni na ufisadi unanukia. Watu wake wameguswaaaaaa haswaaaaa
Naona hio serikali wengine wabaya waliojaa wivu, eameanza kujionyesha kuwa hawapendani na haaampendi Makonda.
Na shisha sijui nini, lol Nape umechemka balaaa.
Hufai unatamaa ya wewe kuwa juu, unapitwa na mchapa kazi unaona wivu.
Kadance na wasaniii, ulale usingizi mnono.
... Endeleeni kuparurana macho huko, ila after five years tutawataka mtuonyeshe vi wonders....Nape ni mzushi kabisa. Hivi waliomtukana JK na kumdharirisha JK si ndiyo hao hao waliosema JK ni dhaifu anashindwa kuwataja wauza unga?
Ukweli, alichofanya Nape ni sawa na kupingana na mkuu wake wa kazi nje ya utaratibu. Kama Waziri, anaweza kuwasilisha maoni au malalamiko yake kwa Waziri mkuu, Makamu wa rais na hata Rais mwenyewe. Lakini yeye ameamua kwenja nje ya 'collective rensponsibility'. Na hii inazua maswali, je, aliyosema Steve Nyerere kuwa Nape wameampa kumshughulikia mteule mwingine wa rais (Mkuu wa Mkoa) ni kweli au si kweli?
Yote tisa, leo Nape kaongea hayo, tene kwenye vyombo vya habari, kuna ni vyombo kuhusu siri za Baraza la Mawaziri, na uwezo wa kukaa kimya bila kuongea mambo ya nchi yanayojadiliwa kwenye baraza la mawaziri?
Sasa Mtukufu Nape si yuko Live , zimeni ITV basi tusione .Vijana wa Chadema kama kawaida wamejikita kupotosha kauli
Sawa mkuu, tumejua na wewe na flati skirini.Nape yupo hewani kwenye kipindi cha dak45 cha ITV. Swali la kwanza kaulizwa kuhusu ile kauli yake
ya kupinga utaratibu uliotumiwa na makonda kuwataja wauza madawa ya kulevya.
==========
Habari Zaidi
Wadau waziri nape yupo hapa anahojiwa na sam mahela itv.
Ila naona amempinga wazi wazi mkuu wa mkoa na mbinu yake ya kupambana na madawa ya kulevya, amesema unawezaje kumtaarifu mtu kuwa unataka kumkamata? Amesema kuwa mbinu iliyotumika ndio imevuruga vita yenyewe. Amesema huwezi kwenda kuwinda halafu unapiga risasi juu, wanyama watakimbia.
Pia amesema Hii idea ya kupambana na dawa za kulevya aliianzisha yeye na alikuwa nayo na alikuwa anapanga kuipeleka bungeni. Pia idea ya shisha alikuwa nayo yeye kuizuia. .
Ni hayo tu wadau
Nape amenifurahisha sana.
Kwa kweli Bwana DAIDI BASHITE Alikurupuka sana. Yaani nazidi kuamini haya yanayosemwa kumhusu bwana DAUDI..
Alamsik
![]()
![]()
... RC alikuwa right kivipi? Mbona commissioner, hata jana akihojiwa na Tido bado amerudia the approach was quite wrong, huyo ni msomi na mwenye vyeti vyote...Hapana RC alikuwa very right. Hawa watu ni kuwaanika ili waache. Ukienda chini kwa chini huwezi kushinda watakuumiza na hidden networks zao zilizoimara. Alichofanya ni kumtaarifu kila mmoja wetu kuwa hawa ni wale walio na mtandao uliosababisha ndugu zetu wanyongwe nje!
Sio kama alinyimwa,uwezo wa kusukuma lile zigo Bashite hana,dada kaona atatiwa shombo buleYah...... Huo ndiyo ukweli mchungu.
Bashite aliomba mzigo akanyimwa, ndiyo maana akamjengea Bifu huyo Binti wa watu, hadi akaamua kumsotesha central kwa siku 6 nzima bila kupewa dhamana na hatimaye amemfungulia mashitaka eti ya kumkuta na msokoto mmoja wa bangi!
..baki na hamu zakoMtatupa update maana wengine TV hatuna
Bavicha wamechanganyikiwa mpaka Nape amekuwa kama shujaa wao.Kuna watu walimuita vuvuzela,leo wanamsifia,Bavicha mnagua ugonjwa gani?