Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,443
- 40,537
Hashpower7113 wengi hawajaona pale ulipoandika "News Spinning".
Bashite kashindwa mzalisha mkewe atawaweza hawa magumegume yanayomtetea humu mitandaoni? Hao wako kwa ajili ya kupiga mpunga siku ziendeUsipopata Ujauzito Na Bashite Mwaka Huu Basi Hutazaa Tena
Ndio ushangae hapoHiyo Documentary ilikuwa irushwa na SHILAWADU?
Ilikuwaje aingie na wanajeshi wenye silaa watano ndani ya chumba cha habari. Kwani hiyo video yake ilikuwa studioLicha ya watu wengi kuzungumza mengi kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam 'kuvamia' ofisi za Clouds Media kwa lengo la kuwatisha vijana wachapakazi wanaopendwa mpaka na viongozi wa juu serikalini, Shilawadu (Qwisa na Soud Brown), inaelezwa kwamba mkuu huyo wa mkoa, hakwenda kwa shari.
Inaelezwa kwamba alikwenda kufuatilia utaratibu wa documentary yake ya mwaka mmoja madarakani, iliyofanyika pale Officers Mess, Oysterbay kwa sababu anataka irushwe kwenye kituo hicho, ili watu wengi zaidi waone matunda ya jitihada zake za kupambana na madawa ya kulevya na namna anavyoungwa mkono na waathirika wenyewe.
Clip inayosambaa, haioneshi popote kwamba mheshimiwa alitumia nguvu kuingia, na zaidi kuna mtu anaonekana mapokezi ambaye ndiye aliyekuwa akiwafungulia mlango wa ndani. Hakuna mtangazaji yeyote aliyepigwa na kulikuwa na mazungumzo ya kawaida tu ambayo hata hiyo, haifahamiki yaliishaje.
News Spinning...
Utalegea tu, ngoja tuendelee kukuandaa!Hapa kazi tu
Makonda oyeeeeeeee
Documentary ndo awe Armed kias hicho, Uliepost acha kushika masikio watu wazima ww, shida vijana wa lumumba hamnaga point kabisa, poleniLicha ya watu wengi kuzungumza mengi kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam 'kuvamia' ofisi za Clouds Media kwa lengo la kuwatisha vijana wachapakazi wanaopendwa mpaka na viongozi wa juu serikalini, Shilawadu (Qwisa na Soud Brown), inaelezwa kwamba mkuu huyo wa mkoa, hakwenda kwa shari.
Inaelezwa kwamba alikwenda kufuatilia utaratibu wa documentary yake ya mwaka mmoja madarakani, iliyofanyika pale Officers Mess, Oysterbay kwa sababu anataka irushwe kwenye kituo hicho, ili watu wengi zaidi waone matunda ya jitihada zake za kupambana na madawa ya kulevya na namna anavyoungwa mkono na waathirika wenyewe.
Clip inayosambaa, haioneshi popote kwamba mheshimiwa alitumia nguvu kuingia, na zaidi kuna mtu anaonekana mapokezi ambaye ndiye aliyekuwa akiwafungulia mlango wa ndani. Hakuna mtangazaji yeyote aliyepigwa na kulikuwa na mazungumzo ya kawaida tu ambayo hata hiyo, haifahamiki yaliishaje.
News Spinning...
Nisaidie kushangaa'kwani kila Siku anaenda na askari wenyewe bundiki?Kwenda clouds..had aende na police?