Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

Mahitaji
1)Tambi 500g
2) maji 3-4cups
3)sukari 1 cup
4)1/4 hiliki iliyotwangwa
5)tui la nazi 1 cup
6)samli 1 tablespoon.
7)Arki ya rose au flavor yoyote unayopendelea

Namna ya kutaarisha

1)changanya maji,sukari,hiliki na tui la nazi kwenye sufuria
2)weka kwenye moto mdogo mdogo hadi vichemke
3)vunja vunja tambi na uweke
4)pika hadi tui la nazi likauke
5)pakaza samli juu yake
6)washa oven 300°-350° then oka mkae wako....hakikisha unawiva vizuri...

7)mkate wa tambi tayari kwa kuliwa...
jamani na mimi utanifungisha
 
Afadhali umenitia moyo best....
mimi nimejaribu vitumbua mara kadhaa....
mara wananiambia vile vikaangio havijazoea mata sijui nini. kwa kifupi huwa naishia kuchemsha uji kwenye mafuta.....
nikaamua kujiachia zangu

Dada Fixed Point,

Tia Hamira vizuri (Hamira 1 teaspoon)

Kisha
weka sehemu ya joto ili uimuke (inavyo onyesha unavipika kabla havija umuka).

Shukran.

 
Dada Fixed Point,

Tia Hamira vizuri (Hamira 1 teaspoon)

Kisha
weka sehemu ya joto ili uimuke (inavyo onyesha unavipika kabla havija umuka).

Shukran.

asante kwa ushauri but believe me huwa vinakuwa vimeumuka, sijui hayo majanga yanatokea wapi
 
Asante nilikua na hamu sana ya kupika hii kitu!b blessed, japokuwa nahisi nitakua na maswali mawili matatu
 
Huu mkate nilishapika ukawa hivyo ila haukuiva alafu ulikuwa na harufu ya amira hata sikujua kosa no nn cjarudia tena
 
Nilishapika lakini sikuanza kwenye jiko niloweka kwenye ovena straight.Uliiza vizuri lakini chini ilikia mgumu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom