Kafulila: Tanzania ina miradi ya Ubia yenye thamani ya Jumla ya Tsh. Trilioni 2.6

Vugu-Vugu

JF-Expert Member
Feb 24, 2017
1,220
1,385

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
 
Mkurugenzi wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema,Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 26 trilioni.

Mkurugenzi Kafulila anaendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.


View attachment 2989414
Mshkaji anaeleweka sana ila shida nchi yetu ni taarifa tu
 
Mkurugenzi wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Tumbiiri katika ubora wake
 
Mkurugenzi wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema,Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 26 trilioni.

Mkurugenzi Kafulila anaendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.


View attachment 2989414
Huyu jamaa hii staili anayoitumia imetufungua macho tulio wengi,
Wengi wetu tunaamini Ubia ni Upigaji tu,
Wacha tuone inapovuja
 
Mkurugenzi wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema,Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 26 trilioni.

Mkurugenzi Kafulila anaendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.

H
View attachment 2989414
Hawa kenge wa ccm, wanajifanya kama hamnazo vile, ishu hapa sio sheria zilitungwa lini, hiyo sio hoja, Sisi tunauliza kwa nini awamu ya sita, samia ameamua kuuza bandari zetu, kwa, wa Arab kwa mikataba yenye mashaka? Kenge wa ccm, badala ya kujibu swali wao wanakuja kusema, unajua hz sheria za kubinafsisha hazikutungwa na awamu ya sita!
Sie kwetu issue ni mikataba ni ya mashaka, isitishwe! Wao, wanakijibu hz sheria hatujatunga Sisi awamu ya sita! Hata kama zilitungwa wakati wa, Yesu, tumeishawaambia ni mbovu kwanini mnazitekeleza?
Sasa hv samia, atatumia wa Tanganyika kupeperusha propaganda ili mradi tu watunishe matumbo Yao!
 
Hawa kenge wa ccm, wanajifanya kama hamnazo vile, ishu hapa sio sheria zilitungwa lini, hiyo sio hoja, Sisi tunauliza kwa nini awamu ya sita, samia ameamua kuuza bandari zetu, kwa, wa Arab kwa mikataba yenye mashaka? Kenge wa ccm, badala ya kujibu swali wao wanakuja kusema, unajua hz sheria za kubinafsisha hazikutungwa na awamu ya sita!
Sie kwetu issue ni mikataba ni ya mashaka, isitishwe! Wao, wanakijibu hz sheria hatujatunga Sisi awamu ya sita! Hata kama zilitungwa wakati wa, Yesu, tumeishawaambia ni mbovu kwanini mnazitekeleza?
Sasa hv samia, atatumia wa Tanganyika kupeperusha propaganda ili mradi tu watunishe matumbo Yao!
Kwani Pale Bungeni Kuna Wabunge wa Tanganyika wangapi?

Shida ya Rais hapo ni nini?
 
Back
Top Bottom