I am sorry mabinti wa kichagga

Status
Not open for further replies.
Mimi mapya nimesoma mbona? Kaizer, speak for yourself dude.
Wengine tunataka kuwekeza Chadema, so vitu hivi muhimu. Unachuja pumba na mchele.
. FacMimi msukuma, na weakness za wanawake wa kisukuma naziona na nazijua (especially kwenye mambo ya kujiendeleza)ts ni facts. Sio kashfa.
Wanawake wa kichagga ni go getters, something I love, na mtu mpenda maendeleo, hawa wanawake wako juu. Lakini kunavitabia ambavyo vinachambuliwa humu ni kweli mtupu. Sasa ni juu yako kuchambua what is good n what is not for you.
Personally, nakutana na wanawake wa kichagga zaidi kuliko kabila lingine, na sielewi kwanini, wakati kwa mfano wasukuma ni kabila kubwa.

Personally, I will pick a chagga woman anyday, sasa kama wewe unashindwa kucontrol vijitabia vyao, then u aint man enough, or just step to the side wanaume wawahandle hawa mabinti. If the kitchen is too hot, even i step to the side.
Hapo nilipoboldi naomba mifano hai
 
Feeble minded discuss people...great thinkers/minds discuss ideas! SHAME!
WANAWAKE WA KICHAGGA WAKO HIVI...WAKO VILE..WALINIFANYIA HIVI.... hawajui hiki.....wanapenda pesa..... mhhhhh..haijatosha tu?Nyie wanaume mliotendwa..does it pay anything kuja kulialia hapa?...mwanzo tuliwaonea huruma...ila sasa mnaanza ku bore na kuchekesha.
 
Feeble minded discuss people...great thinkers/minds discuss ideas! SHAME!
WANAWAKE WA KICHAGGA WAKO HIVI...WAKO VILE..WALINIFANYIA HIVI.... hawajui hiki.....wanapenda pesa..... mhhhhh..haijatosha tu?Nyie wanaume mliotendwa..does it pay anything kuja kulialia hapa?...mwanzo tuliwaonea huruma...ila sasa mnaanza ku bore na kuchekesha.
katika maisha kuna mambo mengi ya kuongelewa including watu.
 
Hapo nilipoboldi naomba mifano hai

Ndugu, you will note I have been general in my post. Siwezi nikadiss kabila kwa specific mifano maana mimi ni product ya kabila hilo. Nasijadiss kabila la kichagga, na sitadiss kabila lolote. Ila yaliyosemwa humu nakubaliana nayo mengi.
- Nakupa mfano, wanawake wa kisukuma wavivu wa kisomo (note: there are exceptions).
- Wanawake wa kisukuma wako slow kutoa maamuzi (there are exceptions)
- Wanawake wakisukuma wana attitude ya "mapenzi ya mungu" when things dont work out

................................................................................................

On the other hand, wanawake wa kisukuma wako cultured, kama unapenda upewe heshima, magoti sijui nini haya...utapata sana. Wako welcoming, ambayo ni nature ya wasukuma in general.

Ukilinganisha na wachagga, hawako cultured, which may seem like bad manners for those who like shy, respecting sukuma women. Lakini hata siku moja huwezi lala njaa na mwanamke wa kichagga (yaani akili zao ziko fasta fasta).
 
Ndugu, you will note I have been general in my post. Siwezi nikadiss kabila kwa specific mifano maana mimi ni product ya kabila hilo. Nasijadiss kabila la kichagga, na sitadiss kabila lolote. Ila yaliyosemwa humu nakubaliana nayo mengi.
- Nakupa mfano, wanawake wa kisukuma wavivu wa kisomo (note: there are exceptions).
- Wanawake wa kisukuma wako slow kutoa maamuzi (there are exceptions)
- Wanawake wakisukuma wana attitude ya "mapenzi ya mungu" when things dont work out

................................................................................................

On the other hand, wanawake wa kisukuma wako cultured, kama unapenda upewe heshima, magoti sijui nini haya...utapata sana. Wako welcoming, ambayo ni nature ya wasukuma in general.

