Nape Nnauye: Unawezaje kumtaarifu Muuza Dawa za Kulevya kuwa unataka kumkamata?

Nape yupo hewani kwenye kipindi cha dak45 cha ITV. Swali la kwanza kaulizwa kuhusu ile kauli yake
ya kupinga utaratibu uliotumiwa na makonda kuwataja wauza madawa ya kulevya.

==========
Habari Zaidi

Wadau waziri nape yupo hapa anahojiwa na sam mahela itv.

Ila naona amempinga wazi wazi mkuu wa mkoa na mbinu yake ya kupambana na madawa ya kulevya, amesema unawezaje kumtaarifu mtu kuwa unataka kumkamata? Amesema kuwa mbinu iliyotumika ndio imevuruga vita yenyewe. Amesema huwezi kwenda kuwinda halafu unapiga risasi juu, wanyama watakimbia.

Pia amesema Hii idea ya kupambana na dawa za kulevya aliianzisha yeye na alikuwa nayo na alikuwa anapanga kuipeleka bungeni. Pia idea ya shisha alikuwa nayo yeye kuizuia. .

Ni hayo tu wadau

Nape amenifurahisha sana.

Kwa kweli Bwana DAIDI BASHITE Alikurupuka sana. Yaani nazidi kuamini haya yanayosemwa kumhusu bwana DAUDI..

Alamsik

1fe18f7e642773427357a51bad03d7bd.jpg


03327b3b2d410e690955a9da1ff32d47.jpg
Nape yupo hewani kwenye kipindi cha dak45 cha ITV. Swali la kwanza kaulizwa kuhusu ile kauli yake
ya kupinga utaratibu uliotumiwa na makonda kuwataja wauza madawa ya kulevya.

==========
Habari Zaidi

Wadau waziri nape yupo hapa anahojiwa na sam mahela itv.

Ila naona amempinga wazi wazi mkuu wa mkoa na mbinu yake ya kupambana na madawa ya kulevya, amesema unawezaje kumtaarifu mtu kuwa unataka kumkamata? Amesema kuwa mbinu iliyotumika ndio imevuruga vita yenyewe. Amesema huwezi kwenda kuwinda halafu unapiga risasi juu, wanyama watakimbia.

Pia amesema Hii idea ya kupambana na dawa za kulevya aliianzisha yeye na alikuwa nayo na alikuwa anapanga kuipeleka bungeni. Pia idea ya shisha alikuwa nayo yeye kuizuia. .

Ni hayo tu wadau

Nape amenifurahisha sana.

Kwa kweli Bwana DAIDI BASHITE Alikurupuka sana. Yaani nazidi kuamini haya yanayosemwa kumhusu bwana DAUDI..

Alamsik

1fe18f7e642773427357a51bad03d7bd.jpg


03327b3b2d410e690955a9da1ff32d47.jpg
Nape yupo hewani kwenye kipindi cha dak45 cha ITV. Swali la kwanza kaulizwa kuhusu ile kauli yake
ya kupinga utaratibu uliotumiwa na makonda kuwataja wauza madawa ya kulevya.

==========
Habari Zaidi

Wadau waziri nape yupo hapa anahojiwa na sam mahela itv.

Ila naona amempinga wazi wazi mkuu wa mkoa na mbinu yake ya kupambana na madawa ya kulevya, amesema unawezaje kumtaarifu mtu kuwa unataka kumkamata? Amesema kuwa mbinu iliyotumika ndio imevuruga vita yenyewe. Amesema huwezi kwenda kuwinda halafu unapiga risasi juu, wanyama watakimbia.

Pia amesema Hii idea ya kupambana na dawa za kulevya aliianzisha yeye na alikuwa nayo na alikuwa anapanga kuipeleka bungeni. Pia idea ya shisha alikuwa nayo yeye kuizuia. .

Ni hayo tu wadau

Nape amenifurahisha sana.

Kwa kweli Bwana DAIDI BASHITE Alikurupuka sana. Yaani nazidi kuamini haya yanayosemwa kumhusu bwana DAUDI..

Alamsik

1fe18f7e642773427357a51bad03d7bd.jpg


03327b3b2d410e690955a9da1ff32d47.jpg
Nape anajikaanga
1. Big insubordination kumlaumu mtendaji aliyekuwa chini yako kwenye line of authority..... Kichwa kuulaumu mkono
Mko serikali moja Nape kaeni chemba umuonye dogo kama watu wazima
2. Beef na Makonda linamshusha kwakuwa Nape is more senior na Makonda is nothing compared to Nape.
3. Tatizo la madawa lipo yeye alijaribu kufanya nini better than what stupid Makonda did?
4. Kutajwa kwenye clips za akina Steve Nyerere pamoja na ukaribu wake na akina Ubaya/Wema ni jipu.
5. Kumpinga mjukuu wa babu (mdekezwa makond) itamgharimu.
6. Mkuu wa ichi alimsapoti manenepa/makonda sasa yeye ni kama anapingana na mkuu wa nchi.
7. Utendaji wake Nape hauendani na kasi ya JPM bado yuko kwenye cool and nice JK zone
8. Huu sio utawala wa kutumia vyombo vya habari kuiponda serikali ama utendaji ataitwa msaliti.
Maoni yangu tu I might be wrong ila kadi nyekundu inaweza kumfuata
 
Nape ni mzushi kabisa. Hivi waliomtukana JK na kumdharirisha JK si ndiyo hao hao waliosema JK ni dhaifu anashindwa kuwataja wauza unga?
 
Back
Top Bottom