Makonda Alienda Clouds Kufuatilia Documentary Yake ya Mwaka Mmoja Madarakani

Status
Not open for further replies.
Hiyo Documentary ilikuwa irushwa na SHILAWADU?
Ndio ushangae hapo

Yani bora unyimwe kila kitu hapa duniani lakini upewe akili

Ukilaza ni mbaya sana,yani MTU unajichoresha bila kujijua unajichoresha
 
Kuna uwongo mwingine unaogopa kumwambia hata mwanao wa chekechea nyumbani kweli. Kwani clouds huwa hawana muda maalum wa kazi wa kupokea wageni?
 
Bashite rafiki yangu umeshindwa ata kutafuta walioenda shule kidogo wakusaidie kukutea uku mtandaoni rafik yangu?
 
Ilikuwaje aingie na wanajeshi wenye silaa watano ndani ya chumba cha habari. Kwani hiyo video yake ilikuwa studio
1. kwanini asiulizie mapokezi??
2. Kwanini afuatilie video usiku wa saa nne??
3. Kwanini askari alivaa Magwanda anatoa saini ya Open Mlangoni na kugeuza yaani kuweka ya closed??

Msitufanye watanzania ni wapumbavu yaani wewe Bashite na Magufuli wako ndio ........
 
Documentary ndo awe Armed kias hicho, Uliepost acha kushika masikio watu wazima ww, shida vijana wa lumumba hamnaga point kabisa, poleni
 
RUGE MUTAHABA ANASHIKILIWA NA POLISI.

Vyanzo vya uhakika vinaeleza kwamba asubuhi ya leo kulikuwa na kikao cha wafanyakazi wa Clouds. Kikao hicho kiliitishwa na Mkurugenziwao wa Vipindi na Uzalishaji bwana RugeMutahaba ambaye aliwaeleza wafanyakazi wote juu ya kituo chao kuvamiwa siku ya Ijumaa.

Baada ya hilo na mengine yanayohusu tukio hilo, Ruge alitakiwa kuripoti katika kituo cha Polisi cha Oysterbay. Mpaka sasa Ruge anashikiliwa Polisi hao.

Hofu kubwa imetanda kwa wafanyakazi wa Clouds na sasa mabosi waowanaonekana kuwamashakani baada ya kuvuja kwa video ya CCTV inayomuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akivamia ofisi hizo za Clouds.


======
UPDATES:

Ruge sasa inadaiwa amehamishiwa Central Police kwa mahojiano zaidi.
 
Fa Fa Fa fa....bunduki nzito vile ni documentary ya mwaka mmoja?? Kwa lipi?? JPM si angeenda na vifaru sasaa?????
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…