hujielewiUbunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
hujielewiUbunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
Ngoja sindano ikuingie, na bado usiye mpenda kaja lililobaki ujinywee sumu tu.Ubunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
Vipi yule kwenye bichwa kama chapati hana mihemko?Ubunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
Ubunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
So hao wagombea wengine.. hawana chama..? Tena wote ccm...Huyu Lisu ni mwanasiasa hiyo society haiitaji wanasiasa.... Is a neutrality society. Anatafuta umaarufu kwa watu wasiojua kitu. Aamue kuacha siasa na kugombea ama kubakia mwanasiasa.
Huyo ni mbunge wa maishaUbunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
Lissu ni zaidi ya wabunge 200 wa ccmUbunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
Pole sana kwani akili yako ndio ilipo komea hapoKina sugu walichaguliwa kwa mihemko tu nao
Kina Bashite utawaona kwa michango yaoTUNAAMBIWA UKIABUDU SANAMU UTAFANANA NALO ! NA WANASHERIA WATAKAO MCHAGUA TUNDU WATAKUEA WANAFANANA NAE ! NA WASIJE SHANGAA TLS ITAVYO POROMOKA !
tayari una misconceived opinion, anyway hicho unachokiwaza kuhusu uchaguzi kuzuiwa hakiwezi kutokeaMkuu serikali inazuia vipi? kama wakili mweznao aliyefungua kesi ikashinda si mahakama itasimamisha huo uchaguzi batili ambao unasimamiwa na kanuni zilizotungwa na mtu ambaye hakupewa mamlaka hayo na sheria ya bunge?
Kama walifanya chaguzi huko nyuma bila kanuni ama kwa kanuni mbovu ambazo zilitungwa na mtu ambaye hana mamlaka na hajawahi kupewa mamlaka ya moja na sheria ama kwa delegation basi ni kwamba haijawahi kuwa na viongozi na chaguzi zote walizozifanya kwa kanini hizo mbovu ni VOID AB INITIOTLS hawajawahi kufanya uchaguzi wakati wowote? Kama waliwahi kufanya uchaguzi ni kwa kanuni zipi? Au hizo kanuni ziliisha muda wake? Na kama muda wake uliisha, ni lini uliisha?
zimetungwa na DAUDI ALBERT BASHITE aka TABULA RASAzipi zile zilizotungwa na yule jamaa wa " DELEGATUS NON POTEST DELEGARE"?
Utafanyika kibabe tuu uchaguzi ambao ni VOID ila mkiweka uanaharakati pembeni na kusimama kwenye taaluma yenu ya sheria utagundua wazi bila mashaka kuwa hoja za msomi WASONGA zina mashiko makubwatayari una misconceived opinion, anyway hicho unachokiwaza kuhusu uchaguzi kuzuiwa hakiwezi kutokea
Arosto inakuuaUbunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
Mungu akusamehe bureKina sugu walichaguliwa kwa mihemko tu nao