Ukilinganisha na wachagga, hawako cultured, which may seem like bad manners for those who like shy, respecting sukuma women. Lakini hata siku moja huwezi lala njaa na mwanamke wa kichagga (yaani akili zao ziko fasta fasta).
nazani hapo ilitokana na culture yao ya kumsomesha mwanamke eti hakuna faida maana ataolewa na kufaidisha kwingine,pili ndo maana wazazi wao wakawa wanawaozesha mapema.
WANAWAKE WA KISUKUMA WALIOEXPOSED MBONA WANAPIGA TU SHULE KWA NGUVU ZOTE?
Kuhusu maamuzi na yote chimbuko linatoka kwenye kukosa kisomo
mbona kuna baadhi ya wanawake wa kichaga wachovu tu
 
wengine mtaishia kujinyonga na kukimbia family zenu kisha maisha magumu,mkioa wchaga shida yote kwisha,ila lazma uwe na CAPITAL ya kueleweka,haji kama hakuna kitu,so as any business!!
 
Hiyo ni kweli best angu, hata mimi demu wa kichaga kaja kamgawia rafiki yangu uroda hata alikuwa hamfahamu na walikuwa wakiongea naye kwa simu tu. Huwezi kuamini demu mwenye ni msomi na katoka chuo na yupo na mchumba wake na walikuwa wakijiandaa kufungua ndoa, kakimbiza uroda all the way from Moshi tu Dar. Kweli hawa wachaga, wamekuwa machangu kweli. Ni kutekenya tu. Machoni kama watu matendo yao afadhali ya sheteni, angalau wanaume wao wapo busy na kutafuta hela.
 
ndugu zanguni, mmeanza kutupiana maneno bila ya kuidadavua hoja ya jamaaa kwa undani. Yeye anahitaji experience tofautitofauti toka kwa wasichana tofautitofauti wa kichaga ili aweze kuhitimisha kama aliyokumbana nayo yeye pamoja na rafiki yake ni sahihi kwa wanawake wote wa kiachaga. Mi nadhani mwenye experience yoyote iwe ktk mtamzamo wowote amwage hapa ili tuweze kujua uhalisia wa hili jambo.
Ni hayo tu wajameni.
 
nazani hapo ilitokana na culture yao ya kumsomesha mwanamke eti hakuna faida maana ataolewa na kufaidisha kwingine,pili ndo maana wazazi wao wakawa wanawaozesha mapema.
WANAWAKE WA KISUKUMA WALIOEXPOSED MBONA WANAPIGA TU SHULE KWA NGUVU ZOTE?
Kuhusu maamuzi na yote chimbuko linatoka kwenye kukosa kisomo
mbona kuna baadhi ya wanawake wa kichaga wachovu tu

Mimi naamini hata ukiwa na mwanamke wa kichagga mchovu, hulali njaa.

So if sukuma women are changing, arent chagga women changing too? Why not judge them as individuals then?

Mimi nadhani ishu ni kwamba, Chagga women are strong characters and most Tanzanian men (if not african men) are afraid of strong women.
 
Mimi naamini hata ukiwa na mwanamke wa kichagga mchovu, hulali njaa.

So if sukuma women are changing, arent chagga women changing too? Why not judge them as individuals then?

Mimi nadhani ishu ni kwamba, Chagga women are strong characters and most Tanzanian men (if not african men) are afraid of strong women.


Mkuu hapo subiri vidume vya hapa utaipata pata fresh...:D
 
Mimi naamini hata ukiwa na mwanamke wa kichagga mchovu, hulali njaa.

So if sukuma women are changing, arent chagga women changing too? Why not judge them as individuals then?

