Mfumo mbovu wa elimu ndio unazalisha ukosefu wa ajira kwa wasomi vijana wa kitanzania

Gotze Giyani

Senior Member
Feb 28, 2022
124
186
Wadau habari za muda poleni na majukumu ninaomba kuuliza kwa wazoefu kwa nini serikali aitaki kuona elimu yetu imepitwa na wakati wabadili mfumo wa elimu uliopo uwe kama nchi zilizoendelea ili nasisi tuweze kupunguza matatizo ya kukosa ajira kwa wahitimu wa chuo.Mfano unakuta ajira zimetangazwa 100 watu wanaomba 30,000 kwa uwiano huo ni bahati Sana mtu kupata kazi.Ila cha ajabu wahusika wala hawana muda.Mfano takukuru wameita watu kwaende mafunzo ccp vijana waliomba zaidi ya 40,000 ila wamechukuliwa awazidi 400.Hili ni tatizo kubwa sana siku za usoni wadau nyie mnaona shida nini mpaka watawala hawataki kubadili mfumo wa elimu
 
Wadau habari za muda poleni na majukumu ninaomba kuuliza kwa wazoefu kwa nini serikali aitaki kuona elimu yetu imepitwa na wakati wabadili mfumo wa elimu uliopo uwe kama nchi zilizoendelea ili nasisi tuweze kupunguza matatizo ya kukosa ajira kwa wahitimu wa chuo.Mfano unakuta ajira zimetangazwa 100 watu wanaomba 30,000 kwa uwiano huo ni bahati Sana mtu kupata kazi.Ila cha ajabu wahusika wala hawana muda.Mfano takukuru wameita watu kwaende mafunzo ccp vijana waliomba zaidi ya 40,000 ila wamechukuliwa awazidi 400.Hili ni tatizo kubwa sana siku za usoni wadau nyie mnaona shida nini mpaka watawala hawataki kubadili mfumo wa elimu
Hii ni hoja kubwa sana. Elimu inawaandaa vijana kuajirika Tanzania tu. English, English English ni muhimu sana kuliko hata kiswahili chenyewe lakini wao wameng'sng'ania kiswahili tu. Mtu atakuja na ajenda oo why Japanese, Chinese, French wao wana lugha zao na bado wanatoboa. Hayo ni mataifa makubwa na wengi wa wasomi wao wanajua English. China ina educate millions katika nchi za Ulaya na wakiweka mgomo inawezekana vyuo vya nchi za magharibi vikashindwa kujiendesha.

Kwa nchi za kiafrika English speaking countries wako mbali sana. Nigeria, Ghana etc, kwa East Africa Kenya wako miles away. Kama kuna mtu amepitia Airport ya Qatar atakuwa shahidi yaani kama uko Kenya. Kwa nini Kenya wamefanikiwa hamna miujiza ni ENGLISH.

Nilikaa kwenye city moja Australia - Adelaide nilikuwa mbongo peke yangu, Kenyans wako wengi hadi wana umoja wao mkubwa tu. Nilipitia Uingereza kuna umoja wa Tanzania wa kufa na kuzinkana unaounganisha Watanzania wengi guess how many are they? 3000 elfu tatu na ushee tu nchi nzima which means they are less than 5000. English itafungua milango.
 
Hizi mada z ajira ajira all time hazivutii tena. Nn unapendekeza? Mm binafsi naamini kwenye kupanga uzazi kuwa suluhu la tatizo hili
 
Ngoja washaamua kuleta matoy yakae ofisini. Watoto wao watakaa na midoli ili waibe vizuri wasihojiwe.
 
Back
Top Bottom