Hivi humu JamiiForums hatuwezi kuanzisha vikobesha

Acha upumbavu, nenda kaanzishe vicoba na watu wa huko kwenu mnapotoka, ndo nyie mtaani hamkopesheki mpo mitandaoni kuwaza namna ya kuiba fedha za watu. Sisi tuliopo JF wengi tushajipata kwanza, hatuitaji kucheza vicoba mitandaoni na hata tukitaka tutawatafuta watu kwenye jamii zetu. Tapeli mkubwa wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom