Mkuu wa Wilaya ya Mafia: Watoto 15 wamelawitiwa na Ustadhi wa Madrasa Kisiwani Mafia


Licha ya Serikali kupambana kupiga vita dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia lakini bado Wananchi na wakaadhi wa Kisiwa cha Mafia baadhi yao wameonekana kutia pamba masikio na kupelekea kuongezeka kwa vitendo hivyo hasa kwa watoto wakiume

Akizungumza kwa hisia kali kwenye mkutano wa hadhara Kijiji cha Kilindoni, Kitongoji cha Msufini, Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Aziza Ally Mangosongo ameleza tangu aanze kuhudumia Taifa kwa mara ya kwanza amekutana na wilaya inayo ongozo kwa vitendo vya ulawiti kwa watoto wakike na wakimue,ubakaji na mimba kwa wanafunzi hali ambayo inatishia usalama kwa watoto.

Aidha, Mangosongo ameeleza tayari wamemkamata Ostadh wa Madrasa amelewiti Watoto 15 na kesi nyengine zinaendelea kuchunguza huku akiwataka wazazi kushirikiana kuwalinda watoto wao.

Upande wake Zaynab Matitu Vullu, Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Mkoa wa Pwani amemuomba Mkuu wa Wilaya Mafia kuangalia vyema ushahidi wa vitendo hivyo na kuwachukulia hatua kali wanaobainika ili kuwa funzo kwa wengine wenye tabia kama hizo.

Chanzo: New Times Tanzania
 
Huu uzi umevamiwa na wafia dini badala ya kutafuta suluhisho la kuwadhibiti mabazazi na mafataki bila kujali itikadi za dini zao.
 
Wazazi wanatakiwa kuwa makini sana juu ya malezi ya watoto,siku hizi hakuna kuaminiana tena,ni vizuri kuacha kwanza kuzaa hovyo,watoto wanahitaji malezi ya wazazi wote wawili,kumpa ndugu amlee mwanao kwa Dunia ya sasa ni RISK kubwa sana...
NB: Afrika ni sehemu katili sana kwa wanawake na watoto
 
Naandika kama mwenyeji muhamiaji wa Mafia..

Wakazi wa kisiwa cha mafia kwa asilimia kubwa ni wa dini ya kiislamu, mjuavyo kwenye uislamu wanaruhusiwa kuhusiana kingono watoto wa ndugu wa karibu isipokuwa waliozaliwa tumbo moja..nirekebishe kama nimekosea.

Wanaoana wao kwa wao hivyo kutengeneza asilimia kubwa ya wakazi wa kisiwa hiki kuwa ndugu.
Tukio la ubakaji linapofanyika, unakuta aliyefanya tukio ana ukaribu na mzazi mmojawapo wa mtoto aliyefanyiwa either undugu wa karibu au wa mbali.

Taarifa za tukio zikifanikiwa kwenda vyombo vya sheria, polisi wanakosa ushirikiano kwa sababu wanajamii wanataka kuyamaliza kindugu. Hii inachagizwa na tabia yao wanaiita "muhali" manake kuoneana aibu.
 
Wazungu wanafundisha kwa nadhariaa.
Maustadh wanafundisha kwa vitendo.
Wote wanataka kutengeneza taifa kubwa la Mashoga duniani.
Papa, yeye anabariki tu.
 
Afu kuna dini inashadadia kula USHUZI na mavi maana hata ilikotokea wazee kwa vijana ni mwendo wa kulana na nasikia wazee wa huko hata mtu akitoa sauti ya bastola tayari wanaweza kung'amua kuwa mhusika ni bikra ukitaka fuatilia wafanya kazi wa ndani waliobahatika kwenda huko hakuna ambaye hajabomolewa kunduchi
 
Back
Top Bottom