Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 97,629
- 119,174
TrueSuluhisho ni ccm kuondolewa kwanguvu bila kuondolewa matatizo nazidi kila kukicha ogopa chama kinachojiweka chenyewe bila kutemea kura ya mtu
TrueSuluhisho ni ccm kuondolewa kwanguvu bila kuondolewa matatizo nazidi kila kukicha ogopa chama kinachojiweka chenyewe bila kutemea kura ya mtu
Rubbish,vipi kwingine Afrika walikoondolewa kwa nguvu au vinginevyo wamepata maendeleo? 😂😂Suluhisho ni ccm kuondolewa kwanguvu bila kuondolewa matatizo nazidi kila kukicha ogopa chama kinachojiweka chenyewe bila kutemea kura ya mtu
Watu wa Dar ni walalamishi Sana.Kawaambie Hawa hapa kwamba tozo hazina maana uone watakachokueleza 👇Mkuu dar joto Acha tule kiyoyozi
Mm huwa silaumu wala siumi vyovyote sawa tu
Kazi iendeleee
Ova
View attachment 2022837
Issue ya kodi,tozo kwa mwananchi haikwepekiWatu wa Dar ni walalamishi Sana.Kawaambie Hawa hapa kwamba tozo hazina maana uone watakachokueleza 👇
View attachment 2022838
View attachment 2022839
HahahahahaRubbish,vipi kwingine Afrika walikoondolewa kwa nguvu au vinginevyo wamepata maendeleo? 😂😂
Kama hujui chanzo cha matatizo utahangaika bure tuu.
Chanzo cha matatizo hapa kwetu ni ccm kuiba uchaguzi sababu za kuiba uchaguzi nikupandisha maisha kutoza kodi za kero na wizi wakodi zetu.Rubbish,vipi kwingine Afrika walikoondolewa kwa nguvu au vinginevyo wamepata maendeleo? 😂😂
Kama hujui chanzo cha matatizo utahangaika bure tuu.
Sijui kama hiyo ni kweliChanzo cha matatizo hapa kwetu ni ccm kuiba uchaguzi sabu za kuiba uchaguzi nikupandisha maisha kutoza kodi za kero na wizi wakidi zetu.
Kamulize jirani yako Kama kuna mwizi mwenye nia njemaSijui kama hiyo ni kweli
Hii
Ova
Nipo nayajenga sahv napiga capuchinoKamulize jirani yako Kama kuna mwizi mwenye nia njema
Siyo kweliCcm utumia kodi Ili kuwafanya watz wawe masikini ili isianguke,ukiwa masikini ni lzm uwe mjinga sababu umasikini upunguza uwezo wa kufikiri upungue sababu kukosa lishe, ukiwa mjinga utaichagua ccm kwani inawekwa madarakani na wajinga.
Bongolala zitazinduka🤔?Natamani haya madanganyika yauziwe kila kitu kwa bei ya juu (hata pumzi yawe yananunua) ili yazinduke
Tatizo ni makodi ya hovyo ya bi, Tozo.“Walipokuwa wanauza nje walikuwa wanatoa kwa wauzaji wa nje asilimia 13, ina maana walikuwa wanapata punguzo kwenye suala la kodi, sasa baada ya hiki kilichotokea zile 13 zote zimerudi. Hiki ndicho kitu kikubwa kinacholeta tatizo,’’ alisema.
Hivi mnapoandika na maherufi makubwa , uoni Kama ni sawa nakupiga makelele ..?!DEMAND KUWA KUBWA NI ISHARA YA VYUMA KULEGEA ,UPIGAJI MWINGI KWA WALE WALIO KWENYE VITENGO .WANA FIDIA MAGEPU PINDI JEMBE LILIPO BANA UBADHIRIFU WA MALI ZA UMA,MPAKA WAZIRI WA WIZARA ANATOA MAJIBU YA UKAKASI KWAMBA NA YEYE ANA SHANGAA KWA NINI VIME PANDA HIVYO ,IKISHINDWA KUJUA KWAMBA HALI KAMA HII NI KAA LA MOTO KWA WANANCHI WAKIPATO CHA KAWAIDA HUKO VIJIJINI ,YEYE KAMA WAZIRI ANAPASWA AFANYE QUICK INTERVATION
Hadi pumba mashineni zimepanda Bei, au nazo zinatoka China?Materials zitoke afrika zipelekwe China
Alafu wao wanakuja kutukongota mabei
Ova
Kabla ya tozo serikali ilikua ikitoa wapi pesa? Kikwete alijengaje shule zote za kata? Alijengaje barabara? Jiwe alijengaje na yeye? Mbona umekua mjinga sana?Issue ya kodi,tozo kwa mwananchi haikwepeki
Kulipa,kukatwa duniani
Ova
Umeisoma hiyo taarifa kwenye gazeti la mwananchi?DEMAND KUWA KUBWA NI ISHARA YA VYUMA KULEGEA ,UPIGAJI MWINGI KWA WALE WALIO KWENYE VITENGO .WANA FIDIA MAGEPU PINDI JEMBE LILIPO BANA UBADHIRIFU WA MALI ZA UMA,MPAKA WAZIRI WA WIZARA ANATOA MAJIBU YA UKAKASI KWAMBA NA YEYE ANA SHANGAA KWA NINI VIME PANDA HIVYO ,IKISHINDWA KUJUA KWAMBA HALI KAMA HII NI KAA LA MOTO KWA WANANCHI WAKIPATO CHA KAWAIDA HUKO VIJIJINI ,YEYE KAMA WAZIRI ANAPASWA AFANYE QUICK INTERVATION