Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,892
Asante kama ni sahihiSmg na Ak 47 ni aina moja ya silaha inayotofautishwa na mahali zilipotengenezwa tu,,smg imetengenezwa china na Ak 47 urusi
Asante kama ni sahihiSmg na Ak 47 ni aina moja ya silaha inayotofautishwa na mahali zilipotengenezwa tu,,smg imetengenezwa china na Ak 47 urusi
Mkuu wataalamu wa hayo mambo wamesema yote. Mimi hata kuiona sijawahi. Nasikia lakini huwa zinatumia kwenye mawindo ya swala.Tunataka kujua tofauti sio kutumia
Aise nimecheka mbaya,SMG inaanza na S while AK 47 inaanza A
SMG ni Said Maulid while AK ni Angela kairuki
Ila jamaa yupo sahihi kwani wakati said maulid anakipiga yanga alikuwa anaitwa smgHuyu jamaa lazma anatumia viroba
Umeongea kitu ambacho mie nakicheza kwenye game la sniper 3DUko vzr blaza, hongera you are an expert. Ak 47 hata kwenye maji iko vzr tofauti na SmG au SaR
But zote ziko katika kundi la assault rifles (rifles ambazo unaweza badili mapigo) rapid (usalama kati) na single (usalama chini kbs)
Light machine gun(LMG)Hakuna Smg inayotumia mkanda, labda uwe umechanganya na LMG
Umeongea kitu ambacho mie nakicheza kwenye game la sniper 3D
Bunduki zote zenye mipigo miwili single,rapid ni sub
SMG inaanza na S while AK 47 inaanza A
SMG ni Said Maulid while AK ni Angela kairuki
Pamoja mkuu,ntajitahidi kuleta majina yake na kutaja ipi inabeba risasi nyingiHahaha sawa boss, kama kuna cha kukosoa au kuongea ongeza tu mm ni shughuli yangu kila siku![]()
Automatic kolashkiaSMG maana yake ni Sub Machine Gun.
Zipo SMG aina nyingi sana na zinakuwa categorized na ile rate of fire, yaani idadi ya risasi zinazotemwa kwa dakika.
AK47 ni aina moja tu kati ya aina nyingi za SMG.
AK47(Mikhail Klasnikov) ni kifupi cha mgunduzi Mrusi wa silaha hii aliyeigundua mwaka 1947.
Mkuu kama nakuelewa vileSMG VS AK47 hizo zote ni siraha aina moja . kinachotofautusha ni nchi ziliko tengenezwa.
Pia unatakiwa ujue kwamba hakuna siraha duniani ambayo jina lake ni SMG .
Hlo Jina la SMG ni tabia ya siraha ambayo kirefu chake ni sub machine gun. SMG ni siraha yoyote yenye mapigo ya aina mbili hapa namaanisha chaguzi za upigani .
Inakuwa na single fire na rapid fire .
Hizo siraha zmetengezwa mataifa tofauti tofauti ambapo kwa mrusi inajulikana ni AK 47 ,kwa mchina inajulikana 76.5mm , kwa mjerumani inajulikana kama G3:, kwa mwisrael inajulikana kama uz gun ,kwa mwingereza na marekani inajulikana kama M 16 .
Hizo zote ni SMG yaan ina mapigo mawili. Kuitwa SMG ni mazoea yetu watz lakn hakuna siraha duniani inayoitwa SMG ...
Kinachozitifautisha ni caliber..
Siku nyingne usirudie kuchangia bila kisoma michango ya wengne..Hakuna aliyetoa jibu sahihi, in hivi, AK47 nayoni SMG, kwa Sababu SMG ni bunduki yeyote ambayo mapigo take yapo automatic, watu hutumia majina ya kimazoea kusema SMG, kitaalamu tunaita:
AK47 SMG, Uzi gun SMG, G3 SMG, M16 SMG, AK74 SMG, maana ya SMG ni "Sub-Machine Gun", yaani ni bunduki mbayo mapigo take ni ya automatic.
Nusu mfululizo...Uko vzr blaza, hongera you are an expert. Ak 47 hata kwenye maji iko vzr tofauti na SmG au SaR
But zote ziko katika kundi la assault rifles (rifles ambazo unaweza badili mapigo) rapid (usalama kati) na single (usalama chini kbs)
Tanzania yangu ile inakuja kwa kasiSMG inaanza na S while AK 47 inaanza A
SMG ni Said Maulid while AK ni Angela kairuki
Hakyamungu hii ndio Tanzania mpyaMkifika kwenye kujadili pinde na mishale mniamshe