Mimi nadhani ishu ni kwamba, Chagga women are strong characters and most Tanzanian men (if not african men) are afraid of strong women.
on the other way unaamini kuwa hata uwe na mwanamke msomi let say msukuma utalala njaa.
Sidhani kama wanaume wanawaogopa wachaga,na most of wanaume wasomi na wenye majina makubwa wa kisukuma wameoa uchagani je hawa hawana uoga?
Any way kila mtu anavyoona
 
on the other way unaamini kuwa hata uwe na mwanamke msomi let say msukuma utalala njaa.
Sidhani kama wanaume wanawaogopa wachaga,na most of wanaume wasomi na wenye majina makubwa wa kisukuma wameoa uchagani je hawa hawana uoga?
Any way kila mtu anavyoona
Nimesema "most". The fact hao successful wasukuma wameoa uchaggani ni kwasababu wameona value ya strong woman. Tafadhali soma vizuri uelewe.
My point is, we mwanaume kama unajiamini, huwezi ukapelekeshwa na mwanamke fullstop.
Usibadilishe sentensi yangu, nimesema mwanamke mchagga mchovu. sijasema mwanamke msukuma msomi. Dont get me wrong, I value sukuma women very much.
Dude, i would kill to meet 5 educated sukuma women my age. Nawatafuta sana sio siri.
 
katika maisha kuna mambo mengi ya kuongelewa including watu.

Wakati tuko bize kuongelea watu...wenzetu wako bize kufanya ma breakthrough kwenye science, technology... kuimarisha uchumi katika ngazi za familia, kaya na hata jamii kwa ujumla.... Halafu tunashangaa kwanini tuko nyuma?
 
Hii kweli kali, so upande wa pili ni mademu(kabila) gani wanafaa kuolewa??

Nafikiri ni wa kutoka Iringa, ndo wakarimu na wanawaheshimu sana waume zao.
Mi kaka'zangu, mjomba'angu, na marafiki zangu wa tatu wameoa huko, yaani wako powa noma.
 
Nakubaliana na wewe generalisation sio proper. Lakini sasa, wewe huwezi kutoa judgement nzuri kwa sababu mama na mke ni wachaga. Maana kama umekulia ndani ya mfumo na unaishi humo huwezi kuona nje ya BOX.


upo sahihi ndugu) kwa wanawake wa hili kabila asilimia zaidi ya 80 ndivo walivo.
Thus mi huwa nawakataa wakinitaka, akha!! nani anataka maproblem???
 
upo sahihi ndugu) kwa wanawake wa hili kabila asilimia zaidi ya 80 ndivo walivo.
Thus mi huwa nawakataa wakinitaka, akha!! nani anataka maproblem???

acha chuki binafsi ww!!hujatakwa ila umetaka ukakataliwa ndo unaleta maneno hapa!
 
Kuna watu ambao hata mambo physical kabisa wanataka ushahidi...thats hypocricy!.. Wewe unatoka sayari gani usiyejua ukatili wa wanawake wa kichaga, hasa wanaotoka Machame na sehemu zinginezo!Mimi pia nilishaathiriwa na wasichana wa hivyo kabla ya kuoa wa kwetu. Lakini pia niliachwa hoi siku moja msichana wa kimachame aliudhiwa na rafiki yake wa kiume jioni moja, akaamua kuja kwangu kulala bila hata ya kumtongoza, yani tulikuwa tunafahamiana tu mtaani! Uwongo nililala nae, si unajua kwenye ujana nguvu nyingi, na siku hiyohiyo akapata ujauzito. Ni story ndefu, lakini kimsingi ni kwamba baadhi ya wasichana wa kichaga wako HEARTLESS....si jambo la siri!
Yaani pakajimmy ulinonino bila nonino?
 
Mbali na hizo tabia zao za kuweka kitu kidogo mbele, tukija kwa urembo sio siri wengi wao wamejaliwa. Nilikuwaga na mmoja sio siri tulikuwa tukionganza nilikuwa naonekana ni kidume kweli kweli. Ile rangi yao ya chungwa na miguu ya bia wacha mazee.. utaendelea kuagiza tu mhudumu leta kilimanjaro nyingine...kuja kushtuka dah.. kamshahara ndio kameshakwisha..
Mguu wa bia? kuna mwanamke wa kichaga mwenye mguu wa bia?ndugu we sema tu wana sura nzuri na wengi wao ni weupe lakini la mguu no!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom