Muziki wa Warekani Weusi hasa hiphop ni sumu, Wazazi na walezi tujitahidi kuwaepusha watoto na huu ujinga

namna hiyo. ulichoandika nimekiandika kwa sentensi moja post #16.
na zaidi mleta mada ameakisi hii modern hip hop ambayo ni takataka inayozidi kuharibu akili hata kidogo aliyonayo mtu mweusi na kuzidi kuwa manyanya masalo.
Kitu ambacho akijui ni kua hadi Leo kuna mainstream artist na underground artist , wale underground still wanafata bado misingi ya hip hop na wapo wengi tu kwahiyo ni hiari yako kuchagua umusikiliza nani

Halafu kitu cha kufikirisha eti anasema watu waache kusikiliza hip hop eti kisa watapotea, sasa swali la kujiuliza vipi hawa bongo fleva wanaoimba matusi kila wimbo wao ndio tuwasikilize
 
Umeandika kwa kukurupuka sana, ila siwezi kukuupinga inawezekana huelewa wako kuhusu mziki wa hip hop umekomea hapo, jaribu kwenda deep na ufatilie vizuri mziki wa hip hop then unaweza kuja kuomba hii thread yako ifutwe.

Kwa ufupi sana labda nikwambie hip hop kama ulivykua mziki wa reggae ulijikita zaidi katika kutetea haki ya watu weusi dhiidi ya unyonyaji na ubaguzi wa rangi uliokuwepo kwa kiasi kikubwa wakati ule, pia marapa wengi waliandika mashairi makali na kuichana government ambayo walidai ndio ulikua unalea ule mfumo wa kinyonyaji.

Kama kawaida serikali ya Marekani baada ya kugundua ule mziki unapendwa na umeanza kupata wafuasi wengi, wakaamua kutumia propaganda kubwa kuakikisha wanacontrol mziki mzima wa hip hop ikiwa pamoja na kuanzisha vyombo vya habari na record lebel ambazo zitacontrol kwa kiasi kikubwa music industry.
Lengo lilikua ni kuakikisha wasanii wanaacha kuimba mziki wa kimapinduzi ambao ulionekana ni threat Kwa system na kuanza kuimba hivyo vitu unavyovipigia kelele kama vile drugs, sex, gangster lifestyle na uhuni mwingine.

Wasanii waliokua wanaimba kuhusu hivyo vitu ndio wakawa wanapewa airtime kwenye media, wanapata show za kutosha na ndio wakawa wanapewa mpaka tuzo na kua maarufu sana katika jamii, wakati wale waliojikita katika kuimba ujumbe na kuiremisha jamii hawakupewa airtime kabisa wala show hata tuzo

Kama wewe umeaufatila mziki vizuri wa hip hop utakua unamjua Marehemu Easy E huyu ndio anatajwa kua father of gangster rap na ndio msanii wa kwanza kuitwa ikulu ya white house hii tukio lilikua ni la kimkakati zaidi kwani baaada aliwavutia vijana wengi kuimba nyimbo za kingengster sababu hata serikali ilitoa baraka.

Nina mengi ya kukuambia ila sio mzuri kwenye kuandika kivile ngoja nikomee hapo
Hio ni mianya ya kujitetea tu (victim Mentality)

Kilichotokea ni kwamba wamarekani weusi wao wenyewe waliupa demand mziki wa kihuni, bila demand kungekuwa kuna wasanii wachache sana wanaoimba huu uhuni.
 
