abiko
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 692
- 588
Iringa wapi kalenga, nduli , igingilanyi, tosamaganga,igumbilo,ndolela kwa wachawi au uhambingeto?Zamani sana huku iringa mtu mahiri na shujaa kama huyu wazee walikuwa wanamuandalia mwanamke mzuri ambaye atamtunza maadui wasimdhuru!
Go lissu gooo