Mkuu wa Wilaya ya Mafia: Watoto 15 wamelawitiwa na Ustadhi wa Madrasa Kisiwani Mafia

View attachment 3004720

Mafia nimekutana na changamoto ya Ulawiti na Ubakaji. Katika wilaya zote ambazo nimehudumu sijawahi kukutana na changamoto kubwa ya Ulawiti na Ubakaji kama ambavyo ipo Mafia.

Mwalimu mwingine wa Madrasa amelawiti watoto kama sita hivi.

Hapa tu kuna mwalimu wa madrasa amelawiti watoto 15, bora nieleze hapa wazazi mkiwa mnasikia, watoto wa kiume ni wengi kuliko watoto wa kike.

Mkuu wa wilaya ya Mafia Aziza Mangosongo ameyasema haya kwenye mkutano na wananchi wakati wa ziara ya viongozi wa UWT mkoa wa Pwani.
Cc
Faiza Foxy
The Boss
Bichwa Komwe
Malaria
 
Dah asee ni hatari sana.
Nchi hii kesi hizi zimekuwa nyingi sana.
Rafiki yangu mmoja mwanasheria mwanafunzi anasema alipokwenda field mwezi Dec 2023 katika Mahakma Moja mikoa ya Kaskazini. Alishangaa kukuta mamia ya majalada watoto wa kiume wamelawitiwa. Anasema pengine kesi za ulawiti zimejaa mle kuliko hata kesi za mauwaji.
Hii inafikirisha. Hii hali ni mbaya kuliko kawaida.
Siku hizi naogopa hata kutembelea ndugu coz inawezekana muda wote wakawa na hofu juu ya watoto wao na mimi

Inaskitisha sana.
sheria za tz hukumu kwa mfir@ji ni kifungo cha maisha jela, ushauri wangu kwa serikali ni kujenga magereza mapya
 
View attachment 3004720

Mafia nimekutana na changamoto ya Ulawiti na Ubakaji. Katika wilaya zote ambazo nimehudumu sijawahi kukutana na changamoto kubwa ya Ulawiti na Ubakaji kama ambavyo ipo Mafia.

Mwalimu mwingine wa Madrasa amelawiti watoto kama sita hivi.

Hapa tu kuna mwalimu wa madrasa amelawiti watoto 15, bora nieleze hapa wazazi mkiwa mnasikia, watoto wa kiume ni wengi kuliko watoto wa kike.

Mkuu wa wilaya ya Mafia Aziza Mangosongo ameyasema haya kwenye mkutano na wananchi wakati wa ziara ya viongozi wa UWT mkoa wa Pwani.
Uislamu, madrasa,nilishasema hili dhehebu hili!!
 
View attachment 3004720

Mafia nimekutana na changamoto ya Ulawiti na Ubakaji. Katika wilaya zote ambazo nimehudumu sijawahi kukutana na changamoto kubwa ya Ulawiti na Ubakaji kama ambavyo ipo Mafia.

Mwalimu mwingine wa Madrasa amelawiti watoto kama sita hivi.

Hapa tu kuna mwalimu wa madrasa amelawiti watoto 15, bora nieleze hapa wazazi mkiwa mnasikia, watoto wa kiume ni wengi kuliko watoto wa kike.

Mkuu wa wilaya ya Mafia Aziza Mangosongo ameyasema haya kwenye mkutano na wananchi wakati wa ziara ya viongozi wa UWT mkoa wa Pwani.
Hili tatizo limeenea kila sehemu.
Haijalishi dini wala kabila,hili ni janga kubwa sana la kitaifa.
Na mbaya zaidi ripoti zinasema ndugu wa karibu ndio wanaongoza kufanyia watoto ukatili wa kingono kuliko watu wa nje.
Kiufupi wazazi tuwe makini na tujitahidi kukemea hili.
Nahisi serikali ingetoa adhabu kali ya kuogofya ili kulidhibiti ili tatizo.
 
1716048839875.jpg

Japo siamini kama dini huwa zinawatuma kufanya mambo ya ovyo ,ila nina uhakika waalifu wengi hujificha kwenye mgongo wa dini. Hasa hawa wanaojiita walokole.
 
Wenye dini ya haki, wanapita huu uzi km hawauoni vile.
Kama mtu anakula hadharani kipindi cha ramadhani, mashekh wanabeba mafimbo kuchapa watu. Watashindwa kulawiti?
FaizaFoxy
Inasikitisha sana mkuu, hawa ni viumbe wa ajabu sana. Kwenye huu uzi wanaingia mitini. Wanaona ni mara mia wasile kitimoto, ila watindue ndogo za watoto wa watu
 
Back
Top Bottom