Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,329
- 31,530
Zamani zilee wakati wanapambanaKaimwaga lini hii kauli huyu mzee wa kuliamsha dude?
Zamani zilee wakati wanapambanaKaimwaga lini hii kauli huyu mzee wa kuliamsha dude?
Jamaa anatibua code za watu huko lazima achukiwe,,vilinge vyao vinavurugwaKama Makond.a ni mchawi basi mchawi kweli kweli maana wakinga wengi hawachoki msema na kumfuatilia. Aliyemteua amefanikiwa
Wauza unga wenzake lazima wamuombeeAmeanza tena kuombewa,bado kulia
Hata angekuwa Muislamu ni haki yake.Haki yake kama Mkristo kukutana na kiongozi yeyote wa Kikristo ambaye yeye binafsi ataamua akutane naye
Makonda yeye ndie huamua akutane na nani sio viongozi wa dini
Mbowe ,Lema na Lisu watu wanawaombea ni Askofu Mwamakula na Shehe Katimba ambao hata makanisa au misikiti yao haijulikani vilipo na hayajawahi kuwa na matokeo yoyote hayo maombi yaoOhooooo!
Pengo na Mwamposa ndiyo washauri wabaya wa Makonda
Itafika Mahali itabidi wamuombe apumzike kwenye media...Kama Makond.a ni mchawi basi mchawi kweli kweli maana wakinga wengi hawachoki msema na kumfuatilia. Aliyemteua amefanikiwa
Mtumishi wa Mungu au wa shetani, watumishi wa Mungu ni wale wenye uwezo wa kinabii wa kukemea maovu. Hawa wanyakyusa ni matapeli wa kidini, wako tayari kupongeza na kuwaombea waovu ili waendelee na uovu waoMkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Boniface Mwamposa ofisini kwake, jijini Arusha
View attachment 2962309
Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa hilo wamempongeza Makonda kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na jitihada zake zote
Aidha, Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea baraka Mkuu wa mkoa huyo sambamba na kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumpa utashi, afya njema na nguvu za kuwatumikia wananchi wa mkoa huo
View attachment 2962315
Makonda leo, Jumamosi Aprili 13.2024 anafanya kikao cha ndani na Wakuu wa taasisi, Wakurugenzi na wakuu wa idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau mbalimbali ikiwemo wa sekta ya maliasili na utalii.
Pia soma: Makonda amtumia Mwamposa kupata umaarufu kwa kisingizio cha Salamu za Rais Samia , ni mbinu duni sana
Si amemsikia Mayele kasema kaombewa na Mwamposa?Ogopa sana hii Combination ya Mganga, Mwizi, Mwanga na Tapeli ikikukuta au ikitokea ukaiona mahala ni Hatari sana.
Mambo ya kiimani hayaendi hivyo Bwashee.Mbona maskini/walofilisika tuu ndiyo huanguka mapepo na kuwehuka? Walokole maskini wajitafakari kamavipi wajiuzulu...
Mbona hammwagii maji wala hamuuzii mafuta? Hamvui viatu amsilibe mafuta?
Mwamposa alipo anirudishie buku nne zangu nlinunua maji mbili na mafuta mbili na sijaona kitu oote
Unamchafuwa mtumishi, sadaka za waamini wake ni zaidi ya pesa wanazoingiza wauza unga.Wauza unga lazima waombeane
Sa mbona kilasiku mwamposa anasema Leo utafunguliwa utapata baraka dabodabo?Mambo ya kiimani hayaendi hivyo Bwashee.
Mungu anajibu maombi Kwa muda wake.
Humjui vizuri huyo ni tapeli kama matapeli wengineUnamchafuwa mtumishi, sadaka za waamini wake ni zaidi ya pesa wanazoingiza wauza unga.