Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,490
- 9,028
Fuatilia bunge ww...waziri kasema wamesainiwa kibali cha kuajir...Nauliza tena, tamko gani?
Usikae mbali sana na siasa...kuna mambo yanatoka humo oral..heheh
Fuatilia bunge ww...waziri kasema wamesainiwa kibali cha kuajir...Nauliza tena, tamko gani?
Nifuatilie bunge ili nijibu oral?!! Una umri gani?Fuatilia bunge ww...waziri kasema wamesainiwa kibali cha kuajir...
Usikae mbali sana na siasa...kuna mambo yanatoka humo oral..heheh
Unanichosha unachelewa kufikiriNifuatilie bunge ili nijibu oral?!! Una umri gani?
Kwakweli Huwa wanalamba asali kila siku. Ila mimi ningeomba IT awapotezeeDuh naona Makabi Lilepo na Utawala2025 mnawasagia kunguni wenzenu sasa hizo kada ndio hazikaagi database na mkeka ujao wamo wa kutosha tu
🤣 🤣 🤣Kwakweli Huwa wanalamba asali kila siku. Ila mimi ningeomba IT awapotezee
Mimi pia nipo kada iyo. Na nimekandwa mbili na oral Moja. So Kwa nilichokiona Kwa utumishi kuhusu kada wetu kaka penda kupitia notes, vitabu vya masomo mala Kwa mala kaka. Usitegemee kusoma labda Kwa magroup ya Whatsapp ambapo wadau wanatuma maswali uko. Uko kuweziada tu. Kikubwa penda kupitia mala Kwa mala. And don't forget to PRAY. Amini tutatoboa.human resource management/administration
Daa mkuu Mungu na Psrs wakuoneKada yangu ni Muuguzi .
Karbia kila mkeka unatoka kada yangu iko .
Nimefanya Written kadhaa oral mwaka jana mwezi wa nane mwajiri alikuwa Hospital kubwa tu nchini.
Kinwchoniuma ni kuwa rafiki zangu wote wa kada yangu waliofanya oral zilizopita wako kazini.
Ila mimi nilipofanya tu oral hata database
Nakuja DM mkuuWakuu vp kwema? Vp leo uhakika? Jobless wa sasa iv ata lonja hatuna
Tujadili kuhusu Forced labourWakuu vp kwema? Vp leo uhakika? Jobless wa sasa iv ata lonja hatuna
Mtafute Mungu umwombe ataanza kukuelekeza kupitia ndoto nani mchawi wakoKada yangu ni Muuguzi .
Karbia kila mkeka unatoka kada yangu iko .
Nimefanya Written kadhaa oral mwaka jana mwezi wa nane mwajiri alikuwa Hospital kubwa tu nchini.
Kinwchoniuma ni kuwa rafiki zangu wote wa kada yangu waliofanya oral zilizopita wako kazini.
Ila mimi nilipofanya tu oral hata database yetu haijawahi kukuguswa.
ipo siku tu watajichanganyaKada yangu ni Muuguzi .
Karbia kila mkeka unatoka kada yangu iko .
Nimefanya Written kadhaa oral mwaka jana mwezi wa nane mwajiri alikuwa Hospital kubwa tu nchini.
Kinwchoniuma ni kuwa rafiki zangu wote wa kada yangu waliofanya oral zilizopita wako kazini.
Ila mimi nilipofanya tu oral hata database yetu haijawahi kukuguswa.
Kuwa serious sio jukwaa la utaniWakuu, ikitokea umetaitika sana kwenye written au oral, pointi zetu kuu ni zilezile;
Cha muhimu ni kujua namna ya kuzigeuzageuza tu kulingana na swali husika.
- Unemployment,
- Low wages,
- Poor government support,
- Misuse of resources,
- Ignorance among the people.
Kamwe usiache swali ikiwa una pointi hizi.
Nasubiri kwa hamu sanaipo siku tu watajichanganya