Kafulila: Watanzania zaidi ya mil 40 ni Wakulima mil 28 kati yao ni Wanawake tunapunguza Umasikini kwa nchi yetu kuwekeza zaidi kwenye Sekta ya kilimo

Upuuzi wa 970bl?
Au sijakuelewa
Leta ripoti moja tuu ya ufanisi
mf. Mashamba makubwa ya umwagiliaji yamewezeshwa na serikali tumevuna tani kadhaa nk.
Hapo at least tutakuelewa sio upuuzi wakujificha kwenye bajeti.
Serikali hii inayoshindwa kupata faida hata kwenye biashara rahiiisi ya mafuta itawezesha kilimo gani??
Acha vichekesho vinavyochekesha kwakuwa havichekeshi
 
Machawa wote pro max nchi hii wanatokea Kigoma,Mwajaku,Babalevo,Kafulila

Hivi huu mkoa una nini jamani?
 
Muwe mkitumia akili kidooogo ujinga wenu unachefua na kuirudisha nchi nyuma!!
pesa zakwenye karatasi sio sawa na zinazopelekwa kwenye sekta husika kama ilivyokusudiwa/ilivyotamkwa!!
Huyo aliyeachwa na mke Kwa ujuaji na uongo anapalilia ajira yake mshahara uendelee kutiririka alizoea mabilioni ya ubunge ghafla akayakosa sahivi ni kufaidi serikalini kujiajori hawezi ni lijimshahara laserkali pamoja na marupurupu kibao kwakodi zetu walalahoi!!
Wewe zuzu unaushabikia tuu...Mijinga nimingi sana hii nchi!
Hapo anaongea huku amekunja posho nono
 
Kwenye hili kama ni kweli Wacha tumpongeze Mama
Kilimo Tanzania kinadharaulika sana
Nakumbuka wakati nasoma shule ya msingi walimu walikuwa wanaswali eti what is your father's occupation
Sisi watoto wa wakulima tuliona kama hili swali lilituonea sana tukijibu he is a farmer.
Wanapiga siasa tu, hakuna mpango mkakati wala nia yoyote ya dhati ya kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo. Mpango wa kilimo kwanza ulikuwa umeandaliwa vizuri sana, kilichokuja kutokea kilituacha sisi wadau na mshangao mkubwa. Siku wanasiasa wakiwa na nia ya dhati ya kuibadilisha nchi hii, ndio siku tutaona ni kwa kiasi gani tulilala.
 
Back
Top Bottom