Kijana anayejiunga UVCCM hana ajira, pia hana mtaji wa maana, ukiwaondoa watoto wa viongozi ambao wanataka kurithi viti vya wazazi wao

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,921
36,784
Tangu UVCCM hii ya 2000's ipambe moto kudahili vijana mashuleni, vyuoni na mitaani hakuna kijana mwenye ajira ya uhakika (permanent & attractive salary) amejiunga na UVCCM na kujishughulisha nayo.

Vijana waliosota na ukosefu wa ajira uliosababishwa na CCM ndio hukimbilia UVCCM wakisubiria uhakika wa ajira za sensa na uchaguzi.

Wengine wanadanganywa kuwa UVCCM ndio source ya ajira zote jambo ambalo si kweli. Labda ajira zile tia maji tia maji ndio UVCCM watazipata kirahisi.

Wengine wamemaliza vyuo wazazi maskini, mitaji ya uhakika hawana wanakimbilia UVCCM wakapate unafuu.

Hakuna kijana mwenye kazi yake ya uhakika akaitolea macho UVCCM.
 
Ajira hutegemea ufanisi hasa hizi ajira za maana .

Ingekuwa Uvccm waweza kupata ajira watoto wa viongozi wangekuwa wanazipata Ila ndo hivyo hawapati

Kama MTU anajua Ana uwezo atapata ajira vizuri bila kubebwa na Ccm

Serikali inatazama zaidi potential Kama hauna potential unabidi kusubiri ajira zetu za lakisaba ualimu n.k
 
Tangu UVCCM hii ya 2000's ipambe moto kudahili vijana mashuleni, vyuoni na mitaani hakuna kijana mwenye ajira ya uhakika (permanent & attractive salary) amejiunga na UVCCM na kujishughulisha nayo.
Vijana waliosota na ukosefu wa ajira uliosababishwa na CCM ndio hukimbilia UVCCM wakisubiria uhakika wa ajira za sensa na uchaguzi. Wengine wanadanganywa kuwa UVCCM ndio source ya ajira zote jambo ambalo si kweli. Labda ajira zile tia maji tia maji ndio UVCCM watazipata kirahisi.
Wengine wamemaliza vyuo wazazi maskini, mitaji ya uhakika hawana wanakimbilia UVCCM wakapate unafuu.
Hakuna kijana mwenye kazi yake ya uhakika akaitolea macho UVCCM.
Kuna mmoja akimaliza PhD chuo fulani cha nje 2011 mpk leo yupo kwenye korido za Lumumba kama chawa wa kuandika propaganda mitandaoni, analipwa laki 4 tu kwa mwezi. Kila mwaka anadanganywa atapewa uteuzi.

Hivi unakuwaje na PhD halafu unakubali kuwa "chawa mzee"?
 
Kuna mmoja akimaliza PhD chuo fulani cha nje 2011 mpk leo yupo kwenye korido za Lumumba kama chawa wa kuandika propaganda mitandaoni, analipwa laki 4 tu kwa mwezi. Kila mwaka anadanganywa atapewa uteuzi.

Hivi unakuwaje na PhD halafu unakubali kuwa "chawa mzee"?
Huyo hana akili . KAPEWA tu uwezo wa kukariri ndio maana ana PhD lakini akili hana
 
Back
Top Bottom