Kwanini msichana akifikisha miaka 27 kama hajaolewa anapenda kujipiga picha na kujiweka kwenye mitandao?

Manyanza

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
9,980
15,547
Kuna sababu nyingi kwa nini msichana anaweza kupenda kujipiga picha na kuweka kwenye mitandao baada ya kufikisha miaka 27 bila kuolewa.

Moja ya sababu inaweza kuwa ni
😍njia ya kujisikia vizuri kuhusu yeye mwenyewe na kujiamini, au njia ya kuonyesha maisha yake kwa marafiki na familia.

Pia, kwa kuwa jamii inaweza kuwa na matarajio makubwa kwa wanawake kufikisha umri fulani bila kuolewa, kujipiga picha na kuweka mitandaoni inaweza kuwa njia ya kujionyesha kuwa bado ana furaha na maisha yake.

Mwenyezi Mungu awasaidie sana Dada zetu wenye umri wa kuolewa wapate Wanaume wa kuwapa ili kuwaondolea ile hali ya kujipost mitandaoni hasa Facebook /Insta Story na WhatsApp status. 🙏
 
Ni kama gari tu yenye mile age kubwa ,engine size kubwa,spares na maintainance cost kubwa ikiwa linataka kuuzwa matangazo huwa ni mengi sana yakiambatana na picha ambazo hupostiwa mitandaoni kwa ajili ya kuvutia wateja wa kulinunua.
 
sio wote wana wanaio tabia pia wadada wa miaka 27 hata kama bado hajaolewa most of them lazima watakuwa na boyfriends zao au wahuni ambao wapo kwenye mahusiano nao, mi nadhani labda wanajipost for fun tu katika ulimwengu huu wa social media
 
Kuna sababu nyingi kwa nini msichana anaweza kupenda kujipiga picha na kuweka kwenye mitandao baada ya kufikisha miaka 27 bila kuolewa.

Moja ya sababu inaweza kuwa ni
😍njia ya kujisikia vizuri kuhusu yeye mwenyewe na kujiamini, au njia ya kuonyesha maisha yake kwa marafiki na familia.

Pia, kwa kuwa jamii inaweza kuwa na matarajio makubwa kwa wanawake kufikisha umri fulani bila kuolewa, kujipiga picha na kuweka mitandaoni inaweza kuwa njia ya kujionyesha kuwa bado ana furaha na maisha yake.

Mwenyezi Mungu awasaidie sana Dada zetu wenye umri wa kuolewa wapate Wanaume wa kuwapa ili kuwaondolea ile hali ya kujipost mitandaoni hasa Facebook /Insta Story na WhatsApp status. 🙏
27 unamuona ni mkubwa? Una shida mahali.
 
Easy Kaka, tunapost for fun out here na wengine ni kataa ndoa😂😂😂.

Btw kuna wanawake wameolewa na wanajipost sana huko mitandaoni.
 
27 unamuona ni mkubwa? Una shida mahali.
Miaka 27 mdogo?

Nenda kwa wakunga kawaulize, ni umri gani wa mwanamke kujifungua bila ya uangalizi wa lazima na umri gani ambao mwanamke kujifungua lazima awe chini ya uangalizi wa madaktari.
Ukopata majibu, ndiyo utaelewa kuwa mwanamke anatakiwa aanze 'nzao' akiwa na umri gani.
 
Umeshanotice kuwa mwanamke akishaanza kutulia kimaisha na mahusiano hata kupost mitandaoni anapunguza sana. Ni kwasababu anakuwa hana shida ya attention ya wanaume tena ameridhika na attention ya mwanaume wake.

Sababu nyingine ni mwanamke akihisi amebadilika muonekano yaani mfano kuwa mnene kupitiliza huwa anapunguza au kuacha kujipost au akipost basi picha zinakuwa na edits sana.

So at 27 anakuwa anamalizia usichana anajua kuwa ameshaanza kuumaliza mwendo eneo la mahusiano so anaanza kumalizia tonge la mwisho kabla hajawa msimbe kamili ambaye akipost likes zinakuwa za wazee wastaafu, na walugaluga wengineo.
 
Miaka 27 mdogo?

Nenda kwa wakunga kawaulize, ni umri gani wa mwanamke kujifungua bila ya uangalizi wa lazima na umri gani ambao mwanamke kujifungua lazima awe chini ya uangalizi wa madaktari.
Ukopata majibu, ndiyo utaelewa kuwa mwanamke anatakiwa aanze 'nzao' akiwa na umri gani.
Kwa taarifa nilizonazo, wanawake especially hawa waliozaliwa mjini miaka hii umri huu wa miaka 27 kwenye kujifungua kunakuwaga na possible complications ambazo hupelekea ajifungue kwa operation mara nyingi kama sivyo wanapoteza mtoto kizembe tofauti na wenzao wa vijijini huko, sasa sijui shida ni miili ya wanawake wa mijini inachangamoto eneo la uzazi?

Na ukichapwa operation mwisho wewe ni watoto wawili. Kuanzia watatu unaweka maisha yako rehani.
 
Picha zenyewe wanajibinua mguu mmoja katako juu, umalayq tu. Wanafosi kuolewa. Wakati wanahitajika walikataa wakawa wanapenda out za kijinga sasa wanaanza kukumbuka shuka kumekucha.
 
Back
Top Bottom