St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,147
Kumuhudhi Rais..kwa muandiko huo naona kichekesho hiki
Kumuhudhi Rais..kwa muandiko huo naona kichekesho hiki
Bora ukubali ufanye chini ya kiwango, uondolewe
bado hujasema, mpaka useme 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Unakubali Ila wakati wa kuapishwa jifanye hujui kusoma vizuri kama yule mzee wangu ili akutengue bila kujua kakusaidia wewe
Bora ukatae maana naamini ukiwa RC wahuni qmwatakuendesha watakavyo.hautaweza kuvivaa viatu vya makonda
🤠🤠🤠Kifualess man
Vp umelamba uteuzi?
Na mikopo mikopo.UWT mnapenda nafasi za bure haswa
Inamaana hauko tayari kuahirisha kufikiri kwa nafsi?, Yaani kujizima dataSio utani.
Wakuu heshima kwenu.
Vyanzo vyangu vya uhakika kabisa ambavyo vingine viko kwenye jungu la ushauri la uteuzi wa rais vimeniambia ndani ya wiki moja mpaka mbili jina langu litakuwa moja katika mabadiliko fulani fulani katika uRC na uDC.
Nimeambiwa kwa uhakika kabisa kuwa kuna nafasi ya uRC ambayo kijana anayoishika kwa sasa anaonekana kupwaya hasa kwa kauli zake tata na hivyo unaandaliwa mchakato wa yeye kurudishwa katika majukumu mengine ya chama na hivyo nafasi yake kupatiwa mimi.
Kwa sasa nina furaha kubwa na kazi yangu ninayoifanya na hivyo nina mpango wa kukataa uteuzi huu. Naomba msaada na njia sahihi ya kukataa uteuzi huu bila kumhudhi mh Rais.
Natanguliza shukrani.
Ni kusanyiko la watu wajinga haswaNa mikopo mikopo.
Kusaini documents bila kuzisoma
Kusifiwa kusifiwa
Hapana Mkuu 🥹Vp umelamba uteuzi
Huku Tz Hadi maiti zinalamba uteuzi wewe upo Dunia Gani?Hapana Mkuu 🥹
Kaombe msamaha mizimu ya kwenu...au mwezi wa 12 twende migombaniHuku Tz Hadi maiti zinalamba uteuzi wewe upo Dunia Gani?
Nipo Mars😄, acha nifanye mpango wa kurudi Duniani kwanza maana napitwa na vitu vingi Aisee
🤠🤠ukanisaidie kuomba msamaha huko migombani siyo?Kaombe msamaha mizimu ya kwenu...au mwezi wa 12 twende migombani
Utaomba mwenyw mi nakukampan tu🤠🤠ukanisaidie kuomba msamaha huko migombani siyo?
Haa tena? Ngoja nibaki tu huku MarsUtaomba mwenyw mi nakukampan tu
haya bnHaa tena? Ngoja nibaki tu huku Mars
Unamkataliaje kiongozi makubwa wa nchi???