Radical change au metamorphosis? Kutoka tumbili hadi kuwa chawa!??Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
#Songa na SamiaKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
Good done Kafulila, Wewe na Mama mnaupiga mwingi sanaa.Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
Hongera Rais Samia na KafulilaKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
Wako kimya SANA siku hizi wanatafuna za AbdulAkili kubwa Kafulila ngoja tuwasubiri pingapinga FC
Wako busy kununua gari la KifahariAkili kubwa Kafulila ngoja tuwasubiri pingapinga FC
Uongo uongo tuDeni la Taifa lapaa, wachumi waeleza
Muktasari:
Deni la Taifa Machi 2023 limeongezeka hadi kufikia Sh 94.8 trilioni kutokea Sh87 trilioni kipindi kama hicho mwaka 2022 sawa na ongezeko la asilimia 8.9 huku sababu mbalimbali zikitajwa ikiwemo miradi ya kimkakati inayotekelezwa. chanzo. Deni la Taifa lapaa, wachumi waeleza
Kwa hivi Serikali inavyokopa kopa nje Deni litazidi zaidi ya Sh 100 trilioni mpaka leo au zaidi ya hapo. Haya Wa-Tanzania tuchangeni kuisaida Serikali kulipa deni la Taifa. Kwani Serikali imeshindwa kulilipa hilo Deni. Linazidi kuongezeka mwishoe Serikali itafilisika kwa kudaiwa madeni Mengi .
Chawa mchangamfu KafulilaKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
MSIGWA: AKILI NDOGO ITAWALE AKILI KUBWA
View: https://www.youtube.com/watch?v=12CZNjxu5Wg&ab_channel=GervaLyenda
Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
View attachment 2991403
Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi na kusoma Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!!
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter(X) Mkurugenzi wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
Kwaniaba yangu naomba kumpongeza sana Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina anayoitwa mara Chawa, mara kiroboto et Al.
View attachment 2991401
Pamoja na kazi nzuri anayoifanya David Kafulila bado Watanzania wanahitaji kupewa Elimu ya kutosha juu ya mambo mazuri kama haya ,expand...
Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
Hongera sana ndg yangu Kafulila naona nia yako ni njema Mungu akupe tarajio la moyo wako,expand...
Ulitaka wapelekewe hela mlangoni mwa nyumba zao.Machawa at their best, mbona hali ya wananchi aibadilike.
Unaposema Kafulila ni muongo uje na hoja yenye ukweli.Ndio kipindi ambacho tumeshuudia kodi nyingi tangu nchi hii kupata uhuru!
Yani hata anaenunua luku anapigwa 1,500 eti kodi ya jengo.
Hizo hela alizozalisha zimeenda wapi?
Kafulila aache utaahira ndio maana mke alimpigia chini.
Kwa hiyo, anataka kusema nini? Mbona kila Rais uchumi alioukuta ulikuwa chini na baadaye ukakua kuanzia kwa Mwalimu? Kuna mambo yalifanyika zamani na matokeo yake yanaanza kuonekana sasa. Hebu mlio karibu muulizeni hili analizungumziaje?Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
kaongeza mapato kwel maana si mchele , sukari , mafuta yote ya kupikia na kuendeshea pia kodi za kila sehem si mliona vilipanda kwa kiasi gan ? je unahisi njia ya anga au majini alipobinafsisha au njia ya reli inayorudi nyuma kwa kasi ya ajabu vinaweza muongezea mapato ? TUWE WAKWEL UNAFIKI UTATUONGOZA NJIA MBAYA , MAPATO YA SAMIA HAJAHAKISI MAISHA YA WENGI BALI WACHACHE SANA ENYE NAFASI ZAOAkili kubwa Kafulila ngoja tuwasubiri pingapinga FC
kaongezaj mapato maana kila idara pesa hazifiki serikalin , je unataka kupinga na hilo ? awamu ya jpm idara watu waliogopa kupokea hela ya hongo na hela zote ziliingia kwenye mfuko mkuu je mama ambayr kila idara sasa hv inajilia atuambie pato kaongezaj ? au kupitia mikopo ?Unaposema Kafulila ni muongo uje na hoja yenye ukweli.
wajinga hawawez kukuelewa kodi plus mfumuko wa bei haujawai kutokeaNdio kipindi ambacho tumeshuudia kodi nyingi tangu nchi hii kupata uhuru!
Yani hata anaenunua luku anapigwa 1,500 eti kodi ya jengo.
Hizo hela alizozalisha zimeenda wapi?
Kafulila aache utaahira ndio maana mke alimpigia chini.
utafanya kazi sehem hakuna umeme wala miundombinu ya kusafirisha mazao , ukisoma ile point ya DISUNITY ndo unayo wewe sasa kisa unaish masaki unamwambia mtu wa Mlimba kifinya afanye kaz wkt umeme unazalishwa ndan ya kata yake na hana umeme zaid anaongezewa kodi kila kwenye zana yake ya KilimoMkuu fanya kazi acha kujilegeza