(KIONJO) Diamond Ft Neyo: Hakika hii ndio nyimbo

Kwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo,bila unafiki ile nyimbo ni Kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisiaaaa sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond
Itapigwa sana Tanzania lakini kule 15 minutes of fame are already up. Hata kwenye redio zao inaweza isifike.
Ukiona msanii wa calibre ya Neyo kukubali kuota kifriji ujue kashakubali matokeo.
 
nyimbo yenyewe mbovu dah mnatoaga sifa za bure mmarekani awez kupiga hyo k2 wakati wasanii wao wapo tena wanawajali kuliko hapa bongo
 
Kwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo,bila unafiki ile nyimbo ni Kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisiaaaa sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond
We danya Hiyo nyimbo inapigwa africa TU, siyo globally kama unavyo fikiria wewe kama hujuwi uliza
 
Mkuu jana waliamua kuimba demo ya huu wimbo kuwashtua mashabiki kidogo, hii nyimbo ukiisikilza iliyokamilika utakubaliana na mimi diamond ni level nyingine
Iliyokamilika ndiyo ipi hebu acha mbwembwe , tusiwe waongo au kwasababu neyo yumo humu ndani kwa kweli nyimbo hii ni mbaya sio kila kitu unafuata mkumbo sema ukweli.... Yani hi nyimbo haifikii Zigo remix ay ft domo hataaaa
 
Iliyokamilika ndiyo ipi hebu acha mbwembwe , tusiwe waongo au kwasababu neyo yumo humu ndani kwa kweli nyimbo hii ni mbaya sio kila kitu unafuata mkumbo sema ukweli.... Yani hi nyimbo haifikii Zigo remix ay ft domo hataaaa
Hujui unachoongea kitwanga zimekukolea subiri nyimbo itake ndo utatafuta pakujificha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom