Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,567
- 2,188
- Thread starter
- #61
Sinaninyi mdanganye?Kinachoiweka serikali ya CCM madarakani ni uongo
Sinaninyi mdanganye?Kinachoiweka serikali ya CCM madarakani ni uongo
umepanic right?🐒Muwe mkitumia akili kidooogo ujinga wenu unachefua na kuirudisha nchi nyuma!!
pesa zakwenye karatasi sio sawa na zinazopelekwa kwenye sekta husika kama ilivyokusudiwa/ilivyotamkwa!!
Huyo aliyeachwa na mke Kwa ujuaji na uongo anapalilia ajira yake mshahara uendelee kutiririka alizoea mabilioni ya ubunge ghafla akayakosa sahivi ni kufaidi serikalini kujiajori hawezi ni lijimshahara laserkali pamoja na marupurupu kibao kwakodi zetu walalahoi!!
Wewe zuzu unaushabikia tuu...Mijinga nimingi sana hii nchi!
Na watoto nao ni wakulima maana zaidi ya 46 % ya watanzania ni watoto chini ya 18Akizungumza katika maadhimisho ya miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP Mhe David Kafulila amesema,
Nchi ya Tanzania kwa awamu hii ya sita imeamua kujikita zaidi kwa kuwekeza kwenye Sekta ya Kilimo ambayo inagusa Jamii kubwa ya Watanzania,
Kilimo ndio Sekta ambayo Kila Mtanzania inamgusa kwa namna moja au nyingine huko nyuma haikupewa kipaumbele sana kama ilivyo Leo,
Mathalani, Kilimo bajeti yake imekuwa kutoka TZS 230BL mpaka TZS 970BL karibu mara Nne ,
Sote tunafahamu zaidi ya 70% ya wakulima wote ni Wanawake ambao ni karibu Wanawake mil 28 wanategenea Kilimo na hata hivyo zaidi ya 64% ya Watanzania wote 61,741,120 ambao ni karibu wakulima mil 40 huku zaidi ya 80% ya malighafi zote za viwandani zinatemea Kilimo.
View attachment 2947980
Kuwa na akili hata kidogo, Takwimu zinasema 64% ya Watanzania ni Wakulima wewe unauliza hata watoto???!!Na watoto nao ni wakulima maana zaidi ya 46 % ya watanzania ni watoto chini ya 18
Hapa naona ni lugha gongana, endelea na mtazamo wako mkuu, nimetoa maoni yangu tu.CCM ni kubwa acha ku-capitalize tabia za individual kwa CCM yote
Mambo mazuri kwa level zako yananiumiza vipi?!ukiskiaga mambo mazuri unaumiaga hadi huruma kamanda dah, pole 🐒
umesoma wapi kwamba najilinganisha na kiazi kama hicho,pumbavuuSasa wewe unajifananisha na Kafulila?
Ni wakulima 28m au ni watu 28m wanaoishi mashambani wakifanya kilimo Cha kujikimu? Ufafanuzi tafadhali.Akizungumza katika maadhimisho ya miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP Mhe David Kafulila amesema,
Nchi ya Tanzania kwa awamu hii ya sita imeamua kujikita zaidi kwa kuwekeza kwenye Sekta ya Kilimo ambayo inagusa Jamii kubwa ya Watanzania,
Kilimo ndio Sekta ambayo Kila Mtanzania inamgusa kwa namna moja au nyingine huko nyuma haikupewa kipaumbele sana kama ilivyo Leo,
Mathalani, Kilimo bajeti yake imekuwa kutoka TZS 230BL mpaka TZS 970BL karibu mara Nne ,
Sote tunafahamu zaidi ya 70% ya wakulima wote ni Wanawake ambao ni karibu Wanawake mil 28 wanategenea Kilimo na hata hivyo zaidi ya 64% ya Watanzania wote 61,741,120 ambao ni karibu wakulima mil 40 huku zaidi ya 80% ya malighafi zote za viwandani zinatemea Kilimo.
View attachment 2947980
Kwani watu si ni hao hao wakulima?Ni wakulima 28m au ni watu 28m wanaoishi mashambani wakifanya kilimo Cha kujikimu? Ufafanuzi tafadhali.
Swali langu linatatizo gani hapo ?Kuwa na akili hata kidogo, Takwimu zinasema 64% ya Watanzania ni Wakulima wewe unauliza hata watoto???!!
Mwamba sana huyu jamaaAkizungumza katika maadhimisho ya miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP Mhe David Kafulila amesema,
Nchi ya Tanzania kwa awamu hii ya sita imeamua kujikita zaidi kwa kuwekeza kwenye Sekta ya Kilimo ambayo inagusa Jamii kubwa ya Watanzania,
Kilimo ndio Sekta ambayo Kila Mtanzania inamgusa kwa namna moja au nyingine huko nyuma haikupewa kipaumbele sana kama ilivyo Leo,
Mathalani, Kilimo bajeti yake imekuwa kutoka TZS 230BL mpaka TZS 970BL karibu mara Nne ,
Sote tunafahamu zaidi ya 70% ya wakulima wote ni Wanawake ambao ni karibu Wanawake mil 28 wanategenea Kilimo na hata hivyo zaidi ya 64% ya Watanzania wote 61,741,120 ambao ni karibu wakulima mil 40 huku zaidi ya 80% ya malighafi zote za viwandani zinatemea Kilimo.
View attachment 2947980
Sawa dada anguNdio maana nasema wewe unashida ya akili?
Huyo UWT hana akiliSwali langu linatatizo gani hapo ?
UWT ndio mama zako haoHuyo UWT hana akili
Yes ni mama zanguUWT ndio mama zako hao
Kuwa na adabu sasaYes ni mama zangu