Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,095
Sifa anazopewa hazilingani na uhalisia, nawe kama unsmuona shujaa pengine umekuwa brainwashed
Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki ardhi takribani asilimia 85 yenye rotuba, kabla ya kutetea naomba ujibu swali rahisi, hilo shamba lako ama mashamba ya huko kijijini kwenu ungefurahi wazungu wangeendelea kuyamiliki ? ungejipiga kifua kusifia Nyerere katupa uhuru ?
Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki migodi,
Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kuendesha mifumo ya uchumi
Leo hii Waafrika wa asili waliokuwepo Afrika Kusini kabla hata ya ukoloni ni masikini sana, Afrika kusini ndio inaongoza kwa uhalifu Afrika sababu waafrika wengi ni masikini huku wazungu wakiwa matajiri sana kwa rasilimali za Afrika kusini, waafrika wengi wanaishi kwenye shacks (Nyumba ndogo zenye kuta za mabati)
Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki ardhi takribani asilimia 85 yenye rotuba, kabla ya kutetea naomba ujibu swali rahisi, hilo shamba lako ama mashamba ya huko kijijini kwenu ungefurahi wazungu wangeendelea kuyamiliki ? ungejipiga kifua kusifia Nyerere katupa uhuru ?
Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki migodi,
Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kuendesha mifumo ya uchumi
Leo hii Waafrika wa asili waliokuwepo Afrika Kusini kabla hata ya ukoloni ni masikini sana, Afrika kusini ndio inaongoza kwa uhalifu Afrika sababu waafrika wengi ni masikini huku wazungu wakiwa matajiri sana kwa rasilimali za Afrika kusini, waafrika wengi wanaishi kwenye shacks (Nyumba ndogo zenye kuta za mabati)