Klabu ya simba inachofanya ni utapeli serikali iingilie kati wajinga wanaibiwa

Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa bila Kokomo unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
Simba ina mashabiki mbumbumbu
 
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa bila Kokomo unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
Umeishia darasa la ngapi mkuu?.......Sio kwa mwandiko huo. Naomba serikali iingilie kati... :D :D
 
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa bila Kokomo unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
Sasa wewe inakuhusu nini, amua mkopeshe ama acha usitusumbue bana tuna mambo mengi press za chadema, mkutano mkuu wa ccm nk
 
Kanjibai hataki hasara kosa wafanye mashabiki wendawazimu halafu alipe yeye, hilo kalikataa.

Viongozi wakabuni mbinu wawapige maahabiki, na cha juu hapo ni chao.

Ama kweli wajinga ndio waliwao.
 
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa bila Kokomo unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
Lione wivu tu, kwani Kuna mtu kalazimishwa kuchangia.
 
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa bila Kokomo unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
Roho mbaya na wivu, humtesa aliyenavyo.

Ova
 
ni hiari, mashabiki hawalazimishwi, ila ni upuuzi kuchangia, hiyo ni sawa na kikombe cha maji kumwagia baharini ili ijae. Simba ni taasisi kubwa na ina hela za kutosha kulipa faini hiyo bila shida. Ilipe kocha na wachezaji mamilioni ya pesa, itashindwaje kulipa faini hiyo mpaka ichangiwe? Ni upuuzi mtupu
MASHABIKI WENYEWE WA SIMBA NDO WAMETAKA KUCHANGIA WALA HAWAJALAZIMISHWA.
 
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
Wamekuomba uwachangie?Umechangia ngapi?Nini kinakusumbua?Umeshiba supu kwa maembe wewe!Wamekushtakia kuibiwa kwao?
Chura unashangaza sana.Wewe na Mo Dewji tu!
 
Viongozi wa hii taasisi wameanzisha kampeni ya utapeli ambayo sisi kama raia wema tunaomba serikali yetu tukufu iingilie kati sababu raia masikini wanakamuliwa bila kujitambua yaani wanampa tajiri pesa unaambiwa wanachangisha milion 100 ila je inayozidi inaenda wapi kama sio Kwa matapeli ambao ni Ahmed ally na kina mangungu wajinga ndio waliwao huku mtaani Kuna jamaa kachangia elfu 30 halafu kumbe hata familia yake hajaiachia pesa ya kula mkewe anakuja kutuomba tumkopeshe mmewe hela ndio tumeshangaa wakati jamaa kachangia elfu 30 Leo asubuhi hii akili Gani
Wamesahau mchango wa kiwanja cha mpira
 
Mhindi kagoma kulipa faini Kwa Ujinga wa Mashabiki wa Simba....!

Ndo maana wameamua kupitisha Bakuli.
 
Back
Top Bottom