Je, ni nini tofauti kati ya SMG na AK-47?

Wewe kuna mahali umeona siyo kwenye TV tu ndo ukomae nazo hivi. Utakuwa na nia ovu na Taifa hili wahusika wakufuatilie tu tafadhali siyo wa kawaida wewe.
Umeacha kuulizia tofauti ya bati la msauzi na kiboko eti uulizie silaha mmmmm una lako jambo mkuu.
kwahiyo kwa akiri yako fupi uki uliza kitu kwa kutaka kujua ni kosa rudi shule mkuu.
 
kwahiyo kwa akiri yako fupi uki uliza kitu kwa kutaka kujua ni kosa rudi shule mkuu.
Nenda wewe shule yaKijeshi Monduli ukafunze Aina ya Silaha na matumizi yake, Unatuchosha nini hapa au kamuulize Mwamnyange huko we vipi bhana usituunganishe katika uovu wako.
 
Nenda wewe shule yaKijeshi Monduli ukafunze Aina ya Silaha na matumizi yake, Unatuchosha nini hapa au kamuulize Mwamnyange huko we vipi bhana usituunganishe katika uovu wako.
ebu niambie mimba yako ina miezi mingapi ili nikupe dawa.
 
Kiufupi AK47 sio SMG; ni Assault Rifle, kiuwezo ipo juu zaidi. AK 47 kwa Assault Rifle ni kama Scania kwa gari. AK47 ni aina mojawapo ya Assault Rifle, kama ilivyo M16 etc.
 
Mkuu utofauti ni mdogo mno kugundua kwa haraka ila return spring mechanism tofauti kidogo ya ak 47 nzito/ ngumu hivyo hata umalizaji wa risasi unapokamua rapid unawahi maliza,tabu inakuja watu wengi hata akiangalia silaha hizi kwa nje Mtu hawezi tofautisha.
 
Mkuu utofauti ni mdogo mno kugundua kwa haraka ila return spring mechanism tofauti kidogo ya ak 47 nzito/ ngumu hivyo hata umalizaji wa risasi unapokamua rapid unawahi maliza,tabu inakuja watu wengi hata akiangalia silaha hizi kwa nje Mtu hawezi tofautisha.
na hili haswa ndiyo swali kwenye topic hii.
 
Zote sawa. AK Mrusi na SMG Mchina. Zote ni za rashasha zina uwezo wa kutoa risasi mfululizo
 
Habari zenu wakuu wa jamvi naomba kuuliza kwa wale wenye uelewa wa tofauti kati ya silaha hizi SMG na ILE inayoitwa AK-47 nimekuwa mfatiliajia sana wa habari hapa nchi utasikia majambazi yamekamatwa na SMG siku nyingine utasikia majambazi yamekamatwa na AK-47 Je ni nini hasa tofauti kati ya vyombo vihi viwili au ni kitu kimoja ila majina tofauti na je kwanini nchi kama kenya hizi mashine hazitumiki sana tofauti na nchi kama Tanzania kila sehehu unakuta zipo despalayed.
nitafute, nikufumue mguu wa kushoto na AK 47 halafu mguu wa kulia nikufumue na SMG halafu uone tofauti yake.
 
SMG maana yake ni Sub Machine Gun.
Zipo SMG aina nyingi sana na zinakuwa categorized na ile rate of fire, yaani idadi ya risasi zinazotemwa kwa dakika.

AK47 ni aina moja tu kati ya aina nyingi za SMG.
AK47(Mikhail Klasnikov) ni kifupi cha mgunduzi Mrusi wa silaha hii aliyeigundua mwaka 1947.

Bado tunahitaji technical info and capability of each weapon
 
SMG maana yake ni Sub Machine Gun.
Zipo SMG aina nyingi sana na zinakuwa categorized na ile rate of fire, yaani idadi ya risasi zinazotemwa kwa dakika.

AK47 ni aina moja tu kati ya aina nyingi za SMG.
AK47(Mikhail Klasnikov) ni kifupi cha mgunduzi Mrusi wa silaha hii aliyeigundua mwaka 1947.
Kumbe AK47 ni toleo la SMG! Sikuwahi kufahamu. Nilikua nikidhani ni toleo la kipekee...
 
AK47 si SMG bali automatic rifle, Ak74 ndiyo SMG msichanganye hizo kwanza. Ni bunduki za matoleo mawili tofauti.




Mtoa mada alilenga bunduki ya kichina ambayo wengi tunaifahamu kwa jina la SMG lakini jina lake kamili ni SMG-56


Hivyo AK47 ni automatic rifle na SMG-56 ni Submachine gun
 
Back
Top Bottom