Kwa ajili ya watotoHyo nyumba I think ni jasiri muongoza njia alimujengeaga
Kwa ajili ya watotoHyo nyumba I think ni jasiri muongoza njia alimujengeaga
Yes ndo alimwachiaKwa ajili ya watoto
Na jamaa anafrahia kabisa Yuko kwakeYes ndo alimwachia
Siunajua wanaume wa sikuhizi wanapenda kitongaNa jamaa anafrahia kabisa Yuko kwake
Yani
Wanaume tumeisha Sisi jamenSiunajua wanaume wa sikuhizi wanapenda kitonga
TobaaaaaaaHyo nyumba I think ni jasiri muongoza njia alimujengeaga
Nmeumiza kichwa nmemkosa nisaidieni huyo mdada ni naniAkileta kiherehere analiwa kichwaa tuuu!na kale katoto kamefanana na mzee wa bagawise bwanaaa Jana ilibidi nirudi kucheki sura zimetambaa mle mlee
Sent using Jamii Forums mobile app
Akileta kiherehere analiwa kichwaa tuuu!na kale katoto kamefanana na mzee wa bagawise bwanaaa Jana ilibidi nirudi kucheki sura zimetambaa mle mlee
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti fundi mno wa nnya yuleeeeeee kama ngisiMwamba ana msimamo sema pia mtoto kipuri chake cha kati kiko vizuri!
Yule Kami....ze
Haaa haaa haaa ,wauza wanzuki na kayoga, wasiotajwa niwashika miguu ya kuku uwii dunia hii mji mzito huuhaa hahaha
Ukiona hivo ujue huyo uzazi wake wote wauza wanzuki...no connection at all
Hakuna wa kushtaki
Binadamu kam wewe sijui nakuonaje tu aisee...sijui ni umri wako ndo mdogo au ni mjinga mjinga labda.Kwani Uwoya na huyu dogo mvaa vikaptula wana shida gani?
Japo wameondoka wote tarehe moja, ndege moja hawakuwahi kuposti picha pamoja, japo wote wako sehemu moja.
Kila mtu anaposti kivyake yani tangu waondoka June 22 hadi leo August 08 ndiyo wameposti picha ya pamoja.
Kwani huyu dogo na Uwoya ni mashosti au kuna kitu walikua wanaogopa, japo kila mtu anaposti kivyake lakini hadi vyumba walivyofikia vinafana.
Sema huyu dogo sijui? Isije ikawa "sponsa" kawabeba wote kivyao vyao.
Yupi huyo msaada jmnYule demu yuko vizuri mno! Anajielewa yani anakula life yake kimya kimya![]()
Binadamu kam wewe sijui nakuonaje tu aisee...sijui ni umri wako ndo mdogo au ni mjinga mjinga labda.
Unakuja mitandaoni kumsema mtu na maisha yake inakusaidia nini sasa,unakua umekosa cha kufanya?
OdamaYupi huyo msaada jmn
Mkuu huoni aibu kusoma Uzi wa mtu unayeona hana kazi.Binadamu kam wewe sijui nakuonaje tu aisee...sijui ni umri wako ndo mdogo au ni mjinga mjinga labda.
Unakuja mitandaoni kumsema mtu na maisha yake inakusaidia nini sasa,unakua umekosa cha kufanya?
Ww kilichokuleta huku nn KamaBinadamu kam wewe sijui nakuonaje tu aisee...sijui ni umri wako ndo mdogo au ni mjinga mjinga labda.
Unakuja mitandaoni kumsema mtu na maisha yake inakusaidia nini sasa,unakua umekosa cha kufanya?