I know I can
Be what I wanna be
If I work hard at it
I'll be where I wanna be
I know I can (I know I can)
Be what I wanna be (be what I wanna be)
If I work hard at it (If I work hard it)
I'll be where I wanna be (I'll be where I wanna be)
Be, b-boys and girls, listen up
You can be anything in the world, in God we trust
An architect, doctor, maybe an actress
But nothing comes easy, it takes much practice
Like, I met a woman who's becoming a star
She was very beautiful, leaving people in awe
Singing songs, Lena Horne, but the younger version
Hung with the wrong person, got her strung on that heroin
Cocaine, sniffing up drugs, all in her nose
Could've died, so young, now looks ugly and old
No fun 'cause when she reaches for hugs, people hold their breath
'Cause she smells of corrosion and death
Watch the company you keep and the crowd you bring
'Cause they came to do drugs and you came to sing
So if you gonna be the best, I'ma tell you how
Put your hands in the air, and take the vow
I know I can (I know I can)
Be what I wanna be (be what I wanna be)
If I work hard at it (If I work hard it)
I'll be where I wanna be (I'll be where I wanna be)
I know I can (I know I can)
Be what I wanna be (be what I wanna be)
If I work hard at it (If I work hard it)
I'll be where I wanna be (I'll be where I wanna be)
Be, b-boys and girls, listen again
This is for grown-looking girls who's only 10
The ones who watch videos and do what they see
As cute as can be, up in the club with fake ID
Careful, 'fore you meet a man with HIV
You can host the TV like Oprah Winfrey
Whatever you decide, be careful, some men be
Rapists, so act your age, don't pretend to be
Older than you are, give yourself time to grow
You thinking he can give you wealth, but so
Young boys, you can use a lot of help, you know
You thinking life's all about smoking weed and ice
You don't wanna be my age and can't read and write
Begging different women for a place to sleep at night
Smart boys turn to men and do whatever they wish
If you believe you can achieve, then say it like this
I know I can (I know I can)
Be what I wanna be (be what I wanna be)
If I work hard at it (If I work hard it)
I'll be where I wanna be (I'll be where I wanna be)
Now, go
I know I can (I know I can)
Be what I wanna be (be what I wanna be)
If I work hard at it (If I work hard it)
I'll be where I wanna be (I'll be where I wanna be)
Be, be-fore we came to this country
We were kings and queens, never porch monkeys
There was empires in Africa called Kush
Timbuktu, where every race came to get books
To learn from black teachers who taught Greeks and Romans
Asian, Arabs and gave them gold, when
Gold was converted to money it all changed
Money then became empowerment for Europeans
The Persian military invaded
They heard about the gold, the teachings, and everything sacred
Africa was almost robbed naked
Slavery was money, so they began making slave ships
Egypt was the place that Alexander the Great went
He was so shocked at the mountains with black faces
Shot up they nose to impose what basically
Still goes on today, you see?
If the truth is told, the youth can grow
They'll learn to survive until they gain control
Nobody says you have to be gangstas, hoes
Read more, learn more, change the globe
Ghetto children, do your thing
Hold your head up, little man, you're a king
Young Princess when you get your wedding ring
Your man is saying "She's my Queen"
I know I can (I know I can)
Be what I wanna be (be what I wanna be)
If I work hard at it (If I work hard it)
I'll be where I wanna be (I'll be where I wanna be)
I know I can (I know I can)
Be what I wanna be (be what I wanna be)
If I work hard at it (If I work hard it)
I'll be where I wanna be (I'll be where I wanna be)
Save the music, y'all
Save the music, y'all
Save the music, y'all
Save the music, y'all
Save the music
Ndio miziki ambayo ilibidi itolewe tena na tena na tena lakini ni Nas huyo huyo kaimba mziki maarufu kuzidi huo unaohimiza kununua bunduki ukiwa kitaa ama una bifu - Got yourself a Gun
 
Hio ni mianya ya kujitetea tu,

Kilichotokea ni kwamba wamarekani weusi wao wenyewe waliupa demand mziki wa kihuni, bila demand kungekuwa kuna wasanii wachache sana wanaoimba huu uhuni.

Ingia youtube tu ucheki miziki ya hawa kina rainbow Takeshi uone utofauti wa demand
In short nikwambie tu hujui kitu chochote kuhusu hip hop, hao wasanii unaowataja hata sio hip hop

Lakini aulazimishwi kusikiliza miziki yao unaweza kuendelea kusikiliza chapati ya zuchu nao ni mziki na ujumbe mzuri tu
 
In short nikwambie tu hujui kitu chochote kuhusu hip hop, hao wasanii unaowataja hata sio hip hop

Lakini aulazimishwi kusikiliza miziki yao unaweza kuendelea kusikiliza chapati ya zuchu nao ni mziki na ujumbe mzuri tu
Ok tuseme basi hata kina Nas, Wimbo wake maarufu kama Got yourself a gun una message ya kuhamasisha kununua bomba, what is the point of having a gun mtaani ama ukiwa na beef ?
 
Ok tuseme basi hata kina Nas, Wimbo wake maarufu kama Got yourself a gun una message ya kuhamasisha kununua bomba, what is the point of having a gun ?
Sikiliza nyimbo nzima na uilewe wakati mwingine unaweza kushika mstari mmoja na kukomalia hapohapo uku ukiutafasiri unavyojua wewe, lakini pia unatakiwa ujue mziki ni sanaa wakati mwingine wasanii wanatumia uandishi wa kisanaa zaidi na unweza usiwaelewe kama utokua makini
 
View attachment 2945499
Ngavu chalii yangu kula chuma kwanza
Lil wayne mharibifu sana.

Hii ni kazi yake kwenye Pop Dat ft Frenc Montana

Bitch! Stop talkin' that shit
And suck a nigga dick for some Trukfit
Okay I https://jamii.app/JFUserGuide a bitch and I'm gone
That’s gangsta: Al Capone
I make that pussy spit like Bone
I'm talkin' 'bout bone, bone, bone bone
 
Ndio miziki ambayo ilibidi itolewe tena na tena na tena lakini ni Nas huyo huyo kaimba mziki maarufu kuzidi huo unaohimiza kununua bunduki ukiwa kitaa ama una bifu - Got yourself a Gun
Mkuu huo wimbo umeuelewa lkn? Au umebeba heading tu? Hakuna ujumbe wa hovyo humo ndani na una tafsida kubwa sana tena isiyojificha.

Tafadhali soma lyrics zake.
 
Ni muziki ambao umesambaza culture ya kijinga sana.

1. Kuwaendekeza wasikilizahji kudharau shule, Kusifia ujeuri dhini ya walimu utoro, na kuwaaminisha watoto elimu ya mtaani (street smrts za kutoboa kwa shortcuts) ina thamani kuzidi elimu ya shuleni, Wengi wameon shule ni upuuzi na kujikita kwenye michezo na sanaa huku wachache wakifanikiwa na wengi wakirudi mitaani bila vyeti hata vya sekondari matokeo yake huanza kuuza madawa, Hii imechngia wamarekani weusi wengi kushindwa kusoma na kuandika, Tatizo sio shule bali ni mindset, Mchezaji wa mpira wa kikapu Lebron James alianzisha shule ya mabilioni kusomesha bure wamarekani weusi yni msosi fresh, mzingira safi, vitabu, internet, n.k. lakini miaka mitatu mfululio hakuna mwanafunzi mweusi kaweza kupita mtihani wa hesabu wa shule ya msingi.

2. Huchochea visasi, Wamarekani weusi wanauana wao kwa wao mara nane zaidi kuzidi wanavyouwawa na mapolisi (wao husema revenge is the sweetest think mext ti puzeey)

3. Kuchochea mmonyoko wa maadili, imekuwa kawaida wasanii kuvaa milegezo, kuona ni fahari kulala na wake za watu wengine.

4. Kushusha thamani ya mwanamke kuwa ni chombo cha starehe, sio hivyo tu huwaita wanawake ni bitches (mbwa jike)

5. Kupelekea uhalifu zaidi, misemo kama sniches get stitches inatishia watu wataoripoti uhalifu kushushiwa vipigo vizito wakigundulika, My Ride or die ni kumsifia mwananamke kuwa wife material kwasababu mnahaso nae kwa kufanya uhalifua na yupo loyal hawezi kukusnich, haya mambo yote yamechochea sana jamii ya wamarekani weusi kuwa na uhalifu uliokothiri

6. kusifia matumizi ya madawa ya kulevya kumefanya wamarekani weusi wengi kuwa watumiaji na kuangukia kwenye uteja

7. Kutukuza Pesa na mali kama Mungu, Kushinikiza kupata pesa kwa namna yoyote ile hata kwa kuua ama kuuza nafsi yako kwa kudhalilika, kuwatusi na Kuwashusha thamani wasio na pesa kwa lugha chafu kama kuwaita broke a** niggers.
Ni kweli usemacho ila exception hazikosekani. Binafsi namkubali sana J. Cole yaani uniambii kitu.

Cha msingi vijana nyumbani ni kuwaonyesha mfano wa kufuata kabla ya kuwakataza cha kufanya.
 
Umeutafsiri wimbo kulingana mazingira ya kiafrika
Sikiliza nyimbo nzima na uilewe wakati mwingine unaweza kushika mstari mmoja na kukomalia hapohapo uku ukiutafasiri unavyojua wewe, lakini pia unatakiwa ujue mziki ni sanaa wakati mwingine wasanii wanatumia uandishi wa kisanaa zaidi na unweza usiwaelewe kama utokua makini
Mkuu huo wimbo umeuelewa lkn? Au umebeba heading tu? Hakuna ujumbe wa hovyo humo ndani na una tafsida kubwa sana tena isiyojificha.

Tafadhali soma lyrics zake.
Ni kweli verse zipo nondo lakini what about the Chorus ?

I got mine, I hope you got yourself a gun
(Ninayo yangu, Natumaini na wewe unayo yako)
You from the hood, I hope you got yourself a gun
(ukiwa mtaani hakikisha uwe na bunduki)
You want beef? Hope you got yourself a gun
(Ukitaka bifu hakikisha una bunduki)
And when I see you, I'ma take what I want,
(Nikikuona ntachukua nachokitaka )
so You tried to front, hope you got yourself a gun
(ukitaka kunizuia hakikisha una bunduki)
You ain't real, hope you got yourself a gun, yo
(Ukinisnich / ukinisaliti hakikisha una bunduki)
 
Huyu ni Ricky Rozay

I love my big booty bitches, my life a Godfather picture
Local club in my city, I fell in love with a stripper
Bitches know I'm that nigga, talkin' four-door Bugatti
I'm the life of the party, let's get these hoes on the Molly
Kuna tofauti ya hip hop before 2000s na sasa. Moja ni matusi matupu wakati nyingine ilikuwa harakati za kijamii
 
Ndio miziki ambayo ilibidi itolewe tena na tena na tena lakini ni Nas huyo huyo kaimba mziki maarufu kuzidi huo unaohimiza kununua bunduki ukiwa kitaa ama una bifu - Got yourself a Gun
Hilo Dude wasikilizaji wachache..wengi tunapenda faka faka...😀😀😀
 
Naona members mnabishana sana kuhusu Hiphop. Inapendeza. Kimsingi dunia nzima kwa sasa hakuna muziki wenye afadhali. Yote imeshaharibiwa. Hii bongo fleva yetu mwanzoni walikuwa wakiimba vitu vyenye akili ila siku hizi ni ushuzi mtupu. Injili ya kina Rose Muhando iliyovuma na yenyewe kwa sasa ina hadi msanii aliyeimba "Yesu ninyandue"... yaani ni balaa. Huko DRC na kwenyewe wameshaanza kulalamika ile original Rhumba inatoweka. Wasanii wanaimba vitu vya hovyo.

Hiphop nayo kama muziki namba moja ninaoupenda imeshapoteza sana mwelekeo. Nyimbo za busara kama STAY DOWN ya Flash feat Akon kwa sasa hakuna. Hiphop ya nyakati hizi ni ushuzi. Mimi ninadhani kwa sasa kila mtu awe karibu na mwanae kwasababu hakuna muziki utakaomwacha salama.
 
Back
Top Bottom