Dadaa samahani naomba kuuliza kama hauna hiyo ARKI je waweza tumia nini kingine au je bila iyo mkate hupoteza radha au hutoka vibaya? nataka niujaribu ila hiyo kitu ni ngumu kupatikna
Vanilla powder tumia.....ila ukikosa haina tatizo weka tu hiliki mkate utakua na ladha nzuri tu...