Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
Wewe kimeshindikana nini kuchaguliwa?Kina sugu walichaguliwa kwa mihemko tu nao
Wewe kimeshindikana nini kuchaguliwa?Kina sugu walichaguliwa kwa mihemko tu nao
Kuliko Magufuli?Ubunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
lamba ndimu mkuu ushushe presha lissu anakuja na hukoUbunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
T-Boz..Lisa and Chilli.Samahani ndugu, naomba unisaidie kirefu cha TLC.
Ni kundi la muziki hili nafikiri.T-Boz..Lisa and Chilli.
Ndio mkuu. Nimekusaidia jibu kutokana na swali ulilouliza kuhusu kirefu cha TLC...au ulimaanisha TLS!?Ni kundi la muziki hili nafikiri.
Asante Mkuu. Manake mleta post ametuletea TLC sasa akawa ameniacha kidogo kwenye kirefu chake.Ndio mkuu. Nimekusaidia jibu kutokana na swali ulilouliza kuhusu kirefu cha TLC...au ulimaanisha TLS!?
TUNDU LISU & CoSamahani ndugu, naomba unisaidie kirefu cha TLC.
Karibu mkuu.Asante Mkuu. Manake mleta post ametuletea TLC sasa akawa ameniacha kidogo kwenye kirefu chake.
Shukrani.
Emotional driven character! Lethal to society!Ubunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
TUNAAMBIWA UKIABUDU SANAMU UTAFANANA NALO ! NA WANASHERIA WATAKAO MCHAGUA TUNDU WATAKUEA WANAFANANA NAE ! NA WASIJE SHANGAA TLS ITAVYO POROMOKA !Wakati chama cha Mwanasheria Tanganyika (TLS)wakifanya semina katika ukumbi wa AICC jijini Arusha ,jina na Tundu Lisu limetawala kwa baadhi ya wanachama ambao wamesikika wakibishana kuhusu nani awe rais wa chama hicho huku wengi wao wakionyesha kuwa na imani na Mbunge huyo wa Singida Mashariki
Uchanguzi huo unatarajiwa kufanyika tar 18 ,mwezi huu,ukitanguliwa na semina inayoendelea sasa katika ukumbi huo wa kimataifa.
![]()
Ubunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi
Mtazamo wako wako,?unaruhusiwaUbunge tu unamtosha na wenyewe hii awamu ya mwisho. Ana mihemko sana hafai kuwa kiongozi