Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,378
- 57,574
Hapo nilipoboldi naomba mifano haiMimi mapya nimesoma mbona? Kaizer, speak for yourself dude.
Wengine tunataka kuwekeza Chadema, so vitu hivi muhimu. Unachuja pumba na mchele.
. FacMimi msukuma, na weakness za wanawake wa kisukuma naziona na nazijua (especially kwenye mambo ya kujiendeleza)ts ni facts. Sio kashfa.
Wanawake wa kichagga ni go getters, something I love, na mtu mpenda maendeleo, hawa wanawake wako juu. Lakini kunavitabia ambavyo vinachambuliwa humu ni kweli mtupu. Sasa ni juu yako kuchambua what is good n what is not for you.
Personally, nakutana na wanawake wa kichagga zaidi kuliko kabila lingine, na sielewi kwanini, wakati kwa mfano wasukuma ni kabila kubwa.
Personally, I will pick a chagga woman anyday, sasa kama wewe unashindwa kucontrol vijitabia vyao, then u aint man enough, or just step to the side wanaume wawahandle hawa mabinti. If the kitchen is too hot, even i step to the side.