Mchungaji Msigwa akiwa kazini Washington Marekani

Mwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.

Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!



_DSC8604.JPG

Mleta mada bado hujajibu swali kule ,
Bilion moja ina sifuri ngapi?
 
Hebu leta na ile ya Nyalandu akiwa Ujerumani na waziri wa maliasili wa Kenya ,na ile akiwa na Aunt Ezekiel
Ukimaliza lete za Jakaya akiwa na 50cent na Boys to men

Mkuu, umesahau ile almaarufu ya kule kwa Bob Marley! Bembea bembea bembeaaaa mtotoooo!
 
Hao aliopiga. nao picha ni Wamarekani au wanaiga tabia za Wamarekani? unashabikia hii tabia ya kuiga kila kitu?

Umejuaje kama sio wamarekani? Kwanza unaona hata afya zao, utawafananisha na wale ndugu zako walioko huko vijijini?
 
Badala Ya Kujadili Waziri Wako Anatuma Sms, Ili KUFICHA Udanganyifu Uliopo Ktk Wizara Yake!!! MNAJARIBU Kuleta HOJA Za Kichoko, Ili Kuwatoa Wadau Ktk Kujadili Issue Sensitive!!!! MASPIN DKT Tu!!!
 
Unapokuwa mchungaji lazima ujilinde na hila za shetani. Mtumishi wa Mungu kamwe huwezi kupiga picha ya namna hii, ukabaki salama. Lazima uasherati utatajwa.

Picha ya namna hii lazima iambatane na kazi iliyofanyika ya kuwaleta hao kina dada kwa Kristo na shuhuda zao. Ibaki kazi ya mchungaji kuwafundisha mavazi ya kujistiri ili kuwalinda wanaume. Kinyume cha hapo jina la Kristo litatukanwa.

Watumishi mnakubaliana na hii picha? Kama sivyo, msaidieni mchungaji Msigwa.
 
Hebu leta na ile ya Nyalandu akiwa Ujerumani na waziri wa maliasili wa Kenya ,na ile akiwa na Aunt Ezekiel
Ukimaliza lete za Jakaya akiwa na 50cent na Boys to men


Kwahiyo unataka kumaanisha kuwa Chadema ni CCM ni sawa???
 
mimi nimekimbia mbio kuja nadhani kuna ujumbe murua kumbe ni photoshop ya akina Ritz wa lumumba.
 
78548__nyalandu.jpg

Mwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.

Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!



_DSC8604.JPG
 
Mwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.

Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!



_DSC8604.JPG
a aiseeee
 
Mwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.

Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!



_DSC8604.JPG
Hawa watoto wanatumia mikorogo nini mbona magoti meusi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom