Nape Nnauye: Unawezaje kumtaarifu Muuza Dawa za Kulevya kuwa unataka kumkamata?

Yah...... Huo ndiyo ukweli mchungu.

Bashite aliomba mzigo akanyimwa, ndiyo maana akamjengea Bifu huyo Binti wa watu, hadi akaamua kumsotesha central kwa siku 6 nzima bila kupewa dhamana na hatimaye amemfungulia mashitaka eti ya kumkuta na msokoto mmoja wa bangi!
Na Gwajima alikuwa anataka ubunge kwenye jimbo ambalo mungu wa Dar analitaka 2020.....
Haka kajamaa ni km kamezaliwa kudharirisha wenzake
 
Kwa mjinga yeyote lazima afikiri kama unavyo fikiri wewe hisia sio uhalisia hebu angalia mfumo wa utajaji majina kwan anaye hisiwa ni mtuhumiwa tayari? Kwa anaye tuhumiwa na tuhuma zika muhusu na akahusika si vibaya akitajwa lakin mtu hujui kama anauza ama laa hala unamtaja kama muuzaji then una peleleza unakuta si muuzaji wala mtimiaji lakin umesha mchafua kwenye media kama muuzaji na jamii ikalibeba hivyo maana taarifa ya kwanaa ndiyo huwa na nguvu zaid , ulikuwa ujinga tu na yeyote anaye unga mkoni naye ni mjinga wa type yake.
Hujui vita hii na huna ndugu aliye patwa na msala huu. Huu ni kama ukoma unatibia kwa kuaniakwa. Hata dhambi husamehewa kwa kutubu. Aluta continua my best RC. Hapa ni kazi tu ukibishana mtandaoni watapoteza focus. This time mpaka muache ujinga wenu. We are committed tp eradicate the inhumane business
 
Nape naona anapingana na kauli ya rais ya kupambana na wauza madawa. JK alitukanwa sana kuhusu kutaja wauza madawa. Sasa Nape anasapoti wauza madawa wasitajwe, je kwa nini asifutwe kazi?
Huwa nakisitikia sana chama kimebeba wajinga wengi kuliko wenye akili.
Kimebeba waongo wengi kuliko wakweli
Kimebeba wanafiki weng zaid kuliko mwaaminifu chama kina watu wabaya zaid kuliko wazuri
Walio wengi ndani ya chama hawapendi na hawataki kuusikia ukweli wowote maskioni mwao
Kwa nini chama kina watu wa aina hii wengi zaid ya sana ,najiuliza sana.

Nape ni binadamu ambaye naye anauwezo wa kubadirika kadri siku zinavyo songa
Umefika wakati wa yeye kuwa tofauti na wanafiki na waongo
Nape kaamua kuusimamia ukweli anao uamini sio anao aminishwa
Kweli wakweli hawatakiwi ndani ya chamaa....??
 
Nape naona anapingana na kauli ya rais ya kupambana na wauza madawa. JK alitukanwa sana kuhusu kutaja wauza madawa. Sasa Nape anasapoti wauza madawa wasitajwe, je kwa nini asifutwe kazi?
Brand aliyokuwa anaitete inazidi kutia aibu na sasa imekimbilia ''kwa wenzake''aibu gani hii ya kutetea brand mbovu.
 
Nape naona anapingana na kauli ya rais ya kupambana na wauza madawa. JK alitukanwa sana kuhusu kutaja wauza madawa. Sasa Nape anasapoti wauza madawa wasitajwe, je kwa nini asifutwe kazi?
Huyo haguswi shauri ya goli la mkono!!! Mguseni mkione kitimutimu chake!! Hapo Gabriele mkuu lazima anyooshe mikono!
 
Nape naona anapingana na kauli ya rais ya kupambana na wauza madawa. JK alitukanwa sana kuhusu kutaja wauza madawa. Sasa Nape anasapoti wauza madawa wasitajwe, je kwa nini asifutwe kazi?
Wewe unawajua wauza madawa wanaotakiwa kutajwa?,unajua maana yake kutaja taja to then badae unammkuta
 
Hapana RC alikuwa very right. Hawa watu ni kuwaanika ili waache. Ukienda chini kwa chini huwezi kushinda watakuumiza na hidden networks zao zilizoimara. Alichofanya ni kumtaarifu kila mmoja wetu kuwa hawa ni wale walio na mtandao uliosababisha ndugu zetu wanyongwe nje!
Kina t.i.d? Au wema ndo wanasababisha watu wanyongwe!? Hata gwajima!? Bashite alikurupuka, ili ajifiche ndo kaamua kuwataja kina mboe ( wabaya wa babaake) alifikiri itamsaidia kupata saport kumbe ndo kavuruga zaidi bora asingeleta phase 2"
 
Nape naona anapingana na kauli ya rais ya kupambana na wauza madawa. JK alitukanwa sana kuhusu kutaja wauza madawa. Sasa Nape anasapoti wauza madawa wasitajwe, je kwa nini asifutwe kazi?
Amesapoti kivipi?
 
Nape naona anapingana na kauli ya rais ya kupambana na wauza madawa. JK alitukanwa sana kuhusu kutaja wauza madawa. Sasa Nape anasapoti wauza madawa wasitajwe, je kwa nini asifutwe kazi?
Huwezi mtaja mtu hadharani kama huna ushahidi mahakama pekee ndio inayo thibitisha
 
Naona Lumumba Wamekosa Hoja Sasa Hata Wenyewe Uaminifu Umekwisha Unafki Utawatafuna Hadi Mwisho wa Siku Zenu.
 
Nape atatumbuliwa muda si mrefu. Kumkosoa Makonda katika ile drama ni sawa na kumkosoa Magufuli, cos Mh Magu aliibariki ile operesheni mbele ya uma.
 
Hii ishu ya madawa naona Makonda amegusa maslahi ya watu
.. Hakuna cha maslahi wala nini, as well said by Nape the approach was quite wrong, umeona kundi la swala badala ya kunyatia kama simba unachukua spika na kuwatangazia swala kwamba nyie swala 2 nimewatamani njooni hapa niwachinje...
 
Back
Top Bottom