mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
Labda kama clouds inashika hadi marekani ndo itasikika hiyo nyimbo
Unaonekana ni mpenzi wa nyimbo za taarabu ndio maana huelewi balaa la Ne-yo lilivyo sasa hivi..Neyo mwenyewe kashafulia sasa hiyo nyimbo itapigwaje huko kwenye viunga vya Marekani?
Itapigwa sana Tanzania lakini kule 15 minutes of fame are already up. Hata kwenye redio zao inaweza isifike.Kwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo,bila unafiki ile nyimbo ni Kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisiaaaa sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond
Nifundishe kuona nyimbo mkuu..natamani na Mimi kuziona Siku mojaSijawahi kuona nyimbo mbaya kama ile
Cheki hapa huo wimbo unaitwa i will mary you
kafulia kivip mkuu? mbona anafanya mambo tuu na kashirikishwa nyimbo kibaoNeyo mwenyewe kashafulia sasa hiyo nyimbo itapigwaje huko kwenye viunga vya Marekani?
Wamarekani wataipiga sana hiyo ngoma kwenye redio zao?
Wamarekani unawajua unawasikia...?
KWELI kabisa hata hle ya wzkid ft tyga - show your poket ilibuma marekan lakn bongo iliuzaPsqure waliimba na rick Ross kwa sharti ispigwe marekani hahahahah yaaani alietusua ni mmoja tu wizkid Basi alioshirikishwa na Drake pini lao one dance basi
AHAHA n zaidi ya bangAccording to Instragm Diamond ni msanii mkubwa kuliko Neyo
We danya Hiyo nyimbo inapigwa africa TU, siyo globally kama unavyo fikiria wewe kama hujuwi ulizaKwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo,bila unafiki ile nyimbo ni Kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisiaaaa sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond
Haahaahh neyo milioni, dee milioni mbili na usheiAccording to Instragm Diamond ni msanii mkubwa kuliko Neyo
Iliyokamilika ndiyo ipi hebu acha mbwembwe , tusiwe waongo au kwasababu neyo yumo humu ndani kwa kweli nyimbo hii ni mbaya sio kila kitu unafuata mkumbo sema ukweli.... Yani hi nyimbo haifikii Zigo remix ay ft domo hataaaaMkuu jana waliamua kuimba demo ya huu wimbo kuwashtua mashabiki kidogo, hii nyimbo ukiisikilza iliyokamilika utakubaliana na mimi diamond ni level nyingine
Mkuu hebu rudia kusema tena... Wabongo wengine banahAccording to Instragm Diamond ni msanii mkubwa kuliko Neyo
Hujui unachoongea kitwanga zimekukolea subiri nyimbo itake ndo utatafuta pakujifichaIliyokamilika ndiyo ipi hebu acha mbwembwe , tusiwe waongo au kwasababu neyo yumo humu ndani kwa kweli nyimbo hii ni mbaya sio kila kitu unafuata mkumbo sema ukweli.... Yani hi nyimbo haifikii Zigo remix ay ft domo hataaaa