misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,404
- 10,254
Atakujua sio ukimtaja? 😂Sponsa wa Uwoya ni mtu mzitoooooo!
Naogopa kumtaja acha ale bata kiukweli muda wake huu.
Mji una mambo huu.
Atakujua sio ukimtaja? 😂Sponsa wa Uwoya ni mtu mzitoooooo!
Naogopa kumtaja acha ale bata kiukweli muda wake huu.
Mji una mambo huu.
Ewaaaaaaa!!!Huyu msokota vidredi...kajifungua juzi ana pua imechongoka? Mtu mzima lakin?
Na yule mlamba lips wa Singidanii anajiita!nae mchicha mwibaaaYule na wenzie wengi Tu wanashikishwa
Ukuta hapa mjin alaf n Kama hyo ndo
Akira kuu kwao
Huyo mbona twajua ni chaklaaaa!!kitamboooBaada ya kufuatilia comment za uzi huu,, kuhusu kinachoendelea kwa Mr vikaptula na uwoya huko Dubai.
Ilibidi niingie chimbo kujuwa who is Mr vikaptula?
And why?
Je? Yeye ni sponsor au ni wali Nazi?
Majibu ni kwamba Mr vikaptula ni ubwabwa Nazi.
Code nimepewa na mtu wangu mwaminifu kabisa.
Sponsor kawabeba wote uwoya na mke mwenzie..
Huyo ni mke wa mtu kabisa!!..
Huyu inabidi mkimuona nyie wadada muwe mnampa shikamoo mbili kwa mpigo.Jpoa nahisi ana mashetani.
Ushamlaaaa....!!!!Huyu inabidi mkimuona nyie wadada muwe mnampa shikamoo mbili kwa mpigo.Jpoa nahisi ana mashetani.
Usiniulize sana ila huyu ...... hapana aisee!
Oooh alifanya vizuri sana huyo mzaziMda mwingi yuko kwa mdingi wake analelewa kimaadili sana mdingi hataki spotlight na anasoma Islamic school...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huyo mnamtaja kwa jina? Wengine mnatoa misamiati tu au ndiyo wazito?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa kwa nuktaa....unafikiri boflo limekuja bure
Kale kaspring ni ka Mr.fast fast?
Na huyo aliyetoa code alishawahi kunambiya kuhusu Umeme wa kidato wa uwoya.Huyo vikaptula alivokaatu n
Urojo Kama lokole
Tena nasikia anayaweza hatari.Duh hata mimi nilijua tu huyo mke mwenziwe
Eboo!!
Weee hadi huyu jmn
Na atakuwa anajua kubiduka kila styleTena nasikia anayaweza hatari.
Sifa zake ni balaa.
Fikiria sponsor akupeleke Dubai kula bata ,
Utakuwa umemfikisha sayari ya mars sio kileleni tena.
Anaye mpakua ni naniNa huyo aliyetoa code alishawahi kunambiya kuhusu Umeme wa kidato wa uwoya.
Kipindi kile yupo na Dogo zoba..
Nikijumlisha doti za comment kwenye uzi huu ,,ebwana ni kwl kabisa..
Nilishare Uzi huu kwa shemeji yangu mmoja mwenye code nyingi sana,
Bila kumuuliza ,,,
Akanipa jibu moja tu.
Huyo ni wali Nazi na ukitaka anayempakuwa pia nakujulisha..nipe muda.
Ule mjengo,na yale magari,sijui Range kumbe ni show off tu! Eeeee mjini kuna mamboHana hela bana ..Kuna gereji fucken kaifungua pale k'nyama huyo motivation speaker, kamfungulia huyo marioo
Shilole ana akili na alitokea kwa shida so anajua maisha ni nini hata akidanga Shilole ana nyumba kadhaa pia analea wale mabinti zake vizuri tuu.
Hamisa na yeye baada ya kuchekwa na watu na kuzalilishana na kina Mama Dangote na kina Zarina akapata akili mpaka sasa ana mjengo wake mzuri tu mjini, na hata Joketi hawawezi kufa njaa shida ni kubwa jinga uwoya ana danga na kufanya show off ka za teenager ha think about future aisee.
Vera sidika kadanga vya kutosha na kuwekeza hana stress kajioopolea ki Ben ten chake anakula life
Mobeto ana nyumba yake sasa hivi, uwoya show off zake za kijinga haziendani na umri wake zaidi ya kutia huruma tuKumbe hamisa ana mjengo. Showoff za irene uwoya hata hazirushi roho sana sana anafanya watu wamuonee huruma tu.
Hyo nyumba I think ni jasiri muongoza njia alimujengeagaUle mjengo,na yale magari,sijui Range kumbe ni show off tu! Eeeee mjini kuna mambo