I am sorry mabinti wa kichagga

Status
Not open for further replies.
Naomba niwe manifesto, mimi ni mchagga (baba na mama wote wanatokea huko kishumundu) nimesoma huko kaskazini hadi form six, nimeshawahi kuwa na gfs wa3 kutoka huko home ambao wote walinitosa na sababu kubwa ni kwamba sikua na uwezo wa kutosha kuwasaidia wao pamoja na ndugu zao, ukweli upo kuhusu hili swala japokua wapo wenye mapenzi ya kweli ni shauku tu ya maendeleo ndio inawafanya waonekane kuwakimbiza waume zao kikazi (get busy baba nanii unafanya nini mjini huna gari wala nyumba? sikupi hadi ununue kari yetu).
Nakubaliana na ndugu hapo juu "Penye uzia penyeza rupia" utaona mahaba ya dhati waliyonayo hawa ndugu zangu
 
Hapa Statistics hazina nafasi, hawa mademu wa Kichagga ni sumu!
Mmm wala siwamini sana. Mbona kila harusi tano tatu ni mabinti wa kichagga????? Mabinti wa kichaga wako juu my dear ndo maana mnahangaika sana kuwa nao, vinginevyo ......... :caked:
 
Kuna watu ambao hata mambo physical kabisa wanataka ushahidi...thats hypocricy!.. Wewe unatoka sayari gani usiyejua ukatili wa wanawake wa kichaga, hasa wanaotoka Machame na sehemu zinginezo!Mimi pia nilishaathiriwa na wasichana wa hivyo kabla ya kuoa wa kwetu. Lakini pia niliachwa hoi siku moja msichana wa kimachame aliudhiwa na rafiki yake wa kiume jioni moja, akaamua kuja kwangu kulala bila hata ya kumtongoza, yani tulikuwa tunafahamiana tu mtaani! Uwongo nililala nae, si unajua kwenye ujana nguvu nyingi, na siku hiyohiyo akapata ujauzito. Ni story ndefu, lakini kimsingi ni kwamba baadhi ya wasichana wa kichaga wako HEARTLESS....si jambo la siri!

Wachaga wa Machame ndio wanaotuhumiwa kuwa HERTLESS. Lakini nimeona wachaga wengi tu wapole na wastaraabu sana. Wachaga kutoka Uru, Rombo na Marangu sina matatizo nao kabisa!
 
mimi sikuoa mchaga kwa sababu nchi niliyokuwa naishi hawakuwepo.unajua wengi wa wasomi wameoa wachaga kwa sababu wamekutana nao vyuoni kwa kuwa ni wengi kule lakini wanaolalamika ni wale wavivu wa kufikiri,wanawake wa kichaga wanapenda maendeleo sasa makabila mengi ya tz wanafikiri maisha ni theory sasa wanapoishi na wanawake wa kichaga wanakutana na mchakamchaka wanaanza kupiga kelele.
kifupi tafuta wimbo wa 20% acha tamaa usikilize kwa makini na mwisho kaoe kwenu.
 
Wanawake wa makabila yote ya Tanzania baadhi yao wanafanya haya haya, lakini hawaonekani, lakini ngoja afanye mwanamke wa Kichagga mnaanza kupiga blah blah zenu zisizokuwa na kichwa wala miguu. Hivi katika makabila 120 ya Tanzania wanawake wenye tabia hizi ni Wachagga tu na makabila mengine 119 yaliyobaki wanawake wao hawana tabia kama hizi!? Acheni hizo za kulishambulia kabila la Kichagga kila kukicha.


ukweli ni kwamba they are wealth/money oriented girls, not all bt most of them.that why in ranking, they are at the top among 120 tribes
 
mimi sikuoa mchaga kwa sababu nchi niliyokuwa naishi hawakuwepo.unajua wengi wa wasomi wameoa wachaga kwa sababu wamekutana nao vyuoni kwa kuwa ni wengi kule lakini wanaolalamika ni wale wavivu wa kufikiri,wanawake wa kichaga wanapenda maendeleo sasa makabila mengi ya tz wanafikiri maisha ni theory sasa wanapoishi na wanawake wa kichaga wanakutana na mchakamchaka wanaanza kupiga kelele.
kifupi tafuta wimbo wa 20% acha tamaa usikilize kwa makini na mwisho kaoe kwenu.

Mimi nimesha ''date'' sana wasichana wa Wachaga, ni kweli wako ''aggressive'' linapokuja suala la maendeleo na ni wazuri kwenye financial management. Kama tulitofautiana, basi ilikuwa kwenye mambo mengine tu na si hilo ya Uchaga!
 
Mbona nasikia mabinti wa kichaga wanato tigo sana? basi ndo wazuri!!


Hayo sasa ni ya kwako. Mambo ya tigo ni ya watu wa Pwani, Mombasa, Tanga na Z'bar ndiko kunasemekana kuwa na mchezo huo sana. Sasa Mchaga na tigo wapi na wapi? Angalizo, mimi siyo mchaga!
 
