Je, North Korea ina uwezo wa kumnyamazisha mmarekani

Trumps anafanya timing pa kuanzia,,Ila N/Korea ile kitu Nuclear wanayo siyo story na wanaweza kupiga marekan,ila USA wanaangalia je wakilianzisha RAIA wake watapata madhara,na Mara nyingj anaangalia nchi ambazo hazina marafiki wakuba kama Russia,China hao ndio wapinzani wake,Korea ni rafiki na China na China ameombwa support ili Korea apigwe lakini kutoa nje.
Eti China imetoa nje duh shikamooo tanzania
 
Acha kukariri wewe,ni vita gani dhidi ya waarabu usa ameshinda?

Huko Libya bado hakukaliki,mpaka balozi wake akauawa kwa ambush,Iraq mpaka leo imemshinda,hata huko Afghanistan bado hakukaliki,sasa anajitia kuingia Syria huko anapotea tu, hata hiyo vita yake dhidi ya ugaidi bado ni kitendawili,pamoja na kua super power bado wanaishi kwa uoga kama Kunguru.
Unajua target za USA wewe au anaongea huyo Gaddafi yupo wapi, huyo sadaaam yupo wapi Noriega yupo wapi hawa jamaaa wakishafikia plan yao done mbaki mparangane yeye anajinyonyea wese kwa kwa mrija na kuuza silaha
 
coz marekani alipata loss kubwa sana katika ile vita, na alipigwa mnoooo, alipoteza sana wanajeshi wake kule

ukitaka uthibitisho wa kisinema kajikumbushie ata ile muvi ya war bus

umeona jamaa walivyokimbia kule vietnam

wababe wanamiminika tu awana abar na mmarekani, na walivyo wengi kama siafu
Kasome urudi tena pumba tu
 
Unajua target za USA wewe au anaongea huyo Gaddafi yupo wapi, huyo sadaaam yupo wapi Noriega yupo wapi hawa jamaaa wakishafikia plan yao done mbaki mparangane yeye anajinyonyea wese kwa kwa mrija na kuuza silaha
Umeongea Pumba tupu ila mwenyewe hapo unajiona umetema madini unasubiri likes tu hapo...teh! teh! Kuwa na hicho kisimu na kuweza kuingia social media tayari umeshajiona unajua kila kitu!!!?
 
We ndo uache kufananisha korea na vitu vya kijinga
Marekani ishatabiliwa na biblia itatabiliwa itaangushwa na taifa dogo. Unazani taifa dogo ni ukelewe. ***** kaoge af uje hapa
1.kuwa na heshima bro
Mama yangu anaingiaje tena hapa?

2, Achana na content ambayo ime prove ni kiasi gani kichwani uko mweupe jifunze angalau kuandika
 
Unajua target za USA wewe au anaongea huyo Gaddafi yupo wapi, huyo sadaaam yupo wapi Noriega yupo wapi hawa jamaaa wakishafikia plan yao done mbaki mparangane yeye anajinyonyea wese kwa kwa mrija na kuuza silaha
Kwa akili yako una mfananisha Gaddafi na Kim Jong un..?

Hivi kama huyo Gaddafi angekuwa ana miliki ile midude aliyoionyesha Kim Jong unazani Mmarekani angetia pua yake pale...?
 
Unafahamu kwamba North Korea wakirusha bomu la nyuklia kwenda Marekani linapitia anga ya Tanzania?
Nenda YouTube andika north korea dream utaona ilo kombora lao linapita wapi usiwanze kama bashite!!!
 
Back
Top Bottom