(KIONJO) Diamond Ft Neyo: Hakika hii ndio nyimbo

Psqure waliimba na rick Ross kwa sharti ispigwe marekani hahahahah yaaani alietusua ni mmoja tu wizkid Basi alioshirikishwa na Drake pini lao one dance basi
Ahsante sana, na ndicho nilichokisema, Mfundishe danya maana naona ana ushabiki kuliko kuelewa...
 
Ahsante sana, na ndicho nilichokisema, Mfundishe danya maana naona ana ushabiki kuliko kuelewa...
you never know naye atapata exposure kiasi gani uko marekani as a result of such collabo...haya mambo bwn huwa yanaendana na mipango ya Mungu pia.
 
nyimbo yenyewe mbovu dah mnatoaga sifa za bure mmarekani awez kupiga hyo k2 wakati wasanii wao wapo tena wanawajali kuliko hapa bongo
Yani tatizo vijana hawa hawaelewi hebu watonyee, maana kutokuelewa vitu ndiyo yanapelekea haya... Kule Marekani kuna underground wengi sana ambao ni wakali kufa lakini ni ngumu kwao nyimbo yao kuchezwa na wanatafuta airtime atleast nyimbo ichezwe bado hawapati na wana hustle sana, mfano mzuri ni 50 cent mpaka ametoka kimuziki ametumia jitihada nyingi sana angalia documentary yake 50 cent
 
Neyo mwenyewe kashafulia sasa hiyo nyimbo itapigwaje huko kwenye viunga vya Marekani?
Kama nimekusoma vile...!!!. Ni sawasawa na msanii 'X' pale Nanjilinji afanye colabo na Dudubaya halafu utuambie msanii 'X' atakimbiza mbaya Daresalama mjini. Si ndo akakurupuka, eti picha ya jamaa i-replace askari monument pale kati ya mji!!!!. Inawezekana lakini!!.
 
Yani tatizo vijana hawa hawaelewi hebu watonyee, maana kutokuelewa vitu ndiyo yanapelekea haya... Kule Marekani kuna underground wengi sana ambao ni wakali kufa lakini ni ngumu kwao nyimbo yao kuchezwa na wanatafuta airtime atleast nyimbo ichezwe bado hawapati na wana hustle sana, mfano mzuri ni 50 cent mpaka ametoka kimuziki ametumia jitihada nyingi sana angalia documentary yake 50 cent
Kwa maelezo hayo kama bado hawajaelewa wakapmwe
 
wengi hapa mnajaribu kukausha maji ziwa victoria kwa kuyachota kwa visoda. kitu ambacho hakitawezekana milele.. Diamond ni mwingine kabisa.. hafananishwi na hafanani na mtu
 
NE-YO has admitted that he is gay "Bruce Jenner "really gave me the inner strength to admit to my kids, my family, my friend, my fans and ultimately to myself that I am gay.I've known I was gay since I was a young boy that I was attracted to the other boys.Sasa huyo Diamond kufanya ukaribu na jamaa huku Kidoti akimung'unya maneno. ..Basata mbona kimya kwa nini msitoe tamko kuhusu shutuma za huyu msanii kutoka pande za Obama. Nchi nyingine hata visa asingepewa. Na waandishi wa habari kwa nini msimuulize hizo shutuma. Nilimsikia mtangazaji mmoja mrembo wa tv na radio fulani akimuuliza maswali ya kufanya video bongo na badala ya kumuuliza maswala kama haya
 
Wamarekani wataipiga sana hiyo ngoma kwenye redio zao?

Wamarekani unawajua unawasikia...?


Nakubaliana na wewe ni vigumu kwa wimbo wa Diamond kuchezwa kwenye radio stations za Marekani. Ila sio Diamond peke yake ni wanamuziki wote wa Africa ni vigumu.

Suala la msingi ni mfumo wa muziki wa Marekani ndio unazuia nyimbo za Africa kuchezwa huko, sio kwa sababu tuna nyimbo mbaya la hasha. Ili wimbo uchezwe Marekani au ulaya na upate rotation ni lazima uwe chini ya record label inayokubalika huko kwa ajili ya maswala ya copyright na milabaha. Ndio maana unaona sasa Davido amekubali kusaini na Sony mkataba ili muziki wake uweze kuchezwa huko kama ukikubalika. Btw BET walishaipiga my number one ya Diamond kwa week nzima ila walimtaarifu kabla afanye baadhi ya michakato ndio nyimbo ikaonyeshwa just a week.
 
Kwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo, bila unafiki ile nyimbo ni kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisia sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond.
Kwa nchi za wenzetu kama Marekani wana taratibu na sheria za kupiga mziki wa kushirikiana na asiye mmarekani.

Endapo uongozi wa Neyo na Neyo mwenyewe wakaridhia na kusaini upigwe kwenye Media za marekani huyu Diamond atakuwa ametusua kwelikweli.
 
Mkuu BAFA Wizkid ana bahati sana sababu yeye kashilikishwa ila wimbo ungekuwa wake usingechezwa huko wala ulaya sababu ya mikataba. Imagine hiyo beat ya One Dance imetengenezwa na producer wa South Africa ila ilibidi auze rights zake yani kuna complications fulani hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom