Kitendo cha Walimu wengi Kuomba Kazi kuboresha Daftari la mpiga kura Basi ni kielelezo tosha Maslahi ya Walimu ni Duni...

Gai da seboga

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
482
969
Wasalam mabibi na mababu...

Toka tarehe 14/4/2024 Tume huru ya uchaguzi imetoa tangazo la nafasi za kazi za muda katika kuboresha Daftari la kudumu la mpiga Kura.

Katika Jambo lililonishangaza ni kuona wimbi la walimu kuomba hizi nafasi, imani yangu inaniambia hizi ilikuwa n nafasi za kuomba graduates na jobless wapate chochote kitu lakini leo watumishi wa umma ndo wamejazana mno hususani walimu.

Katika utafiti mdogo katika shule zote nchini Tanzania walimu wameomba hizi nafasi za muda tena wengine ni mpaka walimu wakuu...

Hili la walimu hadi kunyang'anyiana hizi nafasi na graduates mtaani ni ishara tosha kuwa maslahi ya walimu ni Duni na mshahara hauwatoshei kabisa... Walimu wana njaa mpka wameamua kuvamia hivi vinafasi, yan Mwalimu hana ata kaposho anachopata katika mwezi hii ni hali mbaya saana.

Mheshimiwa Rais Mama Samia tunajua Zimebaki Siku chache watu waadhimishe siku ya Wafanya kazi Duniani ikikupendeza Mama wawekee walimu ata teaching Allowance kwa mwezi ata kama ikiwa ni laki tu kwa mwezi Hakika inaweza ikarahisisha maisha yao. Kuna walim wanaishi katika mazingira magumu hakuna nyumba, hakuna umeme, wako maporini tu ya I mtu muda wote anasikia sauti za Komba na Tetere.

Mama samia najua hili unaweza kabisa embu wawekee walimu posho uache Alama ya kweli ya Uongozi Wako, Hakika utakumbukwa Kizazi na Kizazi, kazi ya Ualimu sio kazi ya laana ni kazi ya kimitume, embu watunze upate thawabu hadi Akhera.

Aione Mama Samia Kwenye Faili....
 
Wasalam mabibi na mababu...

Toka tarehe 14/4/2024 Tume huru ya uchaguzi imetoa tangazo la nafasi za kazi za muda katika kuboresha Daftari la kudumu la mpiga Kura.

Katika Jambo lililonishangaza ni kuona wimbi la walimu kuomba hizi nafasi, imani yangu inaniambia hizi ilikuwa n nafasi za kuomba graduates na jobless wapate chochote kitu lakini leo watumishi wa umma ndo wamejazana mno hususani walimu.

Katika utafiti mdogo katika shule zote nchini Tanzania walimu wameomba hizi nafasi za muda tena wengine ni mpaka walimu wakuu...

Hili la walimu hadi kunyang'anyiana hizi nafasi na graduates mtaani ni ishara tosha kuwa maslahi ya walimu ni Duni na mshahara hauwatoshei kabisa... Walimu wana njaa mpka wameamua kuvamia hivi vinafasi, yan Mwalimu hana ata kaposho anachopata katika mwezi hii ni hali mbaya saana.

Mheshimiwa Rais Mama Samia tunajua Zimebaki Siku chache watu waadhimishe siku ya Wafanya kazi Duniani ikikupendeza Mama wawekee walimu ata teaching Allowance kwa mwezi ata kama ikiwa ni laki tu kwa mwezi Hakika inaweza ikarahisisha maisha yao. Kuna walim wanaishi katika mazingira magumu hakuna nyumba, hakuna umeme, wako maporini tu ya I mtu muda wote anasikia sauti za Komba na Tetere.

Mama samia najua hili unaweza kabisa embu wawekee walimu posho uache Alama ya kweli ya Uongozi Wako, Hakika utakumbukwa Kizazi na Kizazi, kazi ya Ualimu sio kazi ya laana ni kazi ya kimitume, embu watunze upate thawabu hadi Akhera.


Aione Mama Samia Kwenye Faili....
Hakuna wa kuwaonea huruma wala kuwajali,hawa.Walistahili nao wapate hata posho ila Cha ajabu wanaopewa posho ni wakuu wao wa shule TU .
 
Hao walimu Wana kuja Kwa Kazi maalum ya kubadilisha matokeo ya kupiga kura
 
Am surprised kwa nini serikali wana kua wagumu sana kuongeza mishahara ya waalimu tofauti na taasisi zingine
 
Am surprised kwa nini serikali wana kua wagumu sana kuongeza mishahara ya waalimu tofauti na taasisi zingine
Mwalim n mtu wa kuteseka mwanzo mwsho, mwlm ndo mtumish pekee Tanzania mwenye mabosi wengi ad Mwenyekiti wa kitongoj n boss wa mwalim...
 
Wasalam mabibi na mababu...

Toka tarehe 14/4/2024 Tume huru ya uchaguzi imetoa tangazo la nafasi za kazi za muda katika kuboresha Daftari la kudumu la mpiga Kura.

Katika Jambo lililonishangaza ni kuona wimbi la walimu kuomba hizi nafasi, imani yangu inaniambia hizi ilikuwa n nafasi za kuomba graduates na jobless wapate chochote kitu lakini leo watumishi wa umma ndo wamejazana mno hususani walimu.

Katika utafiti mdogo katika shule zote nchini Tanzania walimu wameomba hizi nafasi za muda tena wengine ni mpaka walimu wakuu...

Hili la walimu hadi kunyang'anyiana hizi nafasi na graduates mtaani ni ishara tosha kuwa maslahi ya walimu ni Duni na mshahara hauwatoshei kabisa... Walimu wana njaa mpka wameamua kuvamia hivi vinafasi, yan Mwalimu hana ata kaposho anachopata katika mwezi hii ni hali mbaya saana.

Mheshimiwa Rais Mama Samia tunajua Zimebaki Siku chache watu waadhimishe siku ya Wafanya kazi Duniani ikikupendeza Mama wawekee walimu ata teaching Allowance kwa mwezi ata kama ikiwa ni laki tu kwa mwezi Hakika inaweza ikarahisisha maisha yao. Kuna walim wanaishi katika mazingira magumu hakuna nyumba, hakuna umeme, wako maporini tu ya I mtu muda wote anasikia sauti za Komba na Tetere.

Mama samia najua hili unaweza kabisa embu wawekee walimu posho uache Alama ya kweli ya Uongozi Wako, Hakika utakumbukwa Kizazi na Kizazi, kazi ya Ualimu sio kazi ya laana ni kazi ya kimitume, embu watunze upate thawabu hadi Akhera.

Aione Mama Samia Kwenye Faili....
Swala la maslahi duni ya walimu lipo sahihi Kwa asilimia 100

ila jambo lingine ualimu ni kazi ambayo hata wakitoka walimu 10 kati ya 20 kwenda kufanya kazi hizo Kwa wiki 2, madhara kazini sio makubwa




Tofauti na hospitali au taasisi nyingine

Pia walimu wapo wengi sana kuliko idara nyinginezo hivyo lazima namba ya wanaoomba iwe kubwa.


NB
Kumbuka ualimu ni kazi iliyo na posho ila haina mshahara.
 
hao walimu.. nao wakuda wakuda sana!! why wasi waachie vijana wahitumu watape angalau mitaji.
 
Back
Top Bottom