Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,195
Hiyo kali sasa.
Naona Bila kumtaja lowasa siku yako haiendi poa mzee wa watu kakukosea nini hadi umchukie hivyo.Nibora angesema Lowassa ni mkenya
Akatupungizia mkosi
Wewe vipi !Naona Bila kumtaja lowasa siku yako haiendi poa mzee wa watu kakukosea nini hadi umchukie hivyo.
Nimeipenda hiiKara kwenye huo Mkutano inamaana kulikuwa hakuna representative wa Tanzania??Kama alikuwepo alisadiaje TAIFA lake??Nimesikia RAIS wetu na delegation yake ilikuwepo kwenye huo Mkutano,Je,na wao walimpigia Makofi huyo dada??Au walimpigia sababu ni Mtoto wa Kigogo wa Kenya?Kwanini at that Point RAIS hakupeleka pingamizi??
Sidhani kama akina Kikeke watatusaidia.Mie nadhani ni kupeleka mabango ya STOP SELLING TANZANIA kwenye Ubalozi wa KENYA.We have to stop huu ujinga,wanasiasa wetu waliopo Madarakani wako pale kwa ajili ya matumbo yao tu na si kulinda TAIFA.
Nimeshawatumia emailOmbi Muhimu:
Kwa yeyote mwenye account ya facebook ya Zuhura Kassim au Salim Kikeke wa BBC Swahili awambie wamtafute Rosemary Odinga kwa mahojiano ya presentation yake mbele ya UN kwamba amedanganya ulimwengu. Part of journalism ni kuweka ukweli wazi. Simply a naked lie.
Hahaha pole sanaNitamkumbuka sana Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa utawala wake pesa ilikua nje nje, sisi wafanya biashara tulikua na mahusiano mazuri na watu wa Bandari na TRA lakini kumetokea upepo mbaya umevunja kabisa mahusiano yetu yaliyokua yametukuka chini Rais wa 'WATU' I miss you JK
Ni kiongozi wangu lazima kiniumeWewe vipi !
Kina kuuna nini!
Ni afadhali wangesema kwamba Jecha ni raia wa Kenya kuliko kujisingizia hiyo historical site maarufu ambayo Dr. Leaky aliitumia kama study area yake mwaka 1959.
Imagine hata huyo Diamond mwenyewe labda hajawahi kuita press kukanusha suala hili. Something is not right up there.
Magufuli awapige marufuku Wakenya kuleta ndege zao Tanzania hadi watakapofuta hayo maneno "Mt Kilimanjaro" kwenye ndege zao!View attachment 326295
Hiyo ni ndege ya kenya ina maandishi ya Mount Kilimanjaro, wanatumia majina ya vivutio vyetu kujitangaza duniani huku waziri wa maliasili na utalii yupo tu amekaa kimya akila pesa za umma na kuendeshwa kwenye shangingi za kifahari. Inasikitisha sana, maana watu wamepiga kelele sana ila serikali haichukui hatua yoyote. Kama waziri wa maliasili na utalii ataendelea kukaa kimya kutowachukulia hatua wakenya nitaamini ana maslahi binafsi na kenya.
Nakuunga mkono mkuu. Mimi sio mfuatiliaji mkubwa sana wa tweeter lakini hii kitu ikianzishwa nitaifuatilia hadi mwisho. I am tired of these Kenyans!Naomba msinielewe vibaya.
JF haiko kimataifa sana lakini hii movement ingekuwa ktk Tweeter na tungemention UN na agency zake zote na top leaders wa UN wote hakika hii ingeanza kufuatiliwa zaidi na huyo Mkenya kusahihisha alichodanganya lakini tukikaa kimya gvt nayo iko kimya kumbuka uongo ukisemwa sana unaweza ukaaminika yatakiwa tukanushe
Yes. Hii sasa ni vita, kama viongozi wetu hawataki kulikomalia. Tutumie kila media channel kuwapelekea wakenya ujumbe kwamba enough is enough.Nimeshawatumia email
lazima huyo rosemary odinga aabishwe kwa huu uongo wake wa kitoto. kama ndio mkakati wa nchi yao kujidai kila kitu kizuri cha tanzania kiko kenya ndio tujue ukweli. wanaifanya nchi yetu third third country kwa kuhujumu uchumi wetu sasa wanatuibia hata historia.Ombi Muhimu:
Kwa yeyote mwenye account ya facebook ya Zuhura Kassim au Salim Kikeke wa BBC Swahili awambie wamtafute Rosemary Odinga kwa mahojiano ya presentation yake mbele ya UN kwamba amedanganya ulimwengu. Part of journalism ni kuweka ukweli wazi. Simply a naked lie.
A slip of the tongue can be forgiven but not intentional derogatory staements like this.mulugo aliposema Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe, tena katika kikao cha kimataifa, mlishitakiwa wapi????