Wapo kimasilahi zaidi mapenzi baada ya pesa angalia wanawake wenbi walioachika ni wachaga na ndowengi wapomajukwahani kuendeleza sera za beijing wote wanaojifanya watetezi wawanawake ni walkoshindwa nyumbazao hiyo ndiyo hali halisi!!
 
Mabinti wa Kichagga siyo sumu mnawaonea tu akina dada zetu mbona mimi baba na mama wachaga na hakuna Shida. Ili kuwa na uhakika msemacho nendeni Kilimanjaro mkafanye utafiti kama msemayo ni kweli ili tuone ni familia ngapi ambazo siyo stable.
Acheni wivu na argument ambazo siyo za kisomi.

Nani asiyejua kwamba chanzo cha maendeleo Kilimanjaro ni familia; na wote tunajua kama hamna stable family hakuna maendeleo. Kwa comments zenu ningetegemea mseme pia Wachagga wanaongoza kwa talaka kwa sababu wanawake wa kichagga sio watu wema lakini No talaka ni nyingi mikoa ya PWani zaidi kuliko uchagani. Please tusishabikie tu kuchangia bila kujua mambo. Ninachojua kuhusu wanawake wa kichagga ni kwamba HAWAPENDI WANAUME WANAOPENDA KULELEWA BILA KUJISHUGHULISHA na haya ndiyo maendeleo. Kila mwanamke wa kichagga yuko DEVELOPMENT FOCUSED kwa hiyo kama unamwendea na porojo za kucheza ngoma na kuvaa msuli na kumtaka awe CHUMA ULETE NA WEWE UCHEZE BAO NA KUSHABIKIA MPIRA VIJIWENI SAHAU. Wanawake wakichaga kwa ufupi HAWEPENDI BONGO LALA. NI LAZIMA NA WEWE UJISHUGHULISHE ILI MPIGE HATUA YA KIMAENDELEO KWA MANUFAA YA FAMILIA YENU NA NDUGU ZETU. Nina Comment hivi kwa sababu MIMI MMACHAME NA NIMEOA MCHAGGA PIA NA KWA MIAKA 10 NA ZAIDI SIONI PROBLEM NA SIKO MFUKONI
 
Hakuna statistics zinazoonyesha wanawake wengi wa kichagga ndio walioachika . Kwanza huo ni uzushi. TALAKA NYINGI ZIKO MIKOA YA PWANI JE NAO HAO NI WACHAGGA?
 
Mabinti wa kichaga bomu na hatari..wao wanachojali ni kujinufaisha wenyewe wako selfish sana. Wanakuwa na waume zao kwa sababu za manufaa yao kama kuwapeleka ng'ambo,wakunyang'anye nyumba na mali apeleke kwao etc.na ukiona wanaume wengi waliooa wanawake wa kichaga ni watumwa wa ndoa au mapenzi yao. Wengi walidanganyika na rangi za hawa wamama lakini kwa ujumla hawana malezi wala mafunzo ni bomu..Tumeona na tunaishi nao.....yes i said so!!
Vyasaka mabomu wana shida kweli kweli
1. Kwetu tutapeleka nyumba za nini wakati zimejaa...
2. Ng'ambo tunaenda wenyewe kwa akili zetu na fehda zetu
3. Mali gani za kupeleka kwetu wakati nyie ndio mnaanza kuwekea nyumba zenu za udongo mabati....kwetu ni self contained na maghorofa kwa kwenda mbele...wazazi wapo comfortable..sana sana tu renovate walishajenga zamani
OA MCHAGA UENDELEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
...Behind every successful Tanzanian man there is a proud Chagga woman and a surprised mother-in-law from either Marangu, Kilema, Mamba, Mwika, Rombo, Kirua, Old Moshi, Kibosho, Machame, Siha or Uru!
 
Hii mada imekugusa sana Paka Jimmy, nadhani cha moto ulikipata kwa hiyo ndizi mshale, mi nimewapa jina hilo baada ya kuona mwenzangu wanampearl kama kitunguu, hawana huruma watu hawa, hajui kujishusha, mchaga kwake hiyo ni mwiko babaangu, dharau ndio usiseme yaani ni za kuchota, hawafugigi hao ni kunguru mtu wangu, watu wote wanajua, sasahivi hata wanaume wa kichaga wamefunguka macho wengi hawaoi kwao, nenda moshi utashangaa ukienda baa mitaa ya kiboroni 65% ni wanawake wenyewe wamekaa, usiulize piga gambe utambae, sasa hivi moshi mijimama ya kichaga inatafuta dogodogo ili limnyanyase uzuri, waliojiandaa kubisha nawasubiri nina hasira nao tupo na Paka Jimmy 2takwenda nanyi sambamba
 
... Behind every successful Tanzanian man there is a proud Chagga woman and a surprised mother-in-law from either Rombo, Mwika, Mamba, Marangu, Kilema, Kirua, Mbikomu, Uru, Old Moshi, Kibosho, Machame or Siha.
 
