Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

human resource management/administration
Mimi pia nipo kada iyo. Na nimekandwa mbili na oral Moja. So Kwa nilichokiona Kwa utumishi kuhusu kada wetu kaka penda kupitia notes, vitabu vya masomo mala Kwa mala kaka. Usitegemee kusoma labda Kwa magroup ya Whatsapp ambapo wadau wanatuma maswali uko. Uko kuweziada tu. Kikubwa penda kupitia mala Kwa mala. And don't forget to PRAY. Amini tutatoboa.
 
Kada yangu ni Muuguzi .

Karbia kila mkeka unatoka kada yangu iko .

Nimefanya Written kadhaa oral mwaka jana mwezi wa nane mwajiri alikuwa Hospital kubwa tu nchini.

Kinwchoniuma ni kuwa rafiki zangu wote wa kada yangu waliofanya oral zilizopita wako kazini.

Ila mimi nilipofanya tu oral hata database
Daa mkuu Mungu na Psrs wakuone
 
Kada yangu ni Muuguzi .

Karbia kila mkeka unatoka kada yangu iko .

Nimefanya Written kadhaa oral mwaka jana mwezi wa nane mwajiri alikuwa Hospital kubwa tu nchini.

Kinwchoniuma ni kuwa rafiki zangu wote wa kada yangu waliofanya oral zilizopita wako kazini.

Ila mimi nilipofanya tu oral hata database yetu haijawahi kukuguswa.
Mtafute Mungu umwombe ataanza kukuelekeza kupitia ndoto nani mchawi wako
 
Kada yangu ni Muuguzi .

Karbia kila mkeka unatoka kada yangu iko .

Nimefanya Written kadhaa oral mwaka jana mwezi wa nane mwajiri alikuwa Hospital kubwa tu nchini.

Kinwchoniuma ni kuwa rafiki zangu wote wa kada yangu waliofanya oral zilizopita wako kazini.

Ila mimi nilipofanya tu oral hata database yetu haijawahi kukuguswa.
ipo siku tu watajichanganya
 
Wakuu, ikitokea umetaitika sana kwenye written au oral, pointi zetu kuu ni zilezile;
  • Unemployment,
  • Low wages,
  • Poor government support,
  • Misuse of resources,
  • Ignorance among the people.
Cha muhimu ni kujua namna ya kuzigeuzageuza tu kulingana na swali husika.

Kamwe usiache swali ikiwa una pointi hizi.
 
Wakuu, ikitokea umetaitika sana kwenye written au oral, pointi zetu kuu ni zilezile;
  • Unemployment,
  • Low wages,
  • Poor government support,
  • Misuse of resources,
  • Ignorance among the people.
Cha muhimu ni kujua namna ya kuzigeuzageuza tu kulingana na swali husika.

Kamwe usiache swali ikiwa una pointi hizi.
Kuwa serious sio jukwaa la utani
 
Back
Top Bottom