Mungu saidia wapigania haki m23 waikamate kinshasa

Unazani goma to kinshasa ni Ubongo na Kisarawe. Hapo ni zaid ya kilometer 2300 mkuu
Kwahiyo kilometer 2300 ni mbinguni kwamba hapafikiki sio wajinga nyie mnajambajamba sababu mmezoea kuonea raia Sasa raia wamewastukia wizi wenu mnakipata🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tuiombe na Tanzania iwasaidie M23 ili washinde dhidi ya FARDC ili kuyigomboa inji yetu yiliyo na Mali mingi ya kulisa afrika yote
Tanzania ni Moja ya gaidi linalosaidia kupora haki za raia wa kongo siwezi kuiombea
 
Mungu wape nguvu Hawa wapambanaji wa haki za wananchi waweze kuikamata kinshasa na kuweza kuleta Maendeleo Kwa wacongoman bila ubaguzi wowote sababu Hawa ndio wapigania haki wa kweli japo wanapigana dhidi ya magaidi ya FARDC waliozoea kunyonya raia wameenda kumsaidia gaidi mwenzao tshekedi ila m23 ni dude kubwa sanaa ambalo Africa linaogopeka
Hili kagame afyonze madini siyo
 
Wanapigania haki ipi,au haki ya kuwadhulumu wa Congo ?
maana hata mwizi hujihisi kuwa ana haki ya kuiba,muuaji nae hujiona kuwa ana haki ya kuishi
 
Wanapigania haki ipi,au haki ya kuwadhulumu wa Congo ?
maana hata mwizi hujihisi kuwa ana haki ya kuiba,muuaji nae hujiona kuwa ana haki ya kuishi
Endeleeni kuibia raia na kuteka raia ila ipo siku yenu yatawatokea puani kama congo wajinga nyie mtalimia meno
 
Mungu wape nguvu Hawa wapambanaji wa haki za wananchi waweze kuikamata kinshasa na kuweza kuleta Maendeleo Kwa wacongoman bila ubaguzi wowote sababu Hawa ndio wapigania haki wa kweli japo wanapigana dhidi ya magaidi ya FARDC waliozoea kunyonya raia wameenda kumsaidia gaidi mwenzao tshekedi ila m23 ni dude kubwa sanaa ambalo Africa linaogopeka
 
Unafahamu umbali wa kutoka Goma/Bukavu hadi Kinshasa...

Mungu wape nguvu Hawa wapambanaji wa haki za wananchi waweze kuikamata kinshasa na kuweza kuleta Maendeleo Kwa wacongoman bila ubaguzi wowote sababu Hawa ndio wapigania haki wa kweli japo wanapigana dhidi ya magaidi ya FARDC waliozoea kunyonya raia wameenda kumsaidia gaidi mwenzao tshekedi ila m23 ni dude kubwa sanaa ambalo Africa linaogopeka
 
Back
Top Bottom