Kahama VS Njombe/Mafinga

Sumbawanga hiihiii ambayo Airport yake imegeuka Shamba!??


Huu mjadala naomba ubaki dhidi ya Kahama na Huko sijui Njombe ila Mbeya, Iringa, Sumbawanga na kimbilio lako kuu Dodoma zote hizo Hazifiki MWANZA ukiendelea kubisha kuna siku utajinye.a au kichwani ni Vacuum!!

Case closed!!
 
Kutwa kusema na kushabikia takwimu zao za michongo eti mikoa ya kanda maskini

Hakuna mtu mwenye hela zake na haraka zake atakeyefurahia kupanda mabasi kila siku kwenda huko kusini....ishu ni kwamba hawana hela
Yaani ikitokea leo, Air Tanzania waambiwe wachague viwanja vitano vya kudumu kwa ajili ya biashara yao, huko Kusini hamtoi hata kiwanja kimoja yaani viwanja vyote watageuza mashamba ya maharage na mpunga.

1675497094673.png
 
Yaani ikitokea leo, Air Tanzania waambiwe wachague viwanja vitano vya kudumu kwa ajili ya biashara yao, huko Kusini hamtoi hata kiwanja kimoja yaani viwanja vyote watageuza mashamba ya maharage na mpunga.

View attachment 2505654
Abiria wa bukoba wamepanda siku hiz...ni 80000 kwa mwaka....

Halafu anakuja mtu ya njombe na serikali yake anasema mkoa wa kagera watu hawana vipato


Kwan Bukoba ndo mbali peke yake kutoka Dar?
 
Yaani ikitokea leo, Air Tanzania waambiwe wachague viwanja vitano vya kudumu kwa ajili ya biashara yao, huko Kusini hamtoi hata kiwanja kimoja yaani viwanja vyote watageuza mashamba ya maharage na mpunga.

View attachment 2505654
Yaan Dodoma na kuwa capital city...abiria inazidiwa na Bukoba mji ambao wala sio economic capital? Na hauna uwekezaji wa maana wa serikali...

Halafu tukisema Bukoba pajengwe uwanja mpya wa kimataifa wa ndege watu wanapinga...lakin Dom wanakubali
 
Makambako tc
IMG_20230204_122313_096~2.jpg
IMG_20230204_121421_714~2.jpg
FB_IMG_16746099885643737.jpg
E_P7hQCXIAIclZd.jpg
b6-7tamakaneueki191111f.jpg
IMG_20220904_183641_633-scaled.jpg
FB_IMG_16724590538617113~2.jpg
FB_IMG_16728517915595809.jpg
FB_IMG_16733261264850101~2.jpg
FB_IMG_16721135230541475~2.jpg
FB_IMG_16721134174282919.jpg
FB_IMG_16731644510471492~2.jpg
 

Attachments

  • IMG_20230204_121421_714~3.jpg
    IMG_20230204_121421_714~3.jpg
    66 KB · Views: 7
  • IMG_20230204_122313_096~2.jpg
    IMG_20230204_122313_096~2.jpg
    227.3 KB · Views: 7
  • FB_IMG_16746099885643737.jpg
    FB_IMG_16746099885643737.jpg
    57.2 KB · Views: 7
Njombe Town Council (Halmashauri ya mji Njombe) unataka upambane vs Kahama Municipal Council - Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Hivi kweli Halmashauri ya Mji ipambane na Manispaa?
 
Back
Top Bottom