Je, North Korea ina uwezo wa kumnyamazisha mmarekani

JFni wjuaji wa kila kitu dunian ndo mana mh rais kaamua kuwa dereva. Iwapo jeshi la marekani hawajui ka wana uwezo wa kumkabili mkorea, nawashauri wawatume makomandoo wao jf wapate maujuzi.
 
Marekani hawezi kuvamia korea ataishia huko kwa waarabu kwanza muoga kishenzi!!!!
 
Marekani simpend lakini pia korea simpendi vita si yakuomba. Hatujashudia vita zaidi ya nusu karne nahisi kitanuka tu, tatizo sio vita, bali nuclea haifai kusikia
 
Uimara wa jeshi na mambo kuwa sawa una hakikishwa kwa kukagua gwaride? Mkuu you must be kidding!.

Kuwa na silaha, kujua kuzitumia, kuwa na askari wakakamavu ni masuala tofauti sana na hayana uhusiano wa moja kwa moja na ushindi katika vita.

Idd Amini alikuwa na silaha kuliko sisi. Lakini tulitumia silaha zake na watu wke wengi sana kummaliza. Masuala ya kijeshi siyo sanaa za maonyesho. Yako masual ya msingi ambayo mara nyingi si rahisi kuyazungumzia ambayo pasipo hayo, hata ungeamrisha kombora lililoelekezwa masafa marefu, linaweza kurushwa likatua bafuni kwako.
 
Uimara wa jeshi na mambo kuwa sawa una hakikishwa kwa kukagua gwaride? Mkuu you must be kidding!.

Kuwa na silaha, kujua kuzitumia, kuwa na askari wakakamavu ni masuala tofauti sana na hayana uhusiano wa moja kwa moja na ushindi katika vita.

Idd Amini alikuwa na silaha kuliko sisi. Lakini tulitumia silaha zake na watu wke wengi sana kummaliza. Masuala ya kijeshi siyo sanaa za maonyesho. Yako masual ya msingi ambayo mara nyingi si rahisi kuyazungumzia ambayo pasipo hayo, hata ungeamrisha kombora lililoelekezwa masafa marefu, linaweza kurushwa likatua bafuni kwako.
 
Back
Top Bottom