Hii mada imekugusa sana Paka Jimmy, nadhani cha moto ulikipata kwa hiyo ndizi mshale, mi nimewapa jina hilo baada ya kuona mwenzangu wanampearl kama kitunguu, hawana huruma watu hawa, hajui kujishusha, mchaga kwake hiyo ni mwiko babaangu, dharau ndio usiseme yaani ni za kuchota, hawafugigi hao ni kunguru mtu wangu, watu wote wanajua, sasahivi hata wanaume wa kichaga wamefunguka macho wengi hawaoi kwao, nenda moshi utashangaa ukienda baa mitaa ya kiboroni 65% ni wanawake wenyewe wamekaa, usiulize piga gambe utambae, sasa hivi moshi mijimama ya kichaga inatafuta dogodogo ili limnyanyase uzuri, waliojiandaa kubisha nawasubiri nina hasira nao tupo na Paka Jimmy 2takwenda nanyi sambamba

wewe na paka jimy kuna m2 aliwadanganya kwamba ukioa mchaga maisha ni mteremko.na hilo ni tatizo la wanaume wengi kwa sasa ila nikuambie kwa uzembe wenu hata wa kisandawe lazima atawakimbiza tu.
 
Wakuu nimeipata hii kutoka Marrying a Chagga « SaHaRa Soul Food unaweza kuongeza ufahamu wako about Wachagga and how they consider the Kyasaka(people other than Chagga) as far as mariage issues are concerned...
"I have always known that getting married to a Chagga woman is a headache, especially if you are a kyasaka – but my girlfriend’s dad took the cake and the cherry on top! The cream even! With a mchagga father one never wins! You see, most Chagga parents don’t believe in inter-marriage. When the topic of marriage comes up they will always insist that home is always best. Infact some parents are so fast at hooking their children up!
“When is daughter coming back? Is she done with her law degree? My nephew is just about to finish his doctorate. Maybe we should introduce them when they get back from overseas.”
Naturally when you hear degrees, overseas and such arrangements it only means prominent families – with names and clout. Anyway, so there they were, the two of them, sharing that father-daughter moment. They used to have that, those two. So my girlfriend brings up the topic that makes any possessive Dad freeze. But since they always had that bond, he was down with whatever.
“If I ever get married I will get married to a mzungu,” she announces.
“Where from?”
“Hmm, say German.”
“No, his parents will always make you feel like a second class citizen.”
“England?”
“They will never see past your race and colour.”
“Okay, an African then.”
“Great! At least we are home. But where from?”
“Okay, South Africa?”
“They will abuse you.”
“West Africa?”
“They will probably sell you for your organs.”
“North Africa?”
“They will put in a harem.”
“East Africa then.”
“Great! At least we are home.”
“Hmm, Uganda?”
“Uwii! HIV/AIDS!”
“Kenya?”
“They will harass you!”
“Jamani wapi sasa?” my girlfriend had started the topic to get at her Dad, but now the tables had turned around. She was getting highly agitated.
“How about home?” Her dad offered.
“Okay, how about Wagogo?” She asks about the tribe from Dodoma.
“Omba omba wale. You will be as poor as a church mouse!”
“Wahaya then?”
“They are too arrogant!”
“Wapare?”
“They like sex too much!”
My girlfriend giggles at this, thinking – as if there is something wrong with that. The dad seeing his daughter’s reaction gives another point quickly.
“And they are misers!”
“Okay, wakurya?”
“You’ll be beaten black and blue!”
“Wasukuma then?”
“They will fatten you up and force you to bleach your skin.”
“Okay, I take it you will be happy if I got married to a mchagga?”
“That’s what I have always been telling you!”
“Wakibosho?”
“They will beat you black and blue!”
“Wauru?”
“Very smart, educated but no maendeleo. You husband might end-up being a shoe shiner with a pHd.”
“Wamachame?”
“Wachawi! They can even bewitch the dead!”
“Wa-old Moshi?”
“Washamba!” He spits on the ground, “they are so ignorant they don’t know the difference between a cell phone and a remote control.”
“Wamarangu?”
“They are too arrogant!“
“Okay, so I guess you will be happy if I married someone from our village.”
“Absolutely,” he smiles. “But they are too …”
“I hear you, dad,” my girlfriend interrupts, “someone from the same community then?”
“Which clan though?”
“The Tembas?”
“The great grandmother was a witch.”
“The Machas?”
“I hear the aunt’s cousin’s sister’s son’s father was a mental case. Your children might inherit it.”
“The Mushis?”
“They are thieves. They are so bad that they even steal their very own livestock jamani
“The Temus?”
“They haven’t gone to school!”
“The Lyimos?”
“They drink too much! They will forget the baby’s milk but never the beer.”
My girlfriend then coughs, not because there was something irritating her throat, but because she was so tempted to remind her father that his blood pressure and liver problem were – by the way - because of drinking too much – tena hard liquor even.
“The Teshas?”
“Their late great grandfather owes your late great grandfather!”
To this my girlfriend raises her eyebrows, but since she didn’t want to get into it – clearly – she went on, “Okay, I guess you will be happy if it was from the same street then?”
“Absolutely!” The dad replies with a grin, “but which family though?”
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom