Na hawachezi hiyo michezo wanacheza mastudentJf kila mtu anazo pesa na alishajikwamua.
Mie ni bilionea mjomba ninamiliki meli....hili ni wazo tu humu jf watu wa IT waumize vichwa waje na vikobesha tuweke na kutoa kusaidia wenye mahitaji kama wewe karibu.
NakaziaWe angalia namna ya kujikwamua mwenyewe usitegemee kuchomoka kimaisha Kwa hizi harakati za kimakundi
Acha utapeli wewe. Unakosa mada za kuanzisha mpaka uwaze hela za watu..?Amen
Na kwa Teknolojia iliyopo kwa sasa inawezekana kabisa kabisa.
Huyo Tapeli, unakuta mtaani kwao hata kwa Mangi hakopesheki. Shida zimemjaa mpaka kwenye makalio.Unatumia nguvu nyingi kujitetea
Jikwamue na watu wa jamii yako sasa, unataka ujikwamue na nani mitandaoni..? Kama senge hiviLakini kimaisha mie nilishachomoka kitambo...Nina miliki meli kadhaa za mizigo.
Nenda huko Moshi ukacheze sasa, tutolee utapeli wako humuKule Moshi wanacheza Vicobesha kanisani na ni kikobesha chenye ukwasi wa ma.B. yaani ni kikobesha dume kwa TZ kinashika nafasi ya 3.....hata wenye pesa huvikobesha.