Mwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.
Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!
![]()
Hebu leta na ile ya Nyalandu akiwa Ujerumani na waziri wa maliasili wa Kenya ,na ile akiwa na Aunt Ezekiel
Ukimaliza lete za Jakaya akiwa na 50cent na Boys to men
Hao aliopiga. nao picha ni Wamarekani au wanaiga tabia za Wamarekani? unashabikia hii tabia ya kuiga kila kitu?
Hoja yake ni umbea.Muache asutwe ndo dawa yakeTujadili HOJA yake badala ya kumshambulia yeye. Watu wa upande ule bado mko vilevile pamoja na kuletewa Lowasa mvumilivu?
Usichoke Soma post, hapo ni makazi ya balozi Wa Tanzania nchini MarekaniUmejuaje kama sio wamarekani? Kwanza unaona hata afya zao, utawafananisha na wale ndugu zako walioko huko vijijini?
Hebu leta na ile ya Nyalandu akiwa Ujerumani na waziri wa maliasili wa Kenya ,na ile akiwa na Aunt Ezekiel
Ukimaliza lete za Jakaya akiwa na 50cent na Boys to men
What is HISTORY? It is the study of past human events.That is why HISTORY is a subject taught in Schools and Universities all over the world.
I love history
Mwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.
Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!
![]()
a aiseeeeMwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.
Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!
![]()
Ndio akili zako za Kizee zilivyokutuma ??? Samahani sana usinifanye nitumie Busara za Nape kukujibuKwahiyo unataka kumaanisha kuwa Chadema ni CCM ni sawa???
Hawa watoto wanatumia mikorogo nini mbona magoti meusi.Mwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.
Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